Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,697
- 71,614
Nitajaribu my wangu
Kila la heri my wangu 😊
Nitajaribu my wangu
Bado uzi wako ni muendelezo wa kujifariji mkuu.Usiombe hii kitu uwe nayo kwenye mawazo yako na sana sana uwe unaingia kwenye platform mbalimbali kusoma dalili za huo ugonjwa (VVU na UKIMWI) au tabia zake baada ya kuambukizwa na ukawa una shaka juu ya hizo dalili.
Binafsi niliwahi kudumbukia kwenye haya mawazo (hata ukipitia thread zangu za kitambo utagundua hiko kitu)
Matokeo yake nilipata vidonda vya tumbo na kukonda sana na niliamini kweli nimeupata.
Lakini nilichogundua ni kwamba yale mawazo yalikuwa ni source ya mimi kupata vidonda vya tumbo na kukonda. Nikaacha hayo mawazo en nowdays nanenepa tu despite sikuenda kupima na niko na msimamo wa kutokwenda kupima.
Ushauri Wangu Kwa Vijana Wenzangu: 1. Tutake Risk huu ugonjwa upo jamani
2. Hakuna kitu kibaya cha kukiogopa kama uoga wenyewe
Am done unaweza kuongezea
Weka imani ya kwamba huna halafu ukapime.
Jonah mmoja namuelewaPole aisee..
Jonah mmoja namuelewa
Nitapima siku si nyingi ila nina 65% kuwa niko safe hizo zilizobaki ni hofu pamoja na makato ya VATBado uzi wako ni muendelezo wa kujifariji mkuu.
Wengi tunagoma kupima, ila cha kufanya ni kutulia na kuishi vyema now huku matumaini yakiwepo, kama haupo itakua hvyo ila kama upo ipo siku tu utajua.
Keep the good spirit.
Niende lini maana wiki hii health center nyingi nakuta zimefungwa
Duh...
Na fanya juu chini usiende maana unaepushwa kiroho we uelewi! Unachokitafuta utakipata...Niende lini maana wiki hii health center nyingi nakuta zimefungwa
Nikionaga hivyo vitu joto linapanda..
Ushauri nasaha unahitajika mno
Duh kumbe hadi wewe!??Hahahah mie pia
Japo ni vitu vya kawaida lakini ukawaida wake sio wa kawaida
mkuu kwani ukisoma soma zile dalili za mwanzo wiki nne hadi sita!! unaonaje.Niende lini maana wiki hii health center nyingi nakuta zimefungwa