Hakuna kitu kinakera na kuudhi kama...

Hakuna kitu kinakera na kuudhi kama...

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,903
Reaction score
27,619
Mtu kukukuta umekaa kwa utulivu, umeweka headphones zako masikioni, unafanya mambo yako halafu akaanza kukuongelesha upuuzi tu.

Hasa huku makazini, siyo lazima kila wakati tusemeshane.

Kama unataka kutongoza mwanamke au mdada unataka kumbebisha mwanaume, mtafute nje ya eneo la kazi. Tusifuatane fuatane kama mchwa na kuanzishiana story zisizo na kichwa wala miguu.

Wenye tabia hizo acheni 🤚🤚mnaboa sana 🤬😤

giphy 49.GIF


Asanteni na siku njema!
 
Mtu kukukuta umekaa kwa utulivu, umeweka headphones zako masikioni, unafanya mambo yako halafu akaanza kukuongelesha upuuzi tu.

Hasa huku makazini, siyo lazima kila wakati tusemeshane.

Kama unataka kutongoza mwanamke au mdada unataka kumbebisha mwanaume, mtafute nje ya eneo la kazi. Tusifuatane fuatane kama mchwa na kuanzisha story zisizo na kichwa wala miguu.

Wenye tabia hizo acheni 🤚🤚mnaboa sana 🤬😤

View attachment 3508224

Asanteni na siku njema!
Ungewachana huko huko kazini kwenu. Kuja ku-vent huku JF sidhani kama itasaidia cho chote maana kesho ukijifanya mzungu na earphones zako majamaa yatakusemesha tu - hasa kama una tako 😂😂😂
 
Ungewachana huko huko kazini kwenu. Kuja ku-vent huku JF sidhani kama itasaidia cho chote maana kesho ukijifanya mzungu na earphones zako majamaa yatakusemesha tu - hasa kama una tako 😂😂😂
Daaah 😂 una tabia hizi nini? ukikuta mtu kavaa headphones inamaanisha hataki kusumbuliwa, muache.
 
1. Niko chooni halafu mtu anajua kabisa mlango umefungwa kwa ndani lakini yeye anaendelea kuugonga tu. Hii ii ni mbaya maana it leads me not to answer well the call of nature.

2. Niko katikati ya tendo la ndoa na nimekaribia kumwaga bao, kisha bibie anachomoa muhogo wangu labda kwa kuwa muhogo wangu ni mkubwa mno na kwamba hawezi kuuvumilia ama sabubu zingine. Hii si nzuri maana unanifanya nisi-enjoy kula tunda.
 
Daaah 😂 una tabia hizi nini? ukikuta mtu kavaa headphones inamaanisha hataki kusumbuliwa, muache.
Nani kasema? Siyo kwa jamii yetu ya Kitanzania. Mnaigaiga mambo ya wazungu huko na kuyaleta huku bila kuzingatia muktadha, mila na utamaduni wa watu waliowazunguka. Kuongeleshwa kwa kweli utaongeleshwa tu whether umevaa headphones ama la!
 
1. Niko chooni halafu mtu anajua kabisa mlango umefungwa kwa ndani lakini yeye anaendelea kuugonga tu. Hii ii ni mbaya maana it leads me not to answer well the call of nature.
Inakera sana 😅 kwahiyo mtu akikugongea gogo linarudi tena tumboni au 😅
2. Niko katikati ya tendo la ndoa na nimekaribia kumwaga bao, kisha bibie anachomoa muhogo wangu labda kwa kuwa muhogo wangu ni mkubwa mno na kwamba hawezi kuuvumilia ama sabubu zingine. Hii si nzuri maana unanifanya nisi-enjoy kula tunda.
Kindege 🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽 kwani huwa unamwaga kimya kimya? mwenzio atajuaje sasa kama umekaribia?
 
Nani kasema? Siyo kwa jamii yetu ya Kitanzania. Mnaigaiga mambo ya wazungu huko na kuyaleta huku bila kuzingatia muktadha, mila na utamaduni wa watu waliowazunguka. Kuongeleshwa kwa kweli utaongeleshwa tu whether umevaa headphones ama la!
Jamii yenu wewe na nani?
Acheni kuwa wasumbufu, basi afadhali mtu awe na kitu cha maana cha kusema, mara nyingi ni ujinga ujinga tu!
 
Inakera sana 😅 kwahiyo mtu akikugongea gogo linarudi tena tumboni au 😅

Kindege 🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽 kwani huwa unamwaga kimya kimya? mwenzio atakuaje sasa kama umekaribia?
Yaani mtu akigonga mlango mara kadhaa gogo langu siyo kwamba linarudi tu tumboni bali linapanda hadi mgongoni kwa kuhofia iwapo mgongaji anataka kuuvunja mlango ama la.

Waliochomo dude langu mara nyingi nikiwauliza wanasema ninawaumiza K zao.
 
Inakera sana 😅 kwahiyo mtu akikugongea gogo linarudi tena tumboni au 😅

Kindege 🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽 kwani huwa unamwaga kimya kimya? mwenzio atakuaje sasa kama umekaribia?
Yaani mtu akigonga mlango mara kadhaa gogo langu siyo kwamba linarudi tu tumboni bali linapanda hadi mgongoni kwa kuhofia iwapo mgongaji anataka kuuvunja mlango ama la.

Wanaochomoa dude langu mara nyingi nikiwauliza wanasema ninawaumiza K zao.
 
Inakera sana 😅 kwahiyo mtu akikugongea gogo linarudi tena tumboni au 😅

Kindege 🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽 kwani huwa unamwaga kimya kimya? mwenzio atakuaje sasa kama umekaribia?
Yaani mtu akigonga mlango mara kadhaa gogo langu siyo kwamba linarudi tu tumboni bali linapanda hadi mgongoni kwa kuhofia iwapo mgongaji anataka kuuvunja mlango ama la.

Wanaochomoa dude langu mara nyingi nikiwauliza wanasema ninawaumiza K zao.
 
Jamii yenu wewe na nani?
Acheni kuwa wasumbufu, basi afadhali mtu awe na kitu cha maana cha kusema, mara nyingi ni ujinga ujinga tu!
Katika jamii yetu kwanza kuweka headphones kukiwa na watu wengine ni dalili ya social awkwardness, kuwa extreme introverted na inaweza kutafsriwa kama kiburi, kutojali na majivuno.

Ninazo hapa noise cancelling lakini pia najua siwezi kuzivaa kukiwa na watu - iwe kazini au kwingineko maana watu watanisemesha tu. Huwa nasubiri nikiingia ofisini, gym, jogging au nikiwa po pote peke yangu.

Haya mambo yatabadilika polepole lakini kulalamika eti watu wanakusemesha huku umevaa headphones kwa jamii ya sasa siyo halali. Toa hizo headphones. Ongea na watu. Ukiwa peke yako ofisini au kwingineko blast them to the max....
 
Acha tu hii ni leo mchana, nimekereka, nilikua niko kwenye mood nzuri na playlist yangu naflow na kazi zangu, from nowhere mtu ananijia na small talk za ujinga tu!
Pole, kwa jinsi unavyoleta mada zako, yaonekana wee mwanamke unatamanisha sana, hatumlaumu njemba mwenzetu! Kajigonga gonga kwako kumbe domo zege! Kutongoza nako kwahitaji maarifa dada!
 
Back
Top Bottom