Hakika Tuache Kupeana Mikono Tunaposalimiana-Yamenikuta

mweeeeeeeeeee......mtoa mada ushantisha sasa...daaah...binadamu wa sikuhzi sijui wanaelekea wapi...hawakukuibia kitu kweli?ukute ndo njia yao mpya ya kuiba........???pole sana aiseee...
 
Kwanza pole kwa msukosuko huo ndugu yetu. Hata mimi juzi nilikua Iringa na rafiki yangu, tukawa tunatoka mitaa ya sokoni kuelekea stendi ya mabasi, mara ghafla wakatokea vijana watatu wakaonekana kumfaham sana rafiki yangu maana walianza kumchangamkia sana kwa maswali mengi.
Ikabidi nimsubiri na badae nikaona kama muda unaenda nikaamua kumstua.
Asalaalee! Kumbe walikua washampumbaza akawa kama haelewi kinachotokea ila wale vijana wakaanza kunilalamikia kua nampeleka wapi jamaa yao (yaani yule rafiki yangu).
Kuepusha mengi nikampeleka pemben nikamuuliza kilichompata akasema hakumbuki ila bahati nzuri hawakumwibia.
Kwa kweli tuwe makini sana kwa sasa kuna wizi kwa njia ya kupumbaza.
 
Bahati yako we Bubu Msemaovyo inavyoonekana UMEAGA KWENU vizuri ndo maana ukaanza kusikia kizunguzungu la sivyo wangekwapua hadi nauli. Pole mkuu ila huo wezi upo sana, kuna mmama alinijaribu na mimi kwenye ATM za pale Ubungo sheli akaambulia patupu na makofi nikamchapa
 
Last edited by a moderator:
kuna mahali huyo jamaa alikosea katika mtiririko ukagutuka....hypnotization ilitaka kufanyika...pole
Ebu tufafanulie mkuu, isije ikawa tukawa tunaogopa kusalimina na waku tikihisi wanchokifanya ni "hypotization"... binafsi sieliwi hiyo hypnotization ikojeikoje?
 

Ili ujue kuwa mambo yameharibika zaidi ya ulivyosema, basi asilimia kubwa ya mabinti siku hizi huwa wanapiga ukunga wa uongo barabarani hukuwakijifanya wametapeliwa kwa mbinu hiyo hapo juu na kuhitaji msaada. Asilimia kubwa ni waongo pasee
 
Wanasalimianaje wao?

hawapeani mikono, bali wanainamisha vichwa tu wakiwa umbali wa kama mita moja kutoka kwa mmoja, au nayo wahuni hawa watatafuta namna ya kupumbaza watu??
 

Hata Iringa Mjini! Nilizani ni jiji DSM tu, Mungu unilinde na hao matapeli, kwa kuwa ni mungwana kwa watu wenye shida.
 

mkuu arinaswi nakushukuru kwa namna ulivyomweleza huyo jamaa, mie kaniudhi hadi nikakosa subra,big up
 
Last edited by a moderator:

Pole sana, lakini baada ya kukimbia hali yako iliendeleaje, I mean ilikuchukua muda gani akili kurudi kawaida?
 
Hata Iringa Mjini! Nilizani ni jiji DSM tu, Mungu unilinde na hao matapeli, kwa kuwa ni mungwana kwa watu wenye shida.

Brother, siyo Iringa na Dar peke yake bali hata Mwanza wapo maana walinikosakosa siku moja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…