Hakika Mbowe ni Mwanasiasa Mahiri, Msikilize;

Hakika Mbowe ni Mwanasiasa Mahiri, Msikilize;

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431

Huu ndio uwezo wa kisiasa unaohitajika. Hotuba haina kejeli, matusi wala maneno ya kuudhi wengine.
Kumbe ndio maana wale wanao muogopa kwa kusema kwake ukweli bila woga wala Uchadema bali Utanzania hawataki aendelee kuwepo siasani na pengine hata duniani.
 

Huu ndio uwezo wa kisiasa unaohitajika. Hotuba haina kejeli, matusi wala maneno ya kuudhi wengine.
Kumbe ndio maana wale wanao muogopa kwa kusema kwake ukweli bila woga wala Uchadema bali Utanzania hawataki aendelee kuwepo siasani na pengine hata duniani.

Hahahaa..... kwa ujasiri anaouonyesha itabidi mumsamehe ile 7 bil aliyosema CAG!
 
Tuna rais wa masikini matajiri tusubiri kwanza au tufanywe kuwa masikini ili tupate raisi...... kadili masikini wanavyoongezeka ndivyo twaweza wanavyoongeza idadi ya wapiga kura kwa mh.
 

Huu ndio uwezo wa kisiasa unaohitajika. Hotuba haina kejeli, matusi wala maneno ya kuudhi wengine.
Kumbe ndio maana wale wanao muogopa kwa kusema kwake ukweli bila woga wala Uchadema bali Utanzania hawataki aendelee kuwepo siasani na pengine hata duniani.



Hatuna huo muda wa kusikiliza ujinga!
 
Mbowe ni aina ya wanasiasa adimu sana ktk nchi hii na barani Afrika kwa ujumla

Mbowe hotuba zake huwa zimejaa hoja zenye mantiki

Kumchukia Mbowe na aina ya siasa zake lazima uuvue werevu na kuuvaa upumbavu

Mbowe is the best political figure in Tanzania
 
Mbowe ni aina ya wanasiasa adimu sana ktk nchi hii na barani Afrika kwa ujumla

Mbowe hotuba zake huwa zimejaa hoja zenye mantiki

Kumchukia Mbowe na aina ya siasa zake lazima uuvue werevu na kuuvaa upumbavu

Mbowe is the best political figure in Tanzania
Shukrani kubwa sana kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha Mbowe kuzaliwa Tanzania , huyu mtu ni tunu ya Taifa .
 

Huu ndio uwezo wa kisiasa unaohitajika. Hotuba haina kejeli, matusi wala maneno ya kuudhi wengine.
Kumbe ndio maana wale wanao muogopa kwa kusema kwake ukweli bila woga wala Uchadema bali Utanzania hawataki aendelee kuwepo siasani na pengine hata duniani.

Hiyo spichi ni ya mwaka juzi kabla hajachanganyikiwa na kuota mvi nyeupe. Sasa hivi ni full matusi, uchochezi na uhaini! Hata bungeni hahudhurii tena, bila ruhusa ya spika. Bunge la bajeti karibu linaisha hajahudhuria hata siku moja. Spika atakapomchukulia hatua matusi atakayoyatoa itatubidi tuzibe masikio!
 
  • Thanks
Reactions: UCD

Similar Discussions

Back
Top Bottom