Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Ibara ya 129 -(1): Wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya moja wapo au zaidi ya mambo yafuatayo:
(a) Ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;
(c) Ataacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi; au wapiga kura kumwajibisha Mbunge.
(d) Na kufanya mambo mengine yote yatakayoainishwa kwenye sheria ya nchi.
(a) Ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;
(c) Ataacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi; au wapiga kura kumwajibisha Mbunge.
(d) Na kufanya mambo mengine yote yatakayoainishwa kwenye sheria ya nchi.