Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,443
Duh kumbe hadi wewe!??
Mimi hata nikiwa niko njia kuu ila Uoga uko pale pale,mtoa mada amepita mulemule.
Ukawaida usio wa kawaida
Hahaha tena mie ndio niko kwenye risk ya kuupata kwa namna nyingi tu....sio mdau wa condom japo ni mzuri wa kushauri watu watumie