lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,154
- 33,354
Hapa Tanzania kumezuka na kauli za hovyo za kutetea ujinga kwa kuwatupia Lawama washauri.
Kwa mfano utasikia baadhi ya watu wakimtetea kiongozi fulani pale Jambo linapoharibika kwa kusema"Unajua kiongozi inawezekana Hana Nia mbaya ila Anawashauri wabaya" au unajua kiongozi Ana Nia njema ila Sema Ana shauriwa vibaya,watu wanamshauri kwa Maslahi Yao"
Hizi kauli zipo Sana na zimechuku kasi kubwa Sana. Ki ukweli Ukiwa na kiongozi ambae hajui kutofautisha Kati ya ushauri mbaya na ushauri mzuri huyo hafai kuwa kiongozi.
Kiongozi Bora ukiona mshauri anakushauri vibaya piga chini,ila ukipokea ushauri huo ujue wewe ndo wa kuwajibika. Tundu Lissu hajafa, karudi na Moto kuliko alivyokuwa.
Dunia nzima inafuatilia kila hatua anayopiga.
Kwa mfano utasikia baadhi ya watu wakimtetea kiongozi fulani pale Jambo linapoharibika kwa kusema"Unajua kiongozi inawezekana Hana Nia mbaya ila Anawashauri wabaya" au unajua kiongozi Ana Nia njema ila Sema Ana shauriwa vibaya,watu wanamshauri kwa Maslahi Yao"
Hizi kauli zipo Sana na zimechuku kasi kubwa Sana. Ki ukweli Ukiwa na kiongozi ambae hajui kutofautisha Kati ya ushauri mbaya na ushauri mzuri huyo hafai kuwa kiongozi.
Kiongozi Bora ukiona mshauri anakushauri vibaya piga chini,ila ukipokea ushauri huo ujue wewe ndo wa kuwajibika. Tundu Lissu hajafa, karudi na Moto kuliko alivyokuwa.
Dunia nzima inafuatilia kila hatua anayopiga.