Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,928
Kila dakika kuna mmoja wetu anauacha huu ulimwengu. Sote tuko kwenye "mstari" huo bila kujua. Hatujui ni watu wangapi walio mbele yetu.
Hatuwezi kuhamia nyuma ya mstari. Hatuwezi kutoka nje ya mstari. Hatuwezi kuepuka mstari.
Kwa hivyo tunaposubiri kwenye mstari
- Fanya nyakati zako zihesabiwe kwa mema na si mabaya.
Weka vipaumbele chanya.
Tengeneza wakati wenye manufaa kwa wengi.
Fanya vipaji na vipawa vyako vijulikane.
Mfanye kila mtu asijisikie kama mtu. Fanya sauti yako isikike.
Fanya vitu vidogo na vikubwa.
Fanya mtu atabasamu.
Fanya mabadiliko chanya.
Sambaza upendo
Hakikisha unawaambia watu wako kuwa unawanapenda.
Hakikisha huna majuto.
Hakikisha uko tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kuhamia nyuma ya mstari. Hatuwezi kutoka nje ya mstari. Hatuwezi kuepuka mstari.
Kwa hivyo tunaposubiri kwenye mstari
- Fanya nyakati zako zihesabiwe kwa mema na si mabaya.
Weka vipaumbele chanya.
Tengeneza wakati wenye manufaa kwa wengi.
Fanya vipaji na vipawa vyako vijulikane.
Mfanye kila mtu asijisikie kama mtu. Fanya sauti yako isikike.
Fanya vitu vidogo na vikubwa.
Fanya mtu atabasamu.
Fanya mabadiliko chanya.
Sambaza upendo
Hakikisha unawaambia watu wako kuwa unawanapenda.
Hakikisha huna majuto.
Hakikisha uko tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app