Haki ya kufuata mume

congobe

JF-Expert Member
May 31, 2012
561
129
mi ni mwalimu shule flani secondary wakuu wananisumbua kunipa uhamisho wa kumfuata mume wangu aliko na ni nimepereka cheti cha ndoa na barua ya kuomba kuhama ,naambiwa nitafute mwalimu mbadala ni mpereke ndo ni hame
 
mi mwalimu wa kike nimetuma barua pamoja na cheti cha ndoa kuomba kumfuata mume wangu aliko naambiwa na DEO ni mtafute mwalimu mbadala nimpereke ndo ni pate kuhama kituo cha kazi cha sasa je NIFANYEJE wana Jamvi naomba ushauri wenu
 
Back
Top Bottom