Mwanamke akifiwa mumewe ana haki zipi katika mali za mumewe (au mali walizochuma na mumewe)? Yeye huwa ni msimazi tu wa mirathi au ana haki ya mgao kama mali zitagawanywa?
Je, kama akiolewa tena bado ana haki hizo?
Katika hili mume hakuacha wosia na ni Tz.
Je, kama akiolewa tena bado ana haki hizo?
Katika hili mume hakuacha wosia na ni Tz.