Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Katika kufuatilia kauli ya makinda nimegundua hajamwelewa kamanda lissu.
Lissu alipoongea na wanahabari alitaja majina ya wana ccm walio na mgongano wa maslahi na tanesco na sio waliokula rushwa ili kuikataa bajeti ya wizara ya nishati na madini.kamati aliyounda makinda ni ya kuchunguza rushwa sasa akimwita lissu kutoa ushahidi wa rushwa lissu ataupata wapi?
Na je kuwa na mgongano wa kimaslahi ndio kupokea rushwa?
Madai ni kuwa kuna wala rushwa na wenye mgongano wa kimaslahi.
Naombeni tulidadavue hili wadau.
Lissu alipoongea na wanahabari alitaja majina ya wana ccm walio na mgongano wa maslahi na tanesco na sio waliokula rushwa ili kuikataa bajeti ya wizara ya nishati na madini.kamati aliyounda makinda ni ya kuchunguza rushwa sasa akimwita lissu kutoa ushahidi wa rushwa lissu ataupata wapi?
Na je kuwa na mgongano wa kimaslahi ndio kupokea rushwa?
Madai ni kuwa kuna wala rushwa na wenye mgongano wa kimaslahi.
Naombeni tulidadavue hili wadau.