Hakuna Magufuli anachofanya ambacho hakukisema!

Hakuna Magufuli anachofanya ambacho hakukisema!

Tunaelekea zama za siasa za ukweli. Zama za siasa ni uongo bye bye. Ni mara mia unipe rais anayekwambia nitabomoa na akabomoa kuliko kunipa rais anayekwambia nitabomoa lakini asibomoe.

Uongo hatutaki, na hiki ni kipimo kingine kwa upinzani kama kweli wanamaanisha wanachokihubiriga. Magufuli akiitekeleza sheria tunalalamika, je tunamtaka asiitekeleze?

Kukosoa tutamkosoa lakini pale inapobidi mfano ile ya kuwapa wakwepa kodi siku saba ilikuwa too low kwa standards za Magufuli.
 
Kwa kuongeza tu. Hakuna anachokifanya ambacho hakipo kwenye ilani ya CCM.

Wewe unayeongezea ndio unaharibu kabisa,Magufuli alipoona ilani take haiuziki akaikacha na kucheza ngoma kwa namna yake na kubeba content za ilani za upinzani!Yale yote ambayo awamu ya 4 iliyaona ni desturi yeye kapiga chini!

Safari za nje mlizomshibokea jk kuwa zina tija yeye kasema no,ukubwa wa baraza la mawaziri kuongeza ufanisi(hadi waziri asiyekuwa na wizara) magu kasema NO,vikao na posho za kipuuzi no,kabeba mpaka hoja ya mabadiliko,kaedit na kusema mabadiliko ya kweli!
 
nguvu ya soda, mwalimu magu. ameshaanza kuchoka kabla ya miezi 3. badala ya kupeleka miswada bungeni ili kuzipa taasisi za utawala nguvu ya kiutendaji yeye anafukuzafukuza tu utadhani hao anaowateua ni malaika.
 
Nimekudharau kwa kusema Magufuli alimshinda Lowassa kwa kura milioni ishirini, ungekuwa umeendika tu kwa tarakimu ningejua umekosea kwa bahati mbaya, lakini ulichosema kwa maneno ndio hichohicho ulichoandika kwa namba! Idadi ya waliopiga kura nchi nzima wenyewe hawakufika milioni 20. Hata kama ni kulazimisha kile anachokifanya Magufuli ni lazima upotoshe na huo utetezi wako finyu.

Kila mtu anapenda sheria zifuatwe lakini inakuwaje sheria zinaangalia, nilitarajia wakwepa kodi waliogundulika wangechukuliwa adhabu kali, lakini inaonekana wameambiwa warudishe basi yakaishia hapohapo. Kwanza mchezo ulikuwa huuhuu tukambiwa kodi iliyokwepwa ni ya 80b lakini siku zilivyokwenda ikashuka mpaka 12.5b! Ni lazima mpate sifa kwa kutumia uongo?

Tuoneshe mleta mada alipo sema kura millioni 20
 
Wewe unayeongezea ndio unaharibu kabisa,Magufuli alipoona ilani take haiuziki akaikacha na kucheza ngoma kwa namna yake na kubeba content za ilani za upinzani!Yale yote ambayo awamu ya 4 iliyaona ni desturi yeye kapiga chini!

Safari za nje mlizomshibokea jk kuwa zina tija yeye kasema no,ukubwa wa baraza la mawaziri kuongeza ufanisi(hadi waziri asiyekuwa na wizara) magu kasema NO,vikao na posho za kipuuzi no,kabeba mpaka hoja ya mabadiliko,kaedit na kusema mabadiliko ya kweli!


Kaisome ilani ya CCM upate faida, uelewe kinachoendelea sasa na kinachotarajiwa kuja, to the dot.
 
Magofoli hahitaji kushobokewa wala kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa atwanyoosha..
 
Ccm ilishakufa siku Nyerere anastafu Uraisi labda Magufuli ataturudisha kwenye mstari...
 
-Akianza kutoa mil 50 kila kijiji nitag.
-Akipunguza PAYE ni mention.
 
Back
Top Bottom