Hakika Nimefika

Hakika Nimefika

Hongera zako, Tulizana sasa.



Habar wana JF mim ni mgen hapa i mean ndo najoin Jaman mapenzi ya kweli yapo baada ya kuteseka kwa muda mrefu nimepata pumziko la moyo wangu nampenda sana mpenzi wangu na naamini yeye ndio wangu wa Kufa na Kuzikana
 
Last edited by a moderator:
Mie nakupa pole, sijui kwa nini wadada mnafumbwa macho na maneno matam ya wanaume.
 
mi mkaka hapo vi kwan mtu wako wa maisha si unamuona tu jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom