Haki ya Mungu, sitasahau utotoni

Haki ya Mungu, sitasahau utotoni

Joined
Aug 6, 2014
Posts
89
Reaction score
14
Mama aliniambia mwanangu jihadhari sana usimuone mtu mzima(alokuzidi umri sana) akiwa anakojoa, kwani utakuwa kipofu. Tukumbushane ya utotoni basi wadau, ww ulionywa nn?
 
Mm niliwahi kuambiwa kuwa ukifanya mapenz na mwanamke aliyekuzidi umri kamashine kanaungua, halafu ukila ukiwa umelala et mama anakufa,
 
nkimuudhi mama alikua ananambia **ntakutengeneza ka mboga** apo nnakua mpole ncje kuwa kitoweo bure
 
Mama aliniambia mwanangu jihadhari sana usimuone mtu mzima(alokuzidi umri sana) akiwa anakojoa, kwani utakuwa kipofu. Tukumbushane ya utotoni basi wadau, ww ulionywa nn?

Mkuu samahani lakini........mwanzo wa kichwa cha habari yako......dah......nimelegea kabisa......huyo jamaa sidhani kama ni vyema kumtajataja hovyo.......kwa imani yangu lakini........otherwise........peace 😛eace:.........
 
Dah! et watoto wananunuliwa sokoni,kwahiyo unaambiwa utaletewa mdogo wako akienda sokoni.
 
Nikiwa na mtu mkubwa afu akajamba eti nijisingizie ni mimi hiyo ndo adabu
 
Enzi zile tukiwa tuna angalia tamthilia malavidavi yakianza mama anasema fumbeni macho nw days watoto wana toa jicho mwanzo mwisho!
 
Mama aliniambia ukicheka au kuwa karibu na mwanaume unapata mimba. niliuwa nikiitwa namwname naikimbia nikilia kuwa nimepata mimba.
 
Watoto wasikuhiz ukiwadanganya kitu wanaenda ku google lazima uumbuke mtu mzima
 
Mm niliwahi kuambiwa kuwa ukifanya mapenz na mwanamke aliyekuzidi umri kamashine kanaungua, halafu ukila ukiwa umelala et mama anakufa,

Umenikumbusha siku moja baba alikuwa anaumwa sasa akawa anakula huku amejiegesha kitandani....mimi wacha niangue kilio namwambia anyanyuke mama atakufa (nikidhani mama yangu mimi ni mama yake yeye pia) utoto raha sana aisee
 
Back
Top Bottom