love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Eti lapa ama kiatu likibinuka soli ikaangalia juu basi unamtukana Mungu na ukinyooshea kidole makaburini basi utakufa...
Eti lapa ama kiatu likibinuka soli ikaangalia juu basi unamtukana Mungu na ukinyooshea kidole makaburini basi utakufa...
kila mtu ana enzi zake, we unazungumzia enzi za tamthilia juzi tu hapaEnzi zile tukiwa tuna angalia tamthilia malavidavi yakianza mama anasema fumbeni macho nw days watoto wana toa jicho mwanzo mwisho!
Ni lazima utoe shikamoo yaani umuamkieNikiwa na mtu mkubwa afu akajamba eti nijisingizie ni mimi hiyo ndo adabu
Halafu eti mjambaji mwenyewe ndie anainuka na anakupa bakora za kutosha wakati amejamba yeye!
Ajambe mbele ya mtoto.com alafu ampige hiyo hata kama kamzaa yeye litakalomsibu siri yake yaani cha kwanza ni swali "sasa si umepumua mwenyewe asa unanipigia nini? Acha hizo we maza/faza (mother/father)"
Nikiwa na mtu mkubwa afu akajamba eti nijisingizie ni mimi hiyo ndo adabu