Hakujawahi kutokea Taifa la Palestina duniani

Hakujawahi kutokea Taifa la Palestina duniani

HISTORIA NDOGO KWA WALE WANAOZUNGUMZIA KUHUSU "KUREJESHA UPALESTINA."

1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, si taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Milki ya Ottoman, si taifa la Palestina.

3. Kabla ya Milki ya Ottoman, kulikuwa na taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, si taifa la Palestina.

4. Kabla ya taifa la Kiislamu la Mamluk wa Misri, kulikuwa na Milki ya Kiarabu na Kikurdi ya Ayubid, si taifa la Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa na Ufalme wa Frankish na Christian wa Yerusalemu, si taifa la Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na milki za Umayyad na Fatimid, si taifa la Palestina.

7. Kabla ya milki za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Wasassanid, si taifa la Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid, kulikuwa na Milki ya Byzantine, si taifa la Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Rumi, si taifa la Palestina.

11. Kabla ya Milki ya Rumi, kulikuwa na taifa la Hasmonia, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya jimbo la Hasmonia, kulikuwa na Waseleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander Mkuu, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Alexander Mkuu, kulikuwa na himaya ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si taifa la Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na Falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Falme za Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, si taifa la Palestina.

18. Kabla ya ufalme wa Israeli, kulikuwa na demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, si taifa la Palestina.

19. Kabla ya demokrasia ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kulikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Wakanaani, si taifa la Palestina.

(Ufalme wa Daudi - ramani ya kihistoria kwa wale wanaojiuliza jinsi eneo hilo lilivyoonekana zaidi ya miaka 2000 iliyopita, na jinsi mizizi ya Wayahudi ilivyo katika nchi hizi)

Je! Wapalestina ni watu gani, na sehemu yao katika biblia ni ipi?


Jina Palestina limetoka na Neno la kiyunani Filistia, lenye maana ya ardhi ya wafilisti. Kwahiyo ile Filisti inayotajwa kwenye biblia ndio Palestina unayoisikia sasa.

Lakini Jambo ambalo wengi wanachanganya ni kudhani kuwa wafilisti walikuwa ni waarabu. Si kweli, kwani waarabu walikuwa ni watoto wa Ishmaeli kutoka kwa Ibrahimu, lakini wafilisti walikuwepo kabla hata ya Ibrahimu, na walitokea katika uzao wa Hamu.
Watu hawa walikuwa ni wapagani moja kwa moja, na waliabudu miungu yao mikuu mitatu iliyoitwa Ashtorethi, Baal-zebubu, na Dagoni.(Waamuzi 16:23, 2Wafalme 1:2, 1Samweli 31:10,)

Wafilisti walikwenda kuweka makazi yao, katika nchi ya Kaanani. Upande wa kusini, kutoka mto Yordani mpaka ule wa ile habari kubwa (Bahari ya Mediterenia). Na baadaye kipindi cha akina Samweli wakawa na miji yao mitano imara iliyoitwa Gaza, Ashdodi, Gathi, Ashkeloni, Ekroni (1Samweli 6:17, Yoshua 13:3)

Hivyo Ibrahimu alipoitwa na Mungu na kuambiwa aindee nchi ile aliwakuta tayari wapo, na wameshajiwekea ngome zao (Mwanzo 21:32, 34, 26:1).
 
Mkuu ndy mana nimekwambia achana nae huyu jamaa namfahamu Toka kipindi natumia Twitter au (x). Jamaa Huwa anatumia kinyeo kufikiria
Hili ndilo tatizo kubwa linalowasumbua Wafuga Midevu na Majini wanafikiri wakitumia Matusi na lugha za kuudhi wanaweza kushinda au kushawishi watu wasipinge uongo wao na ujinga waliomezeshwa na waarabu!!
 

Attachments

  • 51196f6f49a956af47ea8b1e461f38d5.mp4
    10.9 MB

Je! Wapalestina ni watu gani, na sehemu yao katika biblia ni ipi?


Jina Palestina limetoka na Neno la kiyunani Filistia, lenye maana ya ardhi ya wafilisti. Kwahiyo ile Filisti inayotajwa kwenye biblia ndio Palestina unayoisikia sasa.

Lakini Jambo ambalo wengi wanachanganya ni kudhani kuwa wafilisti walikuwa ni waarabu. Si kweli, kwani waarabu walikuwa ni watoto wa Ishmaeli kutoka kwa Ibrahimu, lakini wafilisti walikuwepo kabla hata ya Ibrahimu, na walitokea katika uzao wa Hamu.
Watu hawa walikuwa ni wapagani moja kwa moja, na waliabudu miungu yao mikuu mitatu iliyoitwa Ashtorethi, Baal-zebubu, na Dagoni.(Waamuzi 16:23, 2Wafalme 1:2, 1Samweli 31:10,)

Wafilisti walikwenda kuweka makazi yao, katika nchi ya Kaanani. Upande wa kusini, kutoka mto Yordani mpaka ule wa ile habari kubwa (Bahari ya Mediterenia). Na baadaye kipindi cha akina Samweli wakawa na miji yao mitano imara iliyoitwa Gaza, Ashdodi, Gathi, Ashkeloni, Ekroni (1Samweli 6:17, Yoshua 13:3)

Hivyo Ibrahimu alipoitwa na Mungu na kuambiwa aindee nchi ile aliwakuta tayari wapo, na wameshajiwekea ngome zao (Mwanzo 21:32, 34, 26:1).
Una ushahidi gani kuthibitisha kuwa Wafiristi ndiyo hawa Wapalestina wa leo?
 
Waarabu-koko safari hii mtaijua kweli tutawa elimisha mpaka mkae sawa kiakili.
Jibu swali, kumewahi kuwepo taifa la Tanganyika kabla ya 1960? Ila kumewahi kuwepo dola ya zanzibar chini ya Sultan je inamaanisha hao wa-oman au wajerumani ndio wamiliki halali wa Tanganyika?

Embicile
 
Jibu swali, kumewahi kuwepo taifa la Tanganyika kabla ya 1960? Ila kumewahi kuwepo dola ya zanzibar chini ya Sultan je inamaanisha hao wa-oman au wajerumani ndio wamiliki halali wa Tanganyika?

Embicile
Jibu linajulikana,lakini pia huo mfano wako haufanani hata kidogo na wa Israel vs Palestina.
Historia ya Unguja na Zanzibar kwa ujumla inaenda mbali zaidi ya 1840, ushahidi upo wa kutosha,
Nyaraka za The Periyplus of Erythraean sea ambayo iliandikwa na unknown Greek Geographer miaka ya A.D 60 imezungumzia juu ya shughuli za kiuchumi zilizofanywa kisiwani Unguja na wenyeji(Hapa Waarabu Wala waajemi hawakuwepo,kumbuka ilikuwa ni 60.A.D)
Ushahidi wa Ibin Batuta Karne ya 14,nao umewataja wenyeji wa kisiwani Unguja kama ni wabantu.
Ushahidi ni mwingi sana,hao Waarabu wa Oman Seyyid Said alivamia the then established Portuguese state in Zanzibar ndipo akahamishia makazi yake mwaka 1840.
Hivyo mwarabu hawezi ku claim kwa namna yeyote Ile Zanzibar kwakuwa hana historia napo tofauti na the current Israel ambayo Ina strong ties with that land, culturally, archaeologically.
 
Jibu swali, kumewahi kuwepo taifa la Tanganyika kabla ya 1960? Ila kumewahi kuwepo dola ya zanzibar chini ya Sultan je inamaanisha hao wa-oman au wajerumani ndio wamiliki halali wa Tanganyika?

Embicile
Hiyo haiwezi kuifanya Taifa la Palestina maana halikuwepo na halitakuwepo!!!!
 
Nyaraka za The Periyplus of Erythraean sea ambayo iliandikwa na unknown Greek Geographer miaka ya A.D 60 imezungumzia juu ya shughuli za kiuchumi zilizofanywa kisiwani Unguja na wenyeji(Hapa Waarabu Wala waajemi hawakuwepo,kumbuka ilikuwa ni 60.A.D)
Kulikua na taifa linaitwa ZANZIBAR? Maana ndio msingi wa hoja ya mtoa mada kuwa kutokuwepo jina la taifa la wenyeji kunawanyima haki ya kudai taifa lao.

Ushahidi wa Ibin Batuta Karne ya 14,nao umewataja wenyeji wa kisiwani Unguja kama ni wabantu.
Iliitwa Zanzibar? Je kulikua na taifa linaitwa Tanganyika au Zanzibar by then? Ndio mada ya hapa na sio kwamba kulikua na wenyeji au miji.

Ushahidi ni mwingi sana,hao Waarabu wa Oman Seyyid Said alivamia the then established Portuguese state in Zanzibar ndipo akahamishia makazi yake mwaka 1840.
Ndio hoja sasa inakuja je Seyyid Said kuanzisha dola ya kwanza hapo zanzibar kunamfanya kuwa mmiliki halali wa zanzibar kuliko wenyeji aliowakuta? Same can be said to Palestine kwamba wale wenyeji hawana haki ya kudai taifa lao kisa tu hakukuwahi kuwepo taifa linaitwa palestina? Hii ndio mada.
Hivyo mwarabu hawezi ku claim kwa namna yeyote Ile Zanzibar kwakuwa hana historia napo tofauti na the current Israel ambayo Ina strong ties with that land, culturally, archaeologically.
Kila nchi ina starting point, kumbuka historically hao "Israel" walitokea huko Iraq ya sasa so nao walivamia hilo eneo kama tu seyyid Said au wajerumani walichofanya Tanganyika. Sasa nani anakua mmiliki halali ikiwa wote walivamia!!

Pia unaposema Israel ni part tu ya broader Hebrew family ambayo ina makabila mengine mengi. Israel ni mmoja tu ya wakazi ila Hebrews ni broader na wengine ni sehemu ya Palestine, Jordan, lebanon n.k ila bado wanaporwa ardhi kwa kisingizio kuwa ardhi ni ya Israel pekee!! When was that land explicitly owned by one tribe from hundreds of tribes za hao hao HEBREWS?
 
Hiyo haiwezi kuifanya Taifa la Palestina maana halikuwepo na halitakuwepo!!!!
Tanzania pia haikuwepo kabla ya 1960? Je Nyerere alidai uhuru kimakosa?

Kama kisingizio ni biblia unajua Misri na Saudi Arabia pia ni nchi ya ahadi? Je kwanini Israel haiendi kuishi Misri kutimiza unabii mpaka ilazimishe kukaa palestina?
 
Kulikua na taifa linaitwa ZANZIBAR? Maana ndio msingi wa hoja ya mtoa mada kuwa kutokuwepo jina la taifa la wenyeji kunawanyima haki ya kudai taifa lao.


Iliitwa Zanzibar? Je kulikua na taifa linaitwa Tanganyika au Zanzibar by then? Ndio mada ya hapa na sio kwamba kulikua na wenyeji au miji.


Ndio hoja sasa inakuja je Seyyid Said kuanzisha dola ya kwanza hapo zanzibar kunamfanya kuwa mmiliki halali wa zanzibar kuliko wenyeji aliowakuta? Same can be said to Palestine kwamba wale wenyeji hawana haki ya kudai taifa lao kisa tu hakukuwahi kuwepo taifa linaitwa palestina? Hii ndio mada.

Kila nchi ina starting point, kumbuka historically hao "Israel" walitokea huko Iraq ya sasa so nao walivamia hilo eneo kama tu seyyid Said au wajerumani walichofanya Tanganyika. Sasa nani anakua mmiliki halali ikiwa wote walivamia!!

Pia unaposema Israel ni part tu ya broader Hebrew family ambayo ina makabila mengine mengi. Israel ni mmoja tu ya wakazi ila Hebrews ni broader na wengine ni sehemu ya Palestine, Jordan, lebanon n.k ila bado wanaporwa ardhi kwa kisingizio kuwa ardhi ni ya Israel pekee!! When was that land explicitly owned by one tribe from hundreds of tribes za hao hao HEBREWS?
Kwa kweli unateseka sana na Wayahudi kwa maana hujui hata historian yao na hujui hao unaowaita wewe Wapalestina hawakuwepo mpaka alipokuwa Yasser Arafat kuwaita jina Hilo 1967.

Nina maswali machache kwako wewe unayejifanya mtetezi wa Magaidi wa ki Palestina

Kwa nini kuna mashirika tofauti ya wakimbizi kwa Wapalestina na jingine kwa wakimbizi wengine wote duniani?

Kwa nini Wapalestina hawakudai uhuru wakati Yudea Samaria na Gaza zilipokuwa zinakaliwa na Misri na Jordan?

Kwa nini maeneo hayo ya Wapalestina yalikaliwa na Misri na Jordan hapo awali, kwa nini hawakuanzisha taifa la Wapalestina katika maeneo hayo?

Kwa nini Wapalestina hawakupata uraia wa Misri kati ya 1948 na 1967? Namaanisha ama taifa tofauti la uraia kamili, kama vile kile kinachoitwa mahitaji ya wastani kutoka kwa Waisraeli.

Kwa nini Wapalestina ni raia wa daraja la pili katika nchi kama Jordan na Lebanon hadi leo?

Kwa nini ulimwengu ulikuwa kimya wakati Wapalestina 287,000 walifukuzwa kutoka Kuwait mnamo Machi 1991?

Inakuwaje watu wengi wanaodaiwa kuwa na wasiwasi kuhusu Wapalestina hawajui hata kuhusu kuondoka kwa Wapalestina kutoka Kuwait?

Hamas iliwezaje kujenga mamia ya maili ya handaki ikiwa ilikuwa chini ya kizuizi? Saruji hiyo ilitoka wapi?

Gaza ilikuwa nzuri vipi na, wakati huo huo, ilikuwa shimo kubwa kabla ya Oktoba 7?

Swali moja la mwisho, kwa mtu yeyote anayewaunga mkono magaidi wa kipalestina ambaye ni Mkweli kwa mbali, ungefanya nini kama ungekuwa waziri mkuu wa Israeli mnamo Oct 7,2023?
Tanzania pia haikuwepo kabla ya 1960? Je Nyerere alidai uhuru kimakosa?

Kama kisingizio ni biblia unajua Misri na Saudi Arabia pia ni nchi ya ahadi? Je kwanini Israel haiendi kuishi Misri kutimiza unabii mpaka ilazimishe kukaa palestina?
unajua nini maana ya Palestina na kwa nini waingereza walitaka Palestina?
 
Hakuna aliyesema Biblia
Tanzania pia haikuwepo kabla ya 1960? Je Nyerere alidai uhuru kimakosa?

Kama kisingizio ni biblia unajua Misri na Saudi Arabia pia ni nchi ya ahadi? Je kwanini Israel haiendi kuishi Misri kutimiza unabii mpaka ilazimishe kukaa palestina?
Hakuna aliyesema Biblia hata hivyo hata kwenye Quran yako huwezi kuikuta Palestina!!!
 
Back
Top Bottom