Tunaaminishwa kwamba ili kuondoa migogoro ya kugombea mali za Marehemu ni muhimu kuandika wosia.
Maana ya wosia: refers to the document written by a testator that details what is to happen to property owned by that testator upon death.
Kwa mantiki hiyo wosia ni matakwa ya mwenye mali kuamua ibakie kwa nani mara atakapokuwa amepumzika kwa amani. Sasa kwanini kuna mtu au taasisi inaingilia matakwa hayo?
Kilichofanywa na mahakama kwa Jacqueline Mengi kutengua wosia wa Mzee Mengi, ndiyo kinawapa nguvu familia ya Mrema kumfanyia vurugu mjane wake.
Mapendekezo:
Itungwe sheriaya ya kuzuia mtu mzima(miaka 25+) kugombea/kupewa mali za marehemu hata kama ni mtoto wa kuzaliwa.
Swali: Kama Mahakama inaweza kutengua wosia kizembe namna hii kuna haja gani ya kuandika wosia?
Maana ya wosia: refers to the document written by a testator that details what is to happen to property owned by that testator upon death.
Kwa mantiki hiyo wosia ni matakwa ya mwenye mali kuamua ibakie kwa nani mara atakapokuwa amepumzika kwa amani. Sasa kwanini kuna mtu au taasisi inaingilia matakwa hayo?
Kilichofanywa na mahakama kwa Jacqueline Mengi kutengua wosia wa Mzee Mengi, ndiyo kinawapa nguvu familia ya Mrema kumfanyia vurugu mjane wake.
Mapendekezo:
Itungwe sheriaya ya kuzuia mtu mzima(miaka 25+) kugombea/kupewa mali za marehemu hata kama ni mtoto wa kuzaliwa.
Swali: Kama Mahakama inaweza kutengua wosia kizembe namna hii kuna haja gani ya kuandika wosia?