witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
Nazungumzia mahusiano ya ki boyfriend na girlfriend sio wanandoa!Kutoa hela kwa mtu unayempenda sio kuhonga. Ni sawa na kuiachia hela ya matumizi familia yako. Huwezi sema umehonga
Nazungumzia mahusiano ya ki boyfriend na girlfriend sio wanandoa!Kutoa hela kwa mtu unayempenda sio kuhonga. Ni sawa na kuiachia hela ya matumizi familia yako. Huwezi sema umehonga
Ndio maana nikasema kumpa hela umpendaye sio kuhongaNazungumzia mahusiano ya ki boyfriend na girlfriend sio wanandoa!
Nani kasema nataka kupewa?Si utafute zako mpaka upewe na mwanaume
Sasa nimejua brother. Ur a great thinkerNi furaha sana kwa mwanamke unayemtongoza kukulia vijisenti vyako na asikupe papuchi!huwa wanajiona washindi sana na kukublock watakublock tu!
Team kiumeni ni marufuku kumpa pesa mwanamke yeyote ambaye sio demu wako,sio mama yako sio shangazi yako,sio binamu yako,sio bibi yako!zaidi ya hapo nipe nikupe,hakuna habari za western Union wala m.pesa ni cash on hand
Kwamba madhara ni yepi mkuumwanamke mjinga tu ndio anaweza akala hela za mwanaume kisha asimpe penzi,mwanamke mwerevu hawezi fanya hivyo maana anajua madhara yatakayo tokea labda uyo mwanume husika aamue mwnyewe kupotezea.
Ukiona hajibu txt ujue uyo ndo basi tena tafuta mbinu nyengine... na mbinu yenyewe ni kuhakikisha una onana naeAiseee the struggle is really
Mimi kuna mmoja namfukuzia natamani ata awe ananipiga vizinga text zangu tu hajibu
Dunia haiko fair
Nitaonana nae viph Wakati hatuwasilianiUkiona hajibu txt ujue uyo ndo basi tena tafuta mbinu nyengine... na mbinu yenyewe ni kuhakikisha una onana nae
Ngoja nimtafute uyu[emoji14] [emoji14] [emoji14] View attachment 906291
Kwani namba yake alikupea wapi? Navyojua mimi kama demu akujibu text jitahidi kumpigia ongea nae kidogo then unakata na hakikisha utakayo ongea nae yanafanya aanze kukuwaza na atakua anakaa anasubir umpigie tena... hii njia ya kwanza na njia ya pili kama unajua unako weza kukutana nae unafanya ukutane nae na uki kutana nae una hakikisha anafuraia kuwa na weweNitaonana nae viph Wakati hatuwasiliani
Tulia we Mwanamke!Kufungua uzi kama huu huo ni Ushangazi.
[emoji23][emoji23]Aiseee the struggle is really
Mimi kuna mmoja namfukuzia natamani ata awe ananipiga vizinga text zangu tu hajibu
Dunia haiko fair
Siyo vizuri unavyo nifanyia[emoji34][emoji34][emoji34][emoji23][emoji23]
Usikate tamaa buda,komaa tu
Siyo vizuri kabisa unavyo nifanyia Mtoto wa mwanamke mwenzio[emoji23][emoji23]
Usikate tamaa buda,komaa tu
Siyo vizuri unavyo nifanyia[emoji34][emoji34][emoji34]
And I never wanted you to see this