gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Wahitimu wa vyuo hawapo na wewe, wamepata tumaini jipya huenda kutokuwepo kwake wao watapata ajira,hapo unasemaje?Unapoteza mb na muda wako kupost ujinga. Kila mtu anahoji itakuwaje maana JPM ameondoka. Tumia akili hatanya kuazima