April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,403
- 2,119
Jumapili kwangu imekaa vizuri sana, niko zangu nimechill getto na familia yangu. Kwa wenye changamoto poleni sana.
Dada zetu habari zenu, naomba mnisamehe kidogo kwa wale ambao linawahusu hili, Nina imani sio wote walio na hulka hii. Nategemea tulenge kujifunza kuliko chochote.
Mada: Wakuu ukiondoa Sex (kumpa ngono mwanaume) mwanamke hana kitu cha kumsimamisha kifikra na kumfanya awe na jeuri mbele ya mwanaume, anaweza ku-offer nini?. Pia ukiondoa Pesa (mwanaume kumhudumia mwanamke) hakuna kinachoweza kumvuta mwanamke kwenda kwa mwanaume kwa dunia ya leo
Nimetaja Pesa na Sex na nikalenga zaidi jinsia ya KE sio kwa maana mbaya wala kuwagandamiza, ni uhalisia kabisa kama hujaona subilia yako njiani tuombe uhai.
Tuseme kwamba mwanamke wa kileo hana nafasi wala uwezo wa kutoa Sex kwa jamaa na wakati huo mwanaume wake hana uwezo wa kutoa Pesa kwa mwanamke huyo, unadhani nini kitatokea ??
Narudia hivi, tofauti na Sex mwanamke unaweza kumpa nini mwanaume ?? Na ikiwa ni Sex pekee unayoweza kutoa je upo tayari kukaa na boy/man ambae hana Pesa ?
Assume wanaume wote hawana Pesa ndo kusema neno Sex/kufanya tendo la ndoa litapotea kwenye dictionary za miaka ijayo?
Sijui kama naeleweka vizuri, wakuu kiufupi dunia ya leo ni mwanaume pekee mwenye upendo kwa % nyingi zaidi kuliko wanawake walio wengi wanao felisha wachache walioko real.
Hivyo basi, kwa dunia ya leo ukiona penzi LIMENOGA ujue katikati Pesa ndo inasafisha na kufagia penzi.
Kama kuna mtu ana bisha na kusema kuna mapenzi ya dhati yaani DHATI ya kwenye vitabu vitakatifu ambayo hayategemei Pesa kwenye nyakati hizi aandamane !
Wadada (sio wote) wale wenye fikra lengwa tafuteni Pesa zenu. Wanaume tulishaga juwa kuwa bila Pesa hatutoboi so tulishajipanga zamani.
Ukiona mwanaume anakupa Pesa haimaanishi anakupenda. Na sisi wanaume tunajua nyie wengi wenu hamna chochote cha kutupatia tofauti na sex.
Mwisho, mwanaume anahitaji heshima, hekima na kumuelewa tu. Maana hata Mungu alijuwa hamna vitu vya kutupatia baada ya Sex akawaambia MTUHESHIMU na sisi tutawapenda.
Uzi tayari.
Dada zetu habari zenu, naomba mnisamehe kidogo kwa wale ambao linawahusu hili, Nina imani sio wote walio na hulka hii. Nategemea tulenge kujifunza kuliko chochote.
Mada: Wakuu ukiondoa Sex (kumpa ngono mwanaume) mwanamke hana kitu cha kumsimamisha kifikra na kumfanya awe na jeuri mbele ya mwanaume, anaweza ku-offer nini?. Pia ukiondoa Pesa (mwanaume kumhudumia mwanamke) hakuna kinachoweza kumvuta mwanamke kwenda kwa mwanaume kwa dunia ya leo
Nimetaja Pesa na Sex na nikalenga zaidi jinsia ya KE sio kwa maana mbaya wala kuwagandamiza, ni uhalisia kabisa kama hujaona subilia yako njiani tuombe uhai.
Tuseme kwamba mwanamke wa kileo hana nafasi wala uwezo wa kutoa Sex kwa jamaa na wakati huo mwanaume wake hana uwezo wa kutoa Pesa kwa mwanamke huyo, unadhani nini kitatokea ??
Narudia hivi, tofauti na Sex mwanamke unaweza kumpa nini mwanaume ?? Na ikiwa ni Sex pekee unayoweza kutoa je upo tayari kukaa na boy/man ambae hana Pesa ?
Assume wanaume wote hawana Pesa ndo kusema neno Sex/kufanya tendo la ndoa litapotea kwenye dictionary za miaka ijayo?
Sijui kama naeleweka vizuri, wakuu kiufupi dunia ya leo ni mwanaume pekee mwenye upendo kwa % nyingi zaidi kuliko wanawake walio wengi wanao felisha wachache walioko real.
Hivyo basi, kwa dunia ya leo ukiona penzi LIMENOGA ujue katikati Pesa ndo inasafisha na kufagia penzi.
Kama kuna mtu ana bisha na kusema kuna mapenzi ya dhati yaani DHATI ya kwenye vitabu vitakatifu ambayo hayategemei Pesa kwenye nyakati hizi aandamane !
Wadada (sio wote) wale wenye fikra lengwa tafuteni Pesa zenu. Wanaume tulishaga juwa kuwa bila Pesa hatutoboi so tulishajipanga zamani.
Ukiona mwanaume anakupa Pesa haimaanishi anakupenda. Na sisi wanaume tunajua nyie wengi wenu hamna chochote cha kutupatia tofauti na sex.
Mwisho, mwanaume anahitaji heshima, hekima na kumuelewa tu. Maana hata Mungu alijuwa hamna vitu vya kutupatia baada ya Sex akawaambia MTUHESHIMU na sisi tutawapenda.
Uzi tayari.