Hakuna furaha anayoipata mwanamke kama hii!

Hakuna furaha anayoipata mwanamke kama hii!

Ni furaha sana kwa mwanamke unayemtongoza kukulia vijisenti vyako na asikupe papuchi!huwa wanajiona washindi sana na kukublock watakublock tu!
Team kiumeni ni marufuku kumpa pesa mwanamke yeyote ambaye sio demu wako,sio mama yako sio shangazi yako,sio binamu yako,sio bibi yako!zaidi ya hapo nipe nikupe,hakuna habari za western Union wala m.pesa ni cash on hand
Aiseee the struggle is really
Mimi kuna mmoja namfukuzia natamani ata awe ananipiga vizinga text zangu tu hajibu
Dunia haiko fair
 
mwanamke mjinga tu ndio anaweza akala hela za mwanaume kisha asimpe penzi,mwanamke mwerevu hawezi fanya hivyo maana anajua madhara yatakayo tokea labda uyo mwanume husika aamue mwnyewe kupotezea.
Hapa ndumba inahusika kwa asilimia zote!haaaahaa
 
Tena wala hatakusumbua kuhusu vijihela. Ukimkuna haswa, atakuhonga yeye ili usimpe mwingine utamu
Haaahaaa....huyo mwanamke atakuwa mpuuzi kwelikweli![emoji15] [emoji15]

Wanaume wanaojielewa bado wapo sana tuu na anajua nini maana ya mahusiano!
 
Haaahaaa....huyo mwanamke atakuwa mpuuzi kwelikweli![emoji15] [emoji15]

Wanaume wanaojielewa bado wapo sana tuu na anajua nini maana ya mahusiano!
Sijakuelewa mama. Mwanamke anayekojozwa ndo mpuuzi
 
Nikisikia watu wanatoa hela kipindi cha kutongoza uwaga nashangaa sababu sijawahi fanya hivo.

Outing sawa tutaenda kwa gharama zangu ukileta njaa nafuta namba zako.why sababu si date wanawake wajinga wajinga siwez kuchukua namba yako week haijaisha uombe hela!!!hiko ni kipimo utakuwa hujielewi au umeniona mimi sijielewi na sipo tyr kudate type hii ya mwanamke. Kila mtu na type yake.

Naenda kutongoza nikiwa na kibri sababu najua no matter what siwezi kutembea na kila mwanamke dunia hii so i stick to my standards.
Mkuu agiza chochote nakuja kulipa
 
Back
Top Bottom