haki sawa kwa wote

haki sawa kwa wote

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,676
Reaction score
59,171
huu-ndiyo-usafiri-wa-kutoka-mbinga-hadi-kijiji-cha-darpori-kilichopo-mpakani-mwa-tanzania-na-msumbiji-ambapo-mizigo-huwekwa-ndani-na-abiria-kuwekwa-juu-ya-gari-na-wengine-kuningnia-kama.jpg


twatoka wilayani Mbinga twaelekea kijiji cha Darpori kilichopo mpakani mwa nchi za Tanzania na Msumbiji. ni kilometa 82. mia
 
duh! nakumbuka usafiri wa kutoka katesh kwenda basutu huko mkoa wa manyara. dereva wetu samweli enzi hizo. ukikosa basi asubui ni mpaka kesho maana hakuna dereva mwingine anaeweza enda njia hiyo isipokuwa yeye tu.
 
Duh! Kumbe Tanzania ni kubwa, nadhani huko hakuna serikali jamani
 
Hivi machimbo ya nadini kule MPEPO yanaendelea? Long time kitambo!!!!!
 
Back
Top Bottom