Mikojo inatofautiana wewe
yote ina chumvi ila mmoja mwepesi mwingine mzitokuna mmoja una chumvi mwingine una sukari.
yote ina chumvi ila mmoja mwepesi mwingine mzito
Haki ya mtoto iko wapi TZ,....akikojoa anachapwa ....ila mume akitaka kukojoa anapigwa buusu anaambiwa kojoa tuuu darling,haki ipo wapi?chukua hatua tafadhari.
Nilikuja kwa kasi nilifikiri kuna dogo anaonewa.
Kwaherini.
Nilichogunduwa mtoto hukoja bila ya taarifa ila mume hutoa taarifa then akapewa maandalizi ya kukojoa kwake yakiwemo hayo mabusu. Then mtoto anachapwa kukojoa ovyo ovyo kuoneshwa kuwa mkojo wake utakuwa umuhimu siku za mbeleni
Nimefurahi sana! kwa hiyo kutokana na gharama za sukari na chumvi kupand basi tukojoe sana (watoto kwa wakubwa) nina wasiwasi na namna ya kuipata hiyo chumvi ama sukarikwa hyo moja inafaa kuungia mboga na nyingine inafaa kupikia chai...gharama za maisha zishapungua hapoooooo
hivi umewaza nini? kweli tumeishiwa.....................Haki ya mtoto iko wapi TZ,....akikojoa anachapwa ....ila mume akitaka kukojoa anapigwa buusu anaambiwa kojoa tuuu darling,haki ipo wapi?chukua hatua tafadhari.
Haki ya mtoto iko wapi TZ,....akikojoa anachapwa ....ila mume akitaka kukojoa anapigwa buusu anaambiwa kojoa tuuu darling,haki ipo wapi?chukua hatua tafadhari.
Haki ya mtoto iko wapi TZ,....akikojoa anachapwa ....ila mume akitaka kukojoa anapigwa buusu anaambiwa kojoa tuuu darling,haki ipo wapi?chukua hatua tafadhari.
uko sawa kabisamwingine njano mwingine maziwa. Nimepata?