Kuna msemo wa mtaani unasema kuwa maskini hafulii,yaani anachokitarajia maskini ni kupata kwasababu yeye hana
Ukiepeleka huu msemo kwa matajiri ni kuwa wao wanachotarajia ni kufulia kwasababu wao wanavyo
Sasa wewe once ulikuwa maskini wa mapenzi sasa umetajirika,ukiutazama huo mfano hapo juu nadhani unakijua unachokitarajia
Take care .....!!