Hakuna aliye juu ya UKAWA sasa

Hakuna aliye juu ya UKAWA sasa

Lipo kundi ambalo linahitaji kubembelezwa ndani ya chama lakini sio slaa
Slaa yuko juu kichama anapaswa kufamu kuwa lowasa ni fursa mpya kwa cdm hapaswi kukatishwa tamaa ña kuitwa fisadi na mtu mkubwa kama Slaa. Slaa anapaswa kuandaa mazingira ya kuwakaribisha wageni wapya ndani ya chama na sio yeye awe wa kwanza kuanza kuwatisha na kuwakejeli. Kufanya hivyo ni kupoteza malengo ya chama ya kukamata dola. 😛ray2:
 
kavulata

Dr.Slaa alivunjika mkono na hadi sasa ana ulemavu wa kudumu kwa sababu ya kuitetea chadema. yeye mwenyewe alipigwa na kuharibiwa mimba mwaka 2011 kwa sababu ya chadema halafu leo wanapuuzwa kama vile si chochote ndani ya chama.

Duuuu...eti mimba???
 
KAVULATA
Mimi nitatofautiana na wewe kwa kitu kimoja hapa, Dr. Slaa sidhani kama suala la kuwa mgombea kupitia UKAWA ni issue kubwa kwake....!!! Hapa tatizo ni kwamba, Dr. amejisikia mpweke na kapuuzwa mno!!! YES hata ningekuwa mimi, tumempigia mtu kelele za mwizi mwizi na kuwaamiinisha watu kuwa mwizi,mara mtu katuambia huyu si mwizi tuanzishe urafiki nae...!!! Sijui umenielewa? Kwa haraka haraka hapa , nitamuomba huyu mwizi awaeleze watu tuliowaaminisha kuwa mwizi kuwa YEYE si mwizi, wamwelewe then tufanye nae urafiki.....nje ya hapo inaweza kuleta sintofahamu kwa mtu yeyote!!! Ndo maana kwa binafsi ya moyo wangu bila kuleta ushabiki wa aina yoyote, nmemwomba mzee wangu na baba yangu kwa vile ni mcha Mungu,akumbuke kusamehe saba mara sabini...awasamehe wote akiwemo na EL ili asijehesabiwa dhambi ya kutosamehe.... Kavulata ni kweli Dr. Slaa wamemkwaza, utoto wa mjini umetumika katika hili wala si misingi na maadili ya kichama kama ambavyo mzee wangu Dr. Slaa amekuwa akiyasimamia....hapa tusitetee mtu, maadili ya kichama yamekiukwa. Ingekuwa busara kwa wakubwa wa chama pia kuachana na mambo ya mitaa ya Samora, wamuombe msamaha mzee kwa ajili ya kunusuru chama na mshikamano uliojengeka. Wakati huu si wa kuruhusu sintofahamu ya aina yoyote iwe ndogo au kubwa....Mwenyekiti nmekuwa nikimwamini sana kwa busara, kama ataamua potelea mbali atawavunja moyo sana watanzania walokuwa wakimwanini....Asijekengeuka kwa u-mimi ni mwenyekiti na yeye ni katibu tu!!! Tutafeli na EL wetu. Ikumbukwe upande wa pili nao wanautumia sana huu ufa kupenyeza siraha za maangamizi, kama mwenyekiti shupavu na makini, asijejidanganya kuwa hata akiachia ufa huu na Lowasa wake wataitoa CCM...NEVER!!! na kama haamini ajaribu, tunahitaji umoja wa hali na mali, si kwa EL na Dr Slaa tu bali kwa kila atakaeonyesha utayari wa kuungana na sisi. Tuwe kimkakati na si kiutoto wa mjini...Bila ushirika ulio thabiti CDM na UKAWA ni ndoto kwenda magogoni.
Kaka hakuna mtu mwenye mamlaka ya kisheria ya kumuita mtu mwizi, ni mahakamaa pekee yenye uwezo wa kumtangaza mtu kuwa ni mwizi. Wewe ni nani kumwamuru mtu aende akajieleze hadharani kuhusu wizi anaotuhumiwa au mali zake anazozimiliki, huko ni kujichukulia sheria mkononi ambako sio kuzuri kwa chama kinachotaka kuomba kushika dola. tuhuma zote zielekezwe mahakamani ili zikathibitishwe na sio sisi raia kutoa hukumu zetu kwa raia wenzetu kiholela. Slaa anatamani kuiaminisha dunia yote kuwa Lowassa ni fisadi kwa kutumia majukwaa ya kisiasa tu bila kutamani kumpeleka mahakamani, huu ni udhaifu mkubwa wa Dr. Slaa ambao chama hakipaswi kufanya maamuzi magumu kwa kutumia njia dhaifu kama hizi. Inawezekana kweli Lowassa ni fisadi lakini kwa ushahidi upi wa kimahakama maana nchi hii inafuata utawala wa sheria. Ndo maana ninasema shida hapa sio Lowassa bali urais, kama ni ufisadi uko CCM na sio kwa mtu mmojammoja. Nimuombe Dr. Slaa arudi kukisaidia chama chake ili kukiondoa kichaka cha ufisadi Tanzania.
 
Kaka hakuna mtu mwenye mamlaka ya kisheria ya kumuita mtu mwizi, ni mahakamaa pekee yenye uwezo wa kumtangaza mtu kuwa ni mwizi. Wewe ni nani kumwamuru mtu aende akajieleze hadharani kuhusu wizi anaotuhumiwa au mali zake anazozimiliki, huko ni kujichukulia sheria mkononi ambako sio kuzuri kwa chama kinachotaka kuomba kushika dola. tuhuma zote zielekezwe mahakamani ili zikathibitishwe na sio sisi raia kutoa hukumu zetu kwa raia wenzetu kiholela. Slaa anatamani kuiaminisha dunia yote kuwa Lowassa ni fisadi kwa kutumia majukwaa ya kisiasa tu bila kutamani kumpeleka mahakamani, huu ni udhaifu mkubwa wa Dr. Slaa ambao chama hakipaswi kufanya maamuzi magumu kwa kutumia njia dhaifu kama hizi. Inawezekana kweli Lowassa ni fisadi lakini kwa ushahidi upi wa kimahakama maana nchi hii inafuata utawala wa sheria. Ndo maana ninasema shida hapa sio Lowassa bali urais, kama ni ufisadi uko CCM na sio kwa mtu mmojammoja. Nimuombe Dr. Slaa arudi kukisaidia chama chake ili kukiondoa kichaka cha ufisadi Tanzania.
Hapo kwenye Red nakukatalia, nchi hii haifuati utawala wa sheria hata kidogo.....ni ujanja, mabavu na uoga wa wananchi wake. Unaweza usinielewe ila iko hivyo. Pia nipende tu tena kurudia, KAMWE UKAWA haitaingia kushika dola kama hakutakuwa na maridhiano na take it from me...huu mwaka utakuwa mwaka wa historia kwa watanzania, kuchukua zaidi ya miaka 20 ya kujenga upinzani ulio imara na kuubomoa kwa siku chache sana!!!! UKAWA isipoingia madarakani mwaka huu asiwepo mtu wa kulaumiwa zaidi ya Freeman Alikaeli Mbowe! Nimebahatika kuwa nae kwenye vikao vya ndani nikiwa Mwanza hoteli ya Gold Crest, maneno alokuwa akiyasema yananifanya nitafakari sana sana juu ya credibility na integrity yake, SURE, watu msipende kumtupia zigo Dr. Slaa, zigo arushiwe mwenyekiti wa CDM! Narudia tena, kilichofanyika ni uhuni na msilaumu mtu asiepaswa kulaumiwa. Huwezi kujenga chama huku ukisababisha ufa ndani ya uongozi wa juu!!!NEVER!!!! Mbowe awajibike kukinusuru chama, ther is no way out...aongee na Dr. Slaa, kama chama ni cha wanachama na afanye hivyo ila kama ni chama cha familia basi ni ruksa hata kumuuzia EL kama alivyofanya Jenerali Ulimwengu na magazeti yake!!!!

Ipo siku mtaujua ukweli...Pole sana Dr Slaa, mzee ninaekuheshimu sana......please narudia tena wasamehe saba mara sabini.
 
Hapo kwenye Red nakukatalia, nchi hii haifuati utawala wa sheria hata kidogo.....ni ujanja, mabavu na uoga wa wananchi wake. Unaweza usinielewe ila iko hivyo. Pia nipende tu tena kurudia, KAMWE UKAWA haitaingia kushika dola kama hakutakuwa na maridhiano na take it from me...huu mwaka utakuwa mwaka wa historia kwa watanzania, kuchukua zaidi ya miaka 20 ya kujenga upinzani ulio imara na kuubomoa kwa siku chache sana!!!! UKAWA isipoingia madarakani mwaka huu asiwepo mtu wa kulaumiwa zaidi ya Freeman Alikaeli Mbowe! Nimebahatika kuwa nae kwenye vikao vya ndani nikiwa Mwanza hoteli ya Gold Crest, maneno alokuwa akiyasema yananifanya nitafakari sana sana juu ya credibility na integrity yake, SURE, watu msipende kumtupia zigo Dr. Slaa, zigo arushiwe mwenyekiti wa CDM! Narudia tena, kilichofanyika ni uhuni na msilaumu mtu asiepaswa kulaumiwa. Huwezi kujenga chama huku ukisababisha ufa ndani ya uongozi wa juu!!!NEVER!!!! Mbowe awajibike kukinusuru chama, ther is no way out...aongee na Dr. Slaa, kama chama ni cha wanachama na afanye hivyo ila kama ni chama cha familia basi ni ruksa hata kumuuzia EL kama alivyofanya Jenerali Ulimwengu na magazeti yake!!!!

Ipo siku mtaujua ukweli...Pole sana Dr Slaa, mzee ninaekuheshimu sana......please narudia tena wasamehe saba mara sabini.

Ulitaka nani agombee urais ili chadema ishinde?
 
Lipo kundi ambalo linahitaji kubembelezwa ndani ya chama lakini sio slaa
Slaa yuko juu kichama anapaswa kufamu kuwa lowasa ni fursa mpya kwa cdm hapaswi kukatishwa tamaa ña kuitwa fisadi na mtu mkubwa kama Slaa. Slaa anapaswa kuandaa mazingira ya kuwakaribisha wageni wapya ndani ya chama na sio yeye awe wa kwanza kuanza kuwatisha na kuwakejeli. Kufanya hivyo ni kupoteza malengo ya chama ya kukamata dola. 😛ray2:

Yes tumekuja kuwaokoa kondoo waliopotea na kuwarudisha zizini
 
Lipo kundi ambalo linahitaji kubembelezwa ndani ya chama lakini sio slaa
Slaa yuko juu kichama anapaswa kufamu kuwa lowasa ni fursa mpya kwa cdm hapaswi kukatishwa tamaa ña kuitwa fisadi na mtu mkubwa kama Slaa. Slaa anapaswa kuandaa mazingira ya kuwakaribisha wageni wapya ndani ya chama na sio yeye awe wa kwanza kuanza kuwatisha na kuwakejeli. Kufanya hivyo ni kupoteza malengo ya chama ya kukamata dola. 😛ray2:

Yes tumekuja kuwaokoa kondoo waliopotea na kuwarudisha zizini
 
slaa kamtumia lipumba madocument wanavyopiga pesa za ric- moooooooooooond

lazima baada ya uchaguzi kushindwa fisadi;

list ya mgawo wa el - itawekwa hadharali MWEMBEYANGA;

na document ; msg na taarifa za benk zipo

dr anazo


ndo mwanzo wa kungolewa mbowe na vibaraka na demokrasia kuzaliwa upya; el kufurushwa
 
Back
Top Bottom