Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Hujasikia Tangazo la kukataza kufanya sherehe yoyote mpaka siku 21 ziishe?Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko Twita, wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.
Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.
Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Watz wataendelea kulazimishwa kufanya tofauti na matakwa yao hadi lini?
Kwa katazo hilo ni wazi utagundua nini kinaendelea kwenye huu msiba.
Sitashangaa kama hao watu wametengenezwa kama ambavyo akina mwamposa wanaset watu wao.
Kwanini ulazimishe watu wahuzunike pamoja na wewe?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app