Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye



Mungu hukulipa hapa hapa duniani. Tena wakati mwingine huweza kumtumia hata mkeo au wanao kukuadhibu ikiwa ulimuasi ukiwa kijana.
Mhubiri 12
1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
2 Kabla jua, na nuru, na mwezi, Na nyota, havijatiwa giza; Kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;
3 Siku ile walinzi wa nyumba watakapotetema; Hapo wenye nguvu watakapojiinamisha; Na wasagao kukoma kwa kuwa ni haba; Na hao wachunguliao madirishani kutiwa giza;
4 Na milango kufungwa katika njia kuu; Sauti ya kinu itakapokuwa ni ndogo; Na mtu kusituka kwa sauti ya ndege; Nao binti za kuimba watapunguzwa;
5 Naam, wataogopa kilichoinuka Na vitisho vitakuwapo njiani; Na mlozi utachanua maua; Na panzi atakuwa ni mzigo mzito; Na pilipili hoho itapasuka; Maana mtu aiendea nyumba yake ya milele, Nao waombolezao wazunguka njiani.
6 Kabla haijakatika kamba ya fedha; Au kuvunjwa bakuli la dhahabu; Au mtungi kuvunjika kisimani; Au gurudumu kuvunjika birikani;
7 Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.
 


Mkuu umenena maneno mazito yenye hoja. Safi sana
 
Hiyo ni torati lazima tuifuate. Lakini siku ukiujua ukweli utakuweka huru.
Hiyo id ninayotumia ananiita hivyo mwanangu mmoja niliyemuangaikia kumsomesha elimu nzuri kwa hali yangu ya chini kwa kubangaiza baada ya kupata retrenchment nikiwa tu na miaka 7 kazini iliyokuwa NBC it was 1997 nimewasomesha wanangu international schools from primary to university levels je hizo ghalama nilizotumia tena kwa kujinyima zisingeweza kuweka investment ya kula maisha? leo hii mambo yaniendee kombo niitwe jinga!! kwa kauli km hii watoto wangu hawezi kuelewa mleta mada may be kuna jinsi mzazi wake hakumjengea future so ana hasira naye yangu hayo tu
 
Watu wengi hawajajua kuwa huyu joka jeusi ana mgogoro mzito na baba take. Na kwa uandishi huu wa mleta Uzi in type ya mtoto anayeweze hata kumuua baba yake.. Lkn pia mleta Uzi anakasumba ya kutopenda kukosolewa. Ukiangalia response yake kwenye comment zilizompinga utagundua madhaifu hayo.
 
Kila mtu Na akili yake ninachoona hapa Kuna watu wanataka kukimbia majukumu yao Yaani baba kakulea mpaka umekua Leo amezeeka unamtenga No haiko sawa Labda Kama unatafuta watu wa kufa nao baada ya wewe kuvuruga
 
Uko sahihi kabisa nimeligundua hilo
 
Hii somo ulilotoa hapa linapaswa liingizwe kwenye mtaala wa elimu,la sivyo umaskini hautokaa uishe kwetu.

Tungepata na sheria,iwe ni kosa mtu kuzaa bila kuwa na uwezo wa kulea
 


Mungu atakulipa sawa sawa na ulivyotenda
 
Kila mtu Na akili yake ninachoona hapa Kuna watu wanataka kukimbia majukumu yao Yaani baba kakulea mpaka umekua Leo amezeeka unamtenga No haiko sawa Labda Kama unatafuta watu wa kufa nao baada ya wewe kuvuruga


Soma vizuri mada.
 
Mtoa mada anatukumbusha kutumia ujana vizuri ili uzeeni tusipate shida. Tuna wajibu Wa kuwasaidia wazazi wetu ila pia tuna wajibu Wa kujiandaa na maisha ya uzeeni, tufanye Kazi tuwekeze kwa maisha ya baadae
 
Mtoa mada anatukumbusha kutumia ujana vizuri ili uzeeni tusipate shida. Tuna wajibu Wa kuwasaidia wazazi wetu ila pia tuna wajibu Wa kujiandaa na maisha ya uzeeni, tufanye Kazi tuwekeze kwa maisha ya baadae


Wewe umeelewa vizuri mada. nadhani yale maswali ya ufahamu/Comprehension ulikuwa unayapatia
 
Ukikaa na kutafakar maneno hyo ulioyaandika utajua kma unachokusupport sio sahihi.
 
Unajua watu hawapingani na fikra zako ila maneno yako ulioyatumia hyajaleta taswira nzuri.
 
Mtoa mada anatukumbusha kutumia ujana vizuri ili uzeeni tusipate shida. Tuna wajibu Wa kuwasaidia wazazi wetu ila pia tuna wajibu Wa kujiandaa na maisha ya uzeeni, tufanye Kazi tuwekeze kwa maisha ya baadae
Mtoa mada concept yake inaeleweka ila tatizo kubwa tu utumiaji wa lugha ndio imekua shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…