Anawaogopa wapiga kura wake kwa sababu ya Yale mabaya anayowatendea.ana furaha. pamoja na machafuko ya wakenya bado haofii usalama wake. huyu mhutu sijui huwa anaogopa nini
Ndio uzuri wa kuzaliwa kwenye familia za ushuani lazima uwe mtu wa amani muda wote, na huna hofu, tatizo la huyo mwingine ni kuzaliwa kwenye umasikini na kuona umasikini ni baraka!! Na utajiri ni laana!na kutumia neno wanyonge kama ndio mtaji wake huku wao wananemeka!!!ana furaha. pamoja na machafuko ya wakenya bado haofii usalama wake. huyu mhutu sijui huwa anaogopa nini
Hebu angalia yeye na Odinga ni wapinzani wa jadi kweli lakini wanaheshimiana maana uhasama wao sio binafsi Bali katika kugombea kuwaongoza watu kwenda kwenye neemaAnawaogopa wapiga kura wake kwa sababu ya Yale mabaya anayowatendea.
Sasa sisi tungekuwa na tishio la Alshababu sijui ingekuwaje!View attachment 1076787
Usalama Kwanza Mengine baadae!!
Au Tanzania ingekuwa ndiyo Marekani!!Sasa sisi tungekuwa na tishio la Alshababu sijui ingekuwaje!
View attachment 1076787
Usalama Kwanza Mengine baadae!!
Nimeona hii na kutofautisha na wengine wa East Africa hasa wa kwetu.
Kwa nini hatujifunzi kwake?
Nimeona hii na kutofautisha na wengine wa East Africa hasa wa kwetu.
Kwa nini hatujifunzi kwake?
"Nchi ya democrasia Ile uwezi linganisha na nchi ya kidicteta"
ana furaha. pamoja na machafuko ya wakenya bado haofii usalama wake. huyu mhutu sijui huwa anaogopa nini
Kuna Mbunge juzi alikuwa anaongea na jiwe akiwa ameweka mikono mfukoni alifokewa balaaDah jamaa anamsalimia Mkuu wa nchi huku kakaa kwenye kiti ? Halafu Uhuru hana hata time
Yule wa kwetu sasa tafuta picha siku ameenda kukagua ndege iliyochorwa Twiga uone hao jamaa walivyosimama kwa nidhamu ya uoga dah
Hebu angalia yeye na Odinga ni wapinzani wa jadi kweli lakini wanaheshimiana maana uhasama wao sio binafsi Bali katika kugombea kuwaongoza watu kwenda kwenye neema