Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,929
- 141,890
Muda utaonyesha na utaongea.Mind games, na kwa bahati mbaya wabongo ni watu wa kubebeka kirahisi so tutakwenda na maji.
Anyway, time will tell.
Ndo maana nasita kuamini alichokisema.Wanakuja na matamko mapya kwao kwa sababu ya kutengeneza majibu ya Umoja wa Ulaya kumbuka wamepewa siku kadhaa mwisho na pia wanategemea sana msaada wao ili waendelee kuiba..
Wamekufa watu wakidai mabadiliko ya katiba leo anajitokeza kirahisi eti hata wao wanataka katiba sio kweli bhana haitaji akili kujua hilo.Ndo maana nasita kuamini alichokisema.
nchimbi ni attention seekerBaadhi yetu humu, tena kwa zaidi ya miaka 20 sasa, tumekuwa tukiyasema yale ambayo Emmanuel Nchimbi kayasema jana kuhusu katiba.
Hivyo hakuna lolote jipya alilolisema.
Tunaweza hata kusema kuwa kaiga hoja zetu bila kutaja alikozitoa.
Kwa mfano, kuna mabandiko yangu mengi tu humu ambapo ninasema kuwa katiba mpya na iliyo bora itakuwa na manufaa kwa wote, ikiwemo hadi CCM wenyewe.
Nimekuwa nikisema hivyo toka 2005!!
Akisema Ngabu, hakuna nongwa.
Ila akisema Nchimbi, walamba makalio wanaanza kumsifia sifia.
Hapo ndo ujue kuwa baadhi yetu humu huwa tuko mbele sana ya muda.
Kesho na keshokutwa huyo Nchimbi akisema kuwa ‘Niafrika ndivyo tulivyo’, walamba makalio kama yule Ngosha feki watakuja na kila aina ya mabandiko yanayomsifia Nchinbi kwa kuwa msema kweli 😀.
Naungana na wale wote ambao wana mashaka na hizo kauli za huyo Nchimbi.
Muda utaongea.
Watanzania wameamka sana mkuu na wanshitaji maendeleo ya kweli na uchungu wanapata waliona bara bara zikijengwa ila sasa hivi hakuna kitu kinafanyika utegemee wakuamini..Jana nimeingia mitandaoni kuangalia maoni ya watanzania jinsi walivyoichukua kauli ya Nchimbi hakika wabongo wengi wameamka Sana.
Kwa kifupi wabongo wamekuwa na mashaka na statement ya Nchimbi
Wanaacha kujadili mambo ya msingi wanajadili mambo ya katoroMind games, na kwa bahati mbaya wabongo ni watu wa kubebeka kirahisi so tutakwenda na maji.
Anyway, time will tell.
Rejea "mnavyotaka ninyi ndivyo tunavyotaka sisi"Baadhi yetu humu, tena kwa zaidi ya miaka 20 sasa, tumekuwa tukiyasema yale ambayo Emmanuel Nchimbi kayasema jana kuhusu katiba.
Hivyo hakuna lolote jipya alilolisema.
Tunaweza hata kusema kuwa kaiga hoja zetu bila kutaja alikozitoa.
Kwa mfano, kuna mabandiko yangu mengi tu humu ambapo ninasema kuwa katiba mpya na iliyo bora itakuwa na manufaa kwa wote, ikiwemo hadi CCM wenyewe.
Nimekuwa nikisema hivyo toka 2005!!
Akisema Ngabu, hakuna nongwa.
Ila akisema Nchimbi, walamba makalio wanaanza kumsifia sifia.
Hapo ndo ujue kuwa baadhi yetu humu huwa tuko mbele sana ya muda.
Kesho na keshokutwa huyo Nchimbi akisema kuwa ‘Niafrika ndivyo tulivyo’, walamba makalio kama yule Ngosha feki watakuja na kila aina ya mabandiko yanayomsifia Nchinbi kwa kuwa msema kweli 😀.
Naungana na wale wote ambao wana mashaka na hizo kauli za huyo Nchimbi.
Muda utaongea.
Upo Sahihi mkuu Hili Swala Lina Ukakasi mkubwa SanaWamekufa watu wakidai mabadiliko ya katiba leo anajitokeza kirahisi eti hata wao wanataka katiba sio kweli bhana haitaji akili kujua hilo.
Yaani watu hawajayakubali kabisa Maneno ya Nchimbi.Ccm wanamichezo ya kitoto sanaa.
Inahitaji akili ya mwendawazimu kuiamini CCM.Yaani watu hawajayakubali kabisa Maneno ya Nchimbi.
Hiyo ni moja ya ishara ya kwamba Watanzania walishakosa kabisa imani na CCM.
Nyani ngabu Mimi ni Tomaso kwa sisi wasukuma tunasema (MPAKA BONA) MPAKA KUONA.Baadhi yetu humu, tena kwa zaidi ya miaka 20 sasa, tumekuwa tukiyasema yale ambayo Emmanuel Nchimbi kayasema jana kuhusu katiba.
Hivyo hakuna lolote jipya alilolisema.
Tunaweza hata kusema kuwa kaiga hoja zetu bila kutaja alikozitoa.
Kwa mfano, kuna mabandiko yangu mengi tu humu ambapo ninasema kuwa katiba mpya na iliyo bora itakuwa na manufaa kwa wote, ikiwemo hadi CCM wenyewe.
Nimekuwa nikisema hivyo toka 2005!!
Akisema Ngabu, hakuna nongwa.
Ila akisema Nchimbi, walamba makalio wanaanza kumsifia sifia.
Hapo ndo ujue kuwa baadhi yetu humu huwa tuko mbele sana ya muda.
Kesho na keshokutwa huyo Nchimbi akisema kuwa ‘Niafrika ndivyo tulivyo’, walamba makalio kama yule Ngosha feki watakuja na kila aina ya mabandiko yanayomsifia Nchinbi kwa kuwa msema kweli 😀.
Naungana na wale wote ambao wana mashaka na hizo kauli za huyo Nchimbi.
Muda utaongea.
💯%,Inahitaji akili ya mwendawazimu kuiamini CCM.
Katiba mpya tumeiongelea siku zote, VP hana jipya.Baadhi yetu humu, tena kwa zaidi ya miaka 20 sasa, tumekuwa tukiyasema yale ambayo Emmanuel Nchimbi kayasema jana kuhusu katiba.
Hivyo hakuna lolote jipya alilolisema.
Tunaweza hata kusema kuwa kaiga hoja zetu bila kutaja alikozitoa.
Kwa mfano, kuna mabandiko yangu mengi tu humu ambapo ninasema kuwa katiba mpya na iliyo bora itakuwa na manufaa kwa wote, ikiwemo hadi CCM wenyewe.
Nimekuwa nikisema hivyo toka 2005!!
Akisema Ngabu, hakuna nongwa.
Ila akisema Nchimbi, walamba makalio wanaanza kumsifia sifia.
Hapo ndo ujue kuwa baadhi yetu humu huwa tuko mbele sana ya muda.
Kesho na keshokutwa huyo Nchimbi akisema kuwa ‘Niafrika ndivyo tulivyo’, walamba makalio kama yule Ngosha feki watakuja na kila aina ya mabandiko yanayomsifia Nchinbi kwa kuwa msema kweli 😀.
Naungana na wale wote ambao wana mashaka na hizo kauli za huyo Nchimbi.
Muda utaongea.