Hakuna haja ya Nyerere Day


Si kweli.

Nyerere hakukuta ukabila na ukanda, hata yeye alikuwa wakuja Dar na akapokelewa na kulazzwwa, kulishwa kuvishwa na akina Sykes. Hilo lipo wazzi kabisa.

Ingekuwa kuna ukabila na ukanda au udini kama unavyotaka kutuaminisha, jee Nyerere angekaribishwa na Waislam wa Dar? Fikiri.

Ukabila tulikuja kuuona baada ya azimio la Arusha, mpaka ukapewa jina "udugunaizeshen". Sijuwi kama ulikuwepo.
 
Itafikia kipindi "identity" zote za taifa zitakufa. Na atatotea Rais mwingine kipindi kuna maendeleo na atazirudisha na ataonekana ana akili.[emoji848]
 
Voltaire alijitahidi sana kuandika vitabu vingi vya kumkosoa Masihi wa Bwana. Lakini havikupunguza kuongezeka kwa wafuasi wake ambao leo hii wapo hadi China.

Munga Tehenan aliyepata kuwa mwandishi mahiri hapa nchini aliwahi kuandika kitabu cha kumsema vibaya Mwalimu Nyerere. Ni watu wachache waliokinunua achilia mbali kukinunua.

Ushauri wangu kwako, you cannot fight Mwalimu Nyerere in any way even if He is dead.
 
Wewe ni mtu usiekuwa na akili hicho kitabu unachosema kina udini mtupu na we utakua una udini bara lote la Africa wanajua mchango wa nyerer ndio maana amejengewa nyumba kubwa juz na wenzetu hixo ni dalili za kuheshimika Leo hii we pang'ang'a cjui umetokea wapi na ujinga wako unataka kutuamisha kuwa nyerere hafai hata kama ana mabaya ni ya kibinadamu yapo kwa kila MTU hayo.unaamini kitabu bila kufanya uchunguzi we mkurupukaji tu
 
Faiza Foxy inawezekana wewe ulikuwepo enzi hizo. Nyerere alitufundisha kuwa na umoja, alipiga vita ukabila na ukanda.

Angeweza kuwa na akili za kibepari za kupenda utajiri na watoto wake ndio wangekuwa wamiliki wa mabenki na majumba makubwa. Hakufanya hivyo licha ya kuwa na uwezo huo. Wale wenye akili za utafutaji zenye kuona mbali ndio wale waliokuja kujenga majengo ya oysterbay enzi hizo, ambayo wameyapangisha kwa mabalozi na kuchukua kodi ya maana.

Hao matajiri hawakuwa kundi moja na Nyerere, vinginevyo wapo watu wa makabila mengi tu ambao sasa hivi ingekuwa inakula kwao.

Halafu kuja kutoka Bara na mtu kuonekana wakuja kama unavyosema sio issue ya mtu kujisifia. Mamwinyi wangapi wanakufa na ulofa wao katika maeneo ya wenyeji wa jiji la Dar?. Wakuja wangapi wanaishi hapa Dar maisha mazuri tena yaliyojaa neema halafu kuna watoto wa kidarisalama ambao wanaishi kupiga mihayo mabarazani?.
Watoto wa kidarisalama kazi yao kuangalia warembo waliovaa sketi fupi na kuanza kuwaongelea kwenye vijiwe vya mafundi viatu, mwisho wa siku umasikini unawahusu mpaka siku yao ya kufa.
 
kinakumbukwa kifo chake,kwahiyo wewe unaye mchukia unaweza kufurahia kufa kwake!!
 
Ndio maana wanasema kwa nini tusiweke siku ya kuwakumbuka legends wote waliopigana uhuru,tukiweka NyerereDay tuu huoni tutakuwa tumewabagua wengine pia?
 
Kwa kifupi aliruhusiwa na katiba ya nchi ambayo ndiyo inampa mamlaka ya kuamua nini afanye na nini asifanye kama mkuu wa nchi.Mhe.Thomaso swali la nyongeza!
 
Na mimi nakuuliza wewe,nani alimruhusu Nyerere kuunganisha watanganyika wa makabila tofauti kuwa wamoja?pia nani alimruhusu Nyerere kujenga viwanda ambavyo makada wa CCM wamevifilisi?nani alimpa Nyerere kibali cha kuwa mwanamapinduzi mpaka majuzi AU wamelipa jina lake jengo lao la Amani kule Ethiopia,lililozinduliwa na waziri mkuu wa Ujerumani?.Alafu ukimaliza kunijibu uweke na CV yako alafu tulinganishe michango yako na yake kwenye maendeleo ya taifa hili!
 

Tangu mgombea wetu ashinde urais wewe na dada yetu FF mmepotea sana mkuu. Tumewamiss kweli!
 
Nani alimruhusu..ulitaka ruhusa itoke kwako? alipoumbwa Hawa Adam hakuombwa ruhusa...kwa hiyo tuanze kumuhoji Muumba kwa Hawa kurubuniwa na lucifer au tuangalie tunaishi vipi na Hawa?

Pilot halazimiki kuuliza abiria 'sasa nawahoji...wanaotaka niitue Arusha airport waseme ndiooooo'

Hongeara kwa kuandika pumba.
 
Tangu mgombea wetu ashinde urais wewe na dada yetu FF mmepotea sana mkuu. Tumewamiss kweli!



Mkuu kama mzee wa msoga alishindwa kumpa ujumbe wa nyumba kumi faizafoxy unafikiri mzee wa mwendokasi anaweza kumpa...yupo mwanambaya na mkuranga analima mihogo siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…