Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Wanajamvini naomba kufahamu haki za mfanyakazi anayeachishwa kazi na muajiri (ridandasi). Ni haki zipi za kisheria anapaswa kupatiwa.
Pamoja sana.
Pamoja sana.
hamna chama cha wafanyakaz hapo? kama kipo nenda kareport hyo matter, wao watafanya taratibu za kwenda CMA, kama hamna jaribu nenda CMA mwenyewe watakuelekeza zaidi, pale ndo utaelekezwa kama ELRA inavyo sema kuhusiana na unfair termination...
Nafikiri anahtaji kujua DUES anazotakiwa kupewa kutoka kwa mwajiri wake.kama hujui kazi zao jaribu ku google utaelewa vzuri...