Haki ya wapiga kura kumwaji bisha Mbunge wao

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Ibara ya 129 -(1): Wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya moja wapo au zaidi ya mambo yafuatayo:

(a) Ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;

(b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;

(c) Ataacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi; au wapiga kura kumwajibisha Mbunge.

(d) Na kufanya mambo mengine yote yatakayoainishwa kwenye sheria ya nchi.
 
Back
Top Bottom