Hakuna anayehusika zaidi ya wao wenyewe

GiftedMan94

Senior Member
Dec 28, 2017
115
342
Nimefuatilia kwa karibu sakata la wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA. Nimegundua kuwa CCM wala tume hawahusiki kabisa wanasingiziwa na kuonewa.

Kwanza Tume kazi yake ni kupokea majina kutoka kwa Chama kupitia katibu mkuu wa Chama na sio kazi ya tume kupeleleza kujua saini imegushiwa au la!

Kama kuna jambo hilo basi ni jinai iliyofanywa na Halima na wenzake hakuna sababu ya kuilaumu tume.
Pili kundi hili karibia wote walikuwa wagombea majimboni badala ya kushindwa uchaguzi ambao ULIKUWA HURU NA HAKI ( CHADEMA walishindwa uchaguzi) wakaona watafute njia nyingine ya kuendelea kujadiliwa.

Basi inawezekana kabisa ni mpango wa Chadema wenye kusuka hili sakata ionekane Tume na Chama tawala kinataka kukihujumu Chadema. Chadema kinataka kujitekenya na kucheka chenyewe.

MWISHO, CHADEMA kipambane chenyewe na wa wanachama wao bila kuhusisha Tume na wala Bunge. Kama jinai imetendeka waende mahakamani. Na kama ni kusuka hilo sakata wenyewe basi mpango ushafeli.
 
Kwahiyo CHADEMA ndio waliomtoa Nusrat mahabusu na kumleta Bungeni?

Nyie na mwenyekiti wenu wote IQ zenu ni za kutilia mashaka kwa hizi movie zenu mnazocheza.

Naona mmeanza kuwakawana, ila aangalieni na wenyewe wasije kumwaga mboga mkimwaga ugali.
 
Nimefuatilia kwa karibu sakata la wabunge wa viti maalumu wa Chadema. Nimegundua kuwa CCM wala tume hawahusiki kabisa wanasingiziwa na kuonewa.
Kwanza Tume kazi yake ni kupokea majina kutoka kwa Chama kupitia katibu mkuu wa Chama na sio kazi ya tume kupeleleza kujua saini imegushiwa au la! Kama kuna jambo hilo basi ni jinai iliyofanywa na Halima na wenzake hakuna sababu ya kuilaumu tume.
Pili kundi hili karibia wote walikuwa wagombea majimboni badala ya kushindwa uchaguzi ambao ULIKUWA HURU NA HAKI ( Chadema walishindwa uchaguzi) wakaona watafute njia nyingine ya kuendelea kujadiliwa. Basi inawezekana kabisa ni mpango wa Chadema wenye kusuka hili sakata ionekane Tume na Chama tawala kinataka kukihujumu Chadema. Chadema kinataka kujitekenya na kucheka chenyewe.
MWISHO, Chadema kipambane chenyewe na wa wanachama wao bila kuhusisha Tume na wala Bunge. Kama jinai imetendeka waende mahakamani. Na kama ni kusuka hilo sakata wenyewe basi mpango ushafeli.

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Kuhusika kwa serikali na tume kwenye jambo hili wala hakuna mjadala. Na sio kwamba juzi, bali kuhusika kwao kwa nia ovu kumeanza toka mwanzo wa mchakato wa uchaguzi. Siku ya uchaguzi ndio uchaguzi ule ukageuzwa kuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Kuhusika kwa serikali na tume kwenye jambo hili wala hakuna mjadala. Na sio kwamba juzi, bali kuhusika kwao kwa nia ovu kumeanza toka mwanzo wa mchakato wa uchaguzi. Siku ya uchaguzi ndio uchaguzi ule ukageuzwa kuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Je ni kazi ya tume kupeleleza jinai hata kama ipo?
Je ni kazi ya spika kuhoji maamuzi ya tume?
 
Nimefuatilia kwa karibu sakata la wabunge wa viti maalumu wa Chadema. Nimegundua kuwa CCM wala tume hawahusiki kabisa wanasingiziwa na kuonewa.
Kwanza Tume kazi yake ni kupokea majina kutoka kwa Chama kupitia katibu mkuu wa Chama na sio kazi ya tume kupeleleza kujua saini imegushiwa au la! Kama kuna jambo hilo basi ni jinai iliyofanywa na Halima na wenzake hakuna sababu ya kuilaumu tume.
Pili kundi hili karibia wote walikuwa wagombea majimboni badala ya kushindwa uchaguzi ambao ULIKUWA HURU NA HAKI ( Chadema walishindwa uchaguzi) wakaona watafute njia nyingine ya kuendelea kujadiliwa. Basi inawezekana kabisa ni mpango wa Chadema wenye kusuka hili sakata ionekane Tume na Chama tawala kinataka kukihujumu Chadema. Chadema kinataka kujitekenya na kucheka chenyewe.
MWISHO, Chadema kipambane chenyewe na wa wanachama wao bila kuhusisha Tume na wala Bunge. Kama jinai imetendeka waende mahakamani. Na kama ni kusuka hilo sakata wenyewe basi mpango ushafeli.
Hapo kwenye :uhuru na haki"
Sema ulikuwa huru lakini haki haikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye :uhuru na haki"
Sema ulikuwa huru lakini haki haikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nijuavyo mimi maana ya HAKI ni kupata unachostahili. Katika Uchaguzi huu kila mgombea alipata anachostahili. Kasoro ndogondogo haziwezi kosa. Hakuna uchaguzi ambao hakosi kasoro. Na kasoro hizo haziondoi HAKI ambayo kila mgombea alipata kuanzia Uraisi, Ubunge na Udiwani
 
Nimefuatilia kwa karibu sakata la wabunge wa viti maalumu wa Chadema. Nimegundua kuwa CCM wala tume hawahusiki kabisa wanasingiziwa na kuonewa.
Kwanza Tume kazi yake ni kupokea majina kutoka kwa Chama kupitia katibu mkuu wa Chama na sio kazi ya tume kupeleleza kujua saini imegushiwa au la! Kama kuna jambo hilo basi ni jinai iliyofanywa na Halima na wenzake hakuna sababu ya kuilaumu tume.
Pili kundi hili karibia wote walikuwa wagombea majimboni badala ya kushindwa uchaguzi ambao ULIKUWA HURU NA HAKI ( Chadema walishindwa uchaguzi) wakaona watafute njia nyingine ya kuendelea kujadiliwa. Basi inawezekana kabisa ni mpango wa Chadema wenye kusuka hili sakata ionekane Tume na Chama tawala kinataka kukihujumu Chadema. Chadema kinataka kujitekenya na kucheka chenyewe.
MWISHO, Chadema kipambane chenyewe na wa wanachama wao bila kuhusisha Tume na wala Bunge. Kama jinai imetendeka waende mahakamani. Na kama ni kusuka hilo sakata wenyewe basi mpango ushafeli.
Vp kuhusu mtuhumiwa chadema ndo waliamuru atolewe gerezani na kisha jina lake likapendekezwa viti maalum na spika kamuapisha sio?
Ok utaraibu wa kuwachagua ulifatwa?
Anyway uwezo wako wa kufikiri nina mashaka nao pengine we ndo ulishauri wafanye vile wamefanya sasa unajaribu kujitutumua hapo nyambafu
 
Je ni kazi ya tume kupeleleza jinai hata kama ipo?
Je ni kazi ya spika kuhoji maamuzi ya tume?

Tume na spika ni wadau namba moja kwenye hilo zoezi. Kama hawawezi kufuatilia hayo, ujue hizo ni taasisi kibogoyo.
 
Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Kuhusika kwa serikali na tume kwenye jambo hili wala hakuna mjadala. Na sio kwamba juzi, bali kuhusika kwao kwa nia ovu kumeanza toka mwanzo wa mchakato wa uchaguzi. Siku ya uchaguzi ndio uchaguzi ule ukageuzwa kuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Hahaha tatizo mnaongelea jf tu
 
Vp kuhusu mtuhumiwa chadema ndo waliamuru atolewe gerezani na kisha jina lake likapendekezwa viti maalum na spika kamuapisha sio?
Ok utaraibu wa kuwachagua ulifatwa?
Anyway uwezo wako wa kufikiri nina mashaka nao pengine we ndo ulishauri wafanye vile wamefanya sasa unajaribu kujitutumua hapo nyambafu
Swali langu ni moja mtuhumiwa hana haki ya kuwa kiongozi? Je ni kosa kupendekeza jina lake kwani mahakama ilikuwa tayari imemtia hatiani? Sheria za nchi zinaruhusu au haziruhusu?
 
Tume na spika ni wadau namba moja kwenye hilo zoezi. Kama hawawezi kufuatilia hayo, ujue hizo ni taasisi kibogoyo.
We jamaa bwana
Sasa ulitaka ndugai aende chadema akaulize kama majina ya kwao or not?
 
Nimefuatilia kwa karibu sakata la wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA. Nimegundua kuwa CCM wala tume hawahusiki kabisa wanasingiziwa na kuonewa.

Kwanza Tume kazi yake ni kupokea majina kutoka kwa Chama kupitia katibu mkuu wa Chama na sio kazi ya tume kupeleleza kujua saini imegushiwa au la!

Kama kuna jambo hilo basi ni jinai iliyofanywa na Halima na wenzake hakuna sababu ya kuilaumu tume.
Pili kundi hili karibia wote walikuwa wagombea majimboni badala ya kushindwa uchaguzi ambao ULIKUWA HURU NA HAKI ( CHADEMA walishindwa uchaguzi) wakaona watafute njia nyingine ya kuendelea kujadiliwa.

Basi inawezekana kabisa ni mpango wa Chadema wenye kusuka hili sakata ionekane Tume na Chama tawala kinataka kukihujumu Chadema. Chadema kinataka kujitekenya na kucheka chenyewe.

MWISHO, CHADEMA kipambane chenyewe na wa wanachama wao bila kuhusisha Tume na wala Bunge. Kama jinai imetendeka waende mahakamani. Na kama ni kusuka hilo sakata wenyewe basi mpango ushafeli.
Kwa nini spk amasema atawalinda, kwa nini AG anaionya cdm wasiwaongilie wateule. Kwa nini mtu atolewe magereza usiku, nk. Chadema wamesuka na hao au? Unashangaza!
 
Swali langu ni moja mtuhumiwa hana haki ya kuwa kiongozi? Je ni kosa kupendekeza jina lake kwani mahakama ilikuwa tayari imemtia hatiani? Sheria za nchi zinaruhusu au haziruhusu?
Mbona bavicha walikuwa wanapeleka cheq huko huko jela walitumia sheria gani?
 
Kwa nini spk amasema atawalinda, kwa nini AG anaionya cdm wasiwaongilie wateule. Kwa nini mtu atolewe magereza usiku, nk. Chadema wamesuka na hao au? Unashangaza!
Hata ww mtoto wako uliemzaa na kumsomesha pia analindwa na Serikali
 
Kwahiyo CHADEMA ndio waliomtoa Nusrat mahabusu na kumleta Bungeni?

Nyie na mwenyekiti wenu wote IQ zenu ni za kutilia mashaka kwa hizi movie zenu mnazocheza.

Naona mmeanza kuwakawana, ila aangalieni na wenyewe wasije kumwaga mboga mkimwag
Chadema mlipeke wanasheria kufanya nini mahakamani kama alikuwa hamtaki atoke?
 
Back
Top Bottom