Haki ya mwanangu nitaipataje?

papag

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
1,137
1,608
Kwa uchungu mkubwa nimeona niongee kuhusu mkoa wangu wa Morogoro, kinachoendelea kinanihuzunisha sana, mauaji ya kusikitisha kila wakati, nimeona kijana mwingine tena kauawa, ni miaka mitatu sasa toka mtoto wangu mpendwa wa kwanza kwenye tumbo langu toka atolewe uhai wake.

Mlindwa wangu kila nikikumbuka nahisi naota mwenzenu, kijana wangu mpole mstaarabu, hakuwa na baya ma mtu, simu tu imechukua uhai wake, kinachoniuma zaidi,hukumu ndio imetolewa na huyo sijui jaji eti namuona jaji wa mchongo tu,wauaji wamekiri, na wamejieleza vizuri tu, cha ajabu hukumu imetolewa kifungo cha miaka 17, najiuliza aliyekamatwa na bangi, mbakaji hukumu yao miaka 30, ila muuaji ndio miaka 17?

Hivi huyu jaji ananichukuliaje mimi, Mungu anakuona popote ulipo we jaji, hata hiyo siku ya hukumu sikupewa taarifa wakati nilikuwa nauliza kila wakati lakini nilikuwa naambiwa nisubiri nitapewa taarifa, matokeo yake wamefanya uhuni tu mi nauita, ila wote waliohusika kupindisha haki mkono wa Mungu utawapitia acha niendelee kulia iko siku na wao watalia na kusaga meno.

nimetaka nakala ya hukumu nayo imekuwa tabu kuipata hivi hii nchi ni ya baadhi ya watu? tutegemee mauaji ya watu kwa hukumu hizi za kipumbavu yataisha? Tukimbilie wapi wakati wanaotoa haki baadhi yao ndio hao wanafiki wakubwa, Mungu anipe subra na uvumilivu, hakuna haki dunuani
 
Pole sana mzazi.

Mtoto alifanyaje na simu. Alikamatwa na simu ya wizi au alimpora mtu au ilikuwaje. Tusimulie hapa tukusaidie katika majonzi na pengine kukupa ushauri
Hakukamatwa na simu. Ila alikuwa anatoka tuition usiku wa saa moja alikuwa anajiandaa na mitihani ya form four. Alivyofika mafiga ndipo alipo kutana na hao vibaka wakampora simu na kumchoma bisibisi na kufariki eneo la tukio. Baada ya kuhangaika sana watuhumiwa wakakamatwa na kesi ikaanza. Matokeo ya hukumu ndiyo hayo
 
Hakukamatwa na simu. Ila alikuwa anatoka tuition usiku wa saa moja alikuwa anajiandaa na mitihani ya form four. Alivyofika mafiga ndipo alipo kutana na hao vibaka wakampora simu na kumchoma bisibisi na kufariki eneo la tukio. Baada ya kuhangaika sana watuhumiwa wakakamatwa na kesi ikaanza. Matokeo ya hukumu ndiyo hayo
Nalikumbuka hili tukio,pole sana,wahalifu watakuwa vijana wa kule manzese.
 
Kwa uchungu mkubwa nimeona niongee kuhusu mkoa wangu wa Morogoro, kinachoendelea kinanihuzunisha sana, mauaji ya kusikitisha kila wakati, nimeona kijana mwingine tena kauawa, ni miaka mitatu sasa toka mtoto wangu mpendwa wa kwanza kwenye tumbo langu toka atolewe uhai wake.

Mlindwa wangu kila nikikumbuka nahisi naota mwenzenu, kijana wangu mpole mstaarabu, hakuwa na baya ma mtu, simu tu imechukua uhai wake, kinachoniuma zaidi,hukumu ndio imetolewa na huyo sijui jaji eti namuona jaji wa mchongo tu,wauaji wamekiri, na wamejieleza vizuri tu, cha ajabu hukumu imetolewa kifungo cha miaka 17, najiuliza aliyekamatwa na bangi, mbakaji hukumu yao miaka 30, ila muuaji ndio miaka 17?

Hivi huyu jaji ananichukuliaje mimi, Mungu anakuona popote ulipo we jaji, hata hiyo siku ya hukumu sikupewa taarifa wakati nilikuwa nauliza kila wakati lakini nilikuwa naambiwa nisubiri nitapewa taarifa, matokeo yake wamefanya uhuni tu mi nauita, ila wote waliohusika kupindisha haki mkono wa Mungu utawapitia acha niendelee kulia iko siku na wao watalia na kusaga meno.

nimetaka nakala ya hukumu nayo imekuwa tabu kuipata hivi hii nchi ni ya baadhi ya watu? tutegemee mauaji ya watu kwa hukumu hizi za kipumbavu yataisha? Tukimbilie wapi wakati wanaotoa haki baadhi yao ndio hao wanafiki wakubwa, Mungu anipe subra na uvumilivu, hakuna haki dunuani
Pole sana Mzazi! Naamini hiki kilio chako kitafika mbali sana na Mungu atatenda na utaiona haki ya mwanao inapatikana!! Damu ya Mtu ni nzito sana, hasa nikikumbuka ule mkasa wa Ditopile na yule dereva wa Daladala!!
 
Hakukamatwa na simu. Ila alikuwa anatoka tuition usiku wa saa moja alikuwa anajiandaa na mitihani ya form four. Alivyofika mafiga ndipo alipo kutana na hao vibaka wakampora simu na kumchoma bisibisi na kufariki eneo la tukio. Baada ya kuhangaika sana watuhumiwa wakakamatwa na kesi ikaanza. Matokeo ya hukumu ndiyo hayo
Pole sana
 
Kwa uchungu mkubwa nimeona niongee kuhusu mkoa wangu wa Morogoro, kinachoendelea kinanihuzunisha sana, mauaji ya kusikitisha kila wakati, nimeona kijana mwingine tena kauawa, ni miaka mitatu sasa toka mtoto wangu mpendwa wa kwanza kwenye tumbo langu toka atolewe uhai wake.

Mlindwa wangu kila nikikumbuka nahisi naota mwenzenu, kijana wangu mpole mstaarabu, hakuwa na baya ma mtu, simu tu imechukua uhai wake, kinachoniuma zaidi,hukumu ndio imetolewa na huyo sijui jaji eti namuona jaji wa mchongo tu,wauaji wamekiri, na wamejieleza vizuri tu, cha ajabu hukumu imetolewa kifungo cha miaka 17, najiuliza aliyekamatwa na bangi, mbakaji hukumu yao miaka 30, ila muuaji ndio miaka 17?

Hivi huyu jaji ananichukuliaje mimi, Mungu anakuona popote ulipo we jaji, hata hiyo siku ya hukumu sikupewa taarifa wakati nilikuwa nauliza kila wakati lakini nilikuwa naambiwa nisubiri nitapewa taarifa, matokeo yake wamefanya uhuni tu mi nauita, ila wote waliohusika kupindisha haki mkono wa Mungu utawapitia acha niendelee kulia iko siku na wao watalia na kusaga meno.

nimetaka nakala ya hukumu nayo imekuwa tabu kuipata hivi hii nchi ni ya baadhi ya watu? tutegemee mauaji ya watu kwa hukumu hizi za kipumbavu yataisha? Tukimbilie wapi wakati wanaotoa haki baadhi yao ndio hao wanafiki wakubwa, Mungu anipe subra na uvumilivu, hakuna haki dunuani
Naomba kwa Mola Mama Samia au Judge Kiongozi au wapenda haki na wenye mamlaka waone Uzi huu na waufanyie kazi haraka sana iwezekanavyo!!
 
Kwa uchungu mkubwa nimeona niongee kuhusu mkoa wangu wa Morogoro, kinachoendelea kinanihuzunisha sana, mauaji ya kusikitisha kila wakati, nimeona kijana mwingine tena kauawa, ni miaka mitatu sasa toka mtoto wangu mpendwa wa kwanza kwenye tumbo langu toka atolewe uhai wake.

Mlindwa wangu kila nikikumbuka nahisi naota mwenzenu, kijana wangu mpole mstaarabu, hakuwa na baya ma mtu, simu tu imechukua uhai wake, kinachoniuma zaidi,hukumu ndio imetolewa na huyo sijui jaji eti namuona jaji wa mchongo tu,wauaji wamekiri, na wamejieleza vizuri tu, cha ajabu hukumu imetolewa kifungo cha miaka 17, najiuliza aliyekamatwa na bangi, mbakaji hukumu yao miaka 30, ila muuaji ndio miaka 17?

Hivi huyu jaji ananichukuliaje mimi, Mungu anakuona popote ulipo we jaji, hata hiyo siku ya hukumu sikupewa taarifa wakati nilikuwa nauliza kila wakati lakini nilikuwa naambiwa nisubiri nitapewa taarifa, matokeo yake wamefanya uhuni tu mi nauita, ila wote waliohusika kupindisha haki mkono wa Mungu utawapitia acha niendelee kulia iko siku na wao watalia na kusaga meno.

nimetaka nakala ya hukumu nayo imekuwa tabu kuipata hivi hii nchi ni ya baadhi ya watu? tutegemee mauaji ya watu kwa hukumu hizi za kipumbavu yataisha? Tukimbilie wapi wakati wanaotoa haki baadhi yao ndio hao wanafiki wakubwa, Mungu anipe subra na uvumilivu, hakuna haki dunuani
Pole sana mkuu lkn nikuombe tu mnaweza kukata rufaa zidi ya kifungo kilichotolewa hiyo ni haki yako kisheria ,kwenye ulimwengu wa sheria kuna mambo mengi lkn haki siku zote inapiganiwa pambana
 
Pia fatilia sana upate nakara ya hukumu ikiwezekana nenda kalipoti ofsi kubwa za kimahakama utapata ukate rufaa
 
Back
Top Bottom