Hakuna Magufuli anachofanya ambacho hakukisema!

Hakuna Magufuli anachofanya ambacho hakukisema!

Amemteua Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu. Usiyempenda kaja ...

Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri iwe ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.
 
nguvu ya soda, mwalimu magu. ameshaanza kuchoka kabla ya miezi 3. badala ya kupeleka miswada bungeni ili kuzipa taasisi za utawala nguvu ya kiutendaji yeye anafukuzafukuza tu utadhani hao anaowateua ni malaika.

Wewe kweli mliberali.
Bunge lishaanza?
 
Nimekudharau kwa kusema Magufuli alimshinda Lowassa kwa kura milioni ishirini, ungekuwa umeendika tu kwa tarakimu ningejua umekosea kwa bahati mbaya, lakini ulichosema kwa maneno ndio hichohicho ulichoandika kwa namba! Idadi ya waliopiga kura nchi nzima wenyewe hawakufika milioni 20. Hata kama ni kulazimisha kile anachokifanya Magufuli ni lazima upotoshe na huo utetezi wako finyu.

Kila mtu anapenda sheria zifuatwe lakini inakuwaje sheria zinaangalia, nilitarajia wakwepa kodi waliogundulika wangechukuliwa adhabu kali, lakini inaonekana wameambiwa warudishe basi yakaishia hapohapo. Kwanza mchezo ulikuwa huuhuu tukambiwa kodi iliyokwepwa ni ya 80b lakini siku zilivyokwenda ikashuka mpaka 12.5b! Ni lazima mpate sifa kwa kutumia uongo?

Acha ukanjanja hao waliokwepa Kofi ndio wanaingizia serikali pesa kibao , sio ww unashabukia mwisho wa Mwaka hata shilling mia huchangii , nchi itaendeshwaje kama hakuna wafanyabihashara wakubwa ? Tunawahitaji sana
 
Mkae Kimya Rais afanye Kazi Yake nanyi ambao hamkumchagua Roho ziendelee kuwauma hadi miaka mitano!!!
 
Hakuna kitu kama hicho ingawa ndiyo moja ya sababu zilizowapagaisha CCM wenzie waliokuwa na hesabu za kula!
Bado hajanishawishi kuleta mabadiliko niliyoyatarajia, naahidi kumuunga mkono kikamilifu akiubatilisha mkataba wa IPPTL uliotutesa kwa miaka 20 na kwisha 2014 na kupewa mwingine wa miaka mingine 20! katika mazingira tata mkataba Tuna akili kweli? Mikataba yote ya gesi na mafuta inafananafanana, ni ya kijambazi, wizi na kutudhalilisha. Mwisho nitaanza kumwamini akiwabana Vodacom, Tigo, airtel na makampuni makubwa kulipa kodi. Nitakuwa muumini wake akifikisha lengo la ukusanyaji wa kodi kufikia Trillion 2.5 kwa mwezi; jambo linalowezekana kabisa mana kuna makampuni kama Vodacom wanaotengeneza mabilioni kila siku lakini wanapitwa hata na Group 5 Securitty kwa ulipaji kodi na kampuni hii na wenzake Tigo na wenzao Airtel hawako hata kwenye walipaji kodi wakubwa 20!
 
Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri iwe ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.

Acha kusambaza kasumba za udini. Kuwa na jina la Kikristu ni kosa?
 
hao kina Mwalim wehu tu, watakuwa wamekubaliana na kazi nzuri anayofanya magufuli ila hawataki kuongea direct wanaishia kusema anatekeleza sera zao wakati mwenzao anatekeleza alichokisema na kuahidi wakati wa kampeni pamoja na ilani ya ccm aliyoinadi wakati wa kampeni

Hii inawafaa zaidi akina Salum Mwalim na kundi lake linalodai Dr Magufuli anatekeleza sera zao. Siwashangai hata hivyo kwa sababu hawakuwahi kumsikiliza Dk Magufuli kwenye kampeni zake
 
nguvu ya soda, mwalimu magu. ameshaanza kuchoka kabla ya miezi 3. badala ya kupeleka miswada bungeni ili kuzipa taasisi za utawala nguvu ya kiutendaji yeye anafukuzafukuza tu utadhani hao anaowateua ni malaika.

sijui namba ngapi hiyo nawewee uliyoisoma...
tulia mwisho wa siku utanyooka tu.
 
Wale wote WALIO MAJERUHI JF NA NJE NDIYO WANAOPIGA MADONGO NA KILA KUKICHA NI KUKOSOA KITU AMBACHO TUWE NA SUBIRA MWAKA HIVI UKIPITA NA MAMBO HAYAENDI NDIYO TUANZE UKOSOAJE TUIPE MUDA SERIKALI YA AWAMU YA TANO.
 
Ni kweli........kwa wale waliokuwa hawafatilii hotuba zake...yeye alisema akiwa rais atashugulika na mapapa ya ufisad kwenye mfumo........ndiyo maani hii kusimamisha vigogo kazi......yaani alishasema "atalalanao mbele"
 
Waeleze wengine walikuwa busy hawamsikilizi leo wanaleta maajabu ya kudanganya.
 
Ile ya kufanya usafi na kulundika takataka katikati ya makazi ya watu hadi leo

Kweli wewe saanane, na ninahisi itakuwa ni ya mchana ambapo jua limepiga utosi na akili kuvurugika...
Uchafu uulete wewe halafu unamlaumu Magu aliyesema tufanye usafi.
 
Wamesamehewa wabeba sumu itakuwa wahujumu uchumi. Samehe hata saba mara sabini kama una uwezo huo. Fikiri.

Awamu hii wenye wake wamerelax,kipindi kile mkeo akiwa mzuri kidogo na wowowo kajaliwa basi dk mbili mbele kapewa udc
 
Back
Top Bottom