Katika Bunge linaloendelea, Naibu Spika amethibisha kuwa Sheria iliyotungwa na Bunge inakataza FAO la Kujitoa
--TAMKO ZITO Fao la Kujitoa----Soma zaidi ....Tamko zito fao la kujitoa
TUCTA wanayo hii habari?
Wafanyakazi mnayo hii habari?
Watanzania tuendelee kulala
Wacha Pesa zijenge viwanda, baada ya miaka 10 vife
Hivi Watanzania wenzangu...Sababu zipi ziliua viwanda?
Je...Bidhaa za Tanzania zina ubora wa kutosha?
Mfano..Kuna Siagi (butter) Tanzania?
--TAMKO ZITO Fao la Kujitoa----Soma zaidi ....Tamko zito fao la kujitoa
TUCTA wanayo hii habari?
Wafanyakazi mnayo hii habari?
Watanzania tuendelee kulala
Wacha Pesa zijenge viwanda, baada ya miaka 10 vife
Hivi Watanzania wenzangu...Sababu zipi ziliua viwanda?
Je...Bidhaa za Tanzania zina ubora wa kutosha?
Mfano..Kuna Siagi (butter) Tanzania?