michaelnoah
Member
- Jul 27, 2015
- 16
- 5
Wadau natumaini wote mpo salama.
Samahani je ni sawa kwa mwajiri kusitisha mkataba wa miezi 8 mbele kwa sababu za kiuendeshaji na kudai ni lazima mwajiriwa aweke sahii katika hati ya makubaliano kuwa anakulipa mwezi mmoja mbele lkn hayo ni maamuzi ya mwajiri je mimi Kama mwajiriwa haki zangu ni zipi maana nimesimamishwa kazi tangu tarehe 24 na sijawekewa malipo yoyote kabisa
Samahani je ni sawa kwa mwajiri kusitisha mkataba wa miezi 8 mbele kwa sababu za kiuendeshaji na kudai ni lazima mwajiriwa aweke sahii katika hati ya makubaliano kuwa anakulipa mwezi mmoja mbele lkn hayo ni maamuzi ya mwajiri je mimi Kama mwajiriwa haki zangu ni zipi maana nimesimamishwa kazi tangu tarehe 24 na sijawekewa malipo yoyote kabisa