Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,292
- 14,960
Wakati nasoma kuna jamaa walikuwa wanajiita Waarabu ingawaje kwa kuwaangalia huoni Uarabu, basi walikuwa mpaka wanajiapiza,“ Haki ya Mungu na Mtume tena mimi Mwarabu“ tulikuwa tunawaita Waarabu wa kuapia, yaani mpaka aapie ndo ujue kwamba ni “Mwarabu“.
Nimekumbuka mbali tu, wote tuna Utoto ndani yetu, …
Nimekumbuka mbali tu, wote tuna Utoto ndani yetu, …
