mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Kwa sasa waTanganyika sio waoga wa kifo , sio waoga wa utekaji wenu wakijinga .Na kuanzia sasa hata polisi wakijaa kwenye mfumo wa uonevu tunaruka nao.
👇👇👇👇
Hapa Gen_z tunduma wakienda toe to toe na mercenaries wenye silaha za kisasa lakini madogo wanamawe, nabado mashoga walikimbia licha ya kua walikua wameshaua watu kibao...I am proud of us!!!!
👇👇👇👇
Hapa Gen_z tunduma wakienda toe to toe na mercenaries wenye silaha za kisasa lakini madogo wanamawe, nabado mashoga walikimbia licha ya kua walikua wameshaua watu kibao...I am proud of us!!!!