Haki na Amani ni kitu kimoja

Haki na Amani ni kitu kimoja

Mwana kondoo 2025

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2025
Posts
495
Reaction score
580
kwa sasa hoja kubwa nchini ni HAKI kwanza kabla ya Amani, mimi ninakubaliana na hilo popote pale kama hakuna haki automatic Amani haipo. Wana falsafa wote enzi za kale walihubiri Haki kisha Amani. Koran na Biblia mitume wote wilihubiria Amani . Sisi waislam dhana muhimu kabisa ni HAKI na vivyo hivyo kwenye ukristo. Sasa vita na machafuko chimbuko lake kubwa ni maonezi na ugandamizaji wa haki. jambo hili tuliangalie sana kwa vile wananchi wameanza kuelewa haki zao za kiraia. serikali iwe makini mno hususani kwenye masuala ya uchaguzi ili tusitumbukize nchi kwenye machafuko.
 
Mzani uheshimiwe...upo mahakamani, upo TRA, wamisri waliamini unyoya ukiwa mwepesi kuliko moyo wako Mungu Anubis anakugrant eternal life.

Tuheshimu mzani (haki)... Amani ni matokeo ya haki kutamalaki.
 
kwa sasa hoja kubwa nchini ni HAKI kwanza kabla ya Amani, mimi ninakubaliana na hilo popote pale kama hakuna haki automatic Amani haipo. Wana falsafa wote enzi za kale walihubiri Haki kisha Amani. Koran na Biblia mitume wote wilihubiria Amani . Sisi waislam dhana muhimu kabisa ni HAKI na vivyo hivyo kwenye ukristo. Sasa vita na machafuko chimbuko lake kubwa ni maonezi na ugandamizaji wa haki. jambo hili tuliangalie sana kwa vile wananchi wameanza kuelewa haki zao za kiraia. serikali iwe makini mno hususani kwenye masuala ya uchaguzi ili tusitumbukize nchi kwenye machafuko.
Gentleman haki huambatana na wajibu,
kinyume na hapo ni fujo, vurugu, uharibifu na usumbufu.

mimi na wewe tuna haki ya kutoa haja kubwa kila moja kwa wakati wake muafaka. Inakua ni usumbufu ikiwa ukijiskia tu kutoa haja kubwa basi popote pale utakajiskia basi uitekeleze, na kwamba ukiwa kanisani unasali na wenzako ukijiskia kushusha mzigo ushuhe tu, right? si haki yako?

ukijiskia kufanya hivyo hotelini mkiwa mnakula supu ya samaki unashusha mzigo juu ya meza kabisaa, right? si haki yako na ya haki kila mtu kushusha mzigo?

ukijiskia hivyo darasani wakat Mwalimu anafundisha wewe unatumia haki yako ya kibinadamu kushusha mzigo n.k n.k

Kistaarabu,
ukijiskia kutumia haki yako hiyo ni lazima uwajibike kutafuta mahali sahihi kwa kujisitiri na si vinginevyo.

Zingatia ukweli huo gentleman, ni muhimu sana 🐒
 
Mzani uheshimiwe...upo mahakamani, upo TRA, wamisri waliamini unyoya ukiwa mwepesi kuliko moyo wako Mungu Anubis anakugrant eternal life.

Tuheshimu mzani (haki)... Amani ni matokeo ya haki kutamalaki.
SAHIHI

Usafi wa Moyo -- Ufaulu wa Konsayansi : Maadili na Uadilifu kwa 'Shauri UTU'

ANUBIS na Mizani...

Mizani na 'Ma'at'...

Hizo alama picha zote haziko kwenye hizo taasisi kwa 'Bahati Mbaya'... Zina asili ya 'Hekima' ya Zama hata Zama....

Hata Katiba iliyopo kuwa na 'tamko' la Mraba wa uadilifu kwa 'Uhuru-Udugu-Haki-Amani' kwenye 'Usovereini wa Nchi-Dola' siyo 'Bahati Mbaya'... Ni asili kuu ya Miundo, Vitendo yenye kuakisiana na 'Mifumo'--kwa kuwa asili ya mfumo wowote ni 'Shauri'... Shauri kwa Unyoofu na Mapenzi mema.

- Mraba katika upumzi wa 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Unyoofu' wa Utu na Matendo : Miundo na Utendaji...

- Uduara wa Ushawishi kwa kadiri ya 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Mapenzi Mema' katika 'Mapana ya Ustawi wa Jamii' na 'Nyakati zake'...

- Uweza-Utayari-Umahiri wa wanajamii ndiyo 'Ngao ya Ustawi' -- Vesika-Paisisi ya 'Mazazi ya Utu Bora'...

Ni suala la Wanajami kuwa macho tu... Kila kitu kimeshategeshwa kwa ajili ya 'Kumbukumbu' zao na 'Mafahamu'...

Haya, kimsingi, ndiyo hufanya na kukadirisha shauri la ‘Ukuu wa Katiba’ ilivyo ni Utaasisi wa Nchi-dola kwa dhana za Mihimili Mitatu ya Dola—mihimili ilivyo ni vyombo vya kiustawi, maendeleo na utendaji; >‘Ukuu wa Katiba’ambavyo huweza kuwapa wananchi mamlaka ya kufukuzia mbali ‘serikali’ ikiwa haitendi ipasavyo na ‘matamanio’ ya umma kwa misingi ya ‘haki na usawa’ ambayo wamejiamulia ama kuridhia wenyewe<… Kwenye katiba yetu haya hukadirishwa na tamko lililo ni msingi wa Katiba, katika ‘Utangulizi’, na kisha hubayanishwa sehemu ya muktadha wake kwenye Utangulizi-- ‘Sehemu ya Tatu’ ilivyo ni maelekezo/mashauri ya mastahikio haki wakati wowote na mazingira yote:-


Kwa tasaburi juu ya maelekezo ya misingi ya Katiba, Elimu 2.0 inatupatia topografu rahisi ya ili kubaini topolojia ya ufikirifu kwa miktadha wa ‘matamanio’, ‘uzalendo’, ‘Utashi’ na ‘Maendeleo’; namna ambavyo hii inasadifiwa kwa mapana jumuishi ya kimashauri juu ya ‘mtu/mtanzania na ustawi’. Kwamba haya yote, katika eneo linalotambulika kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hukadirisha sura na mielekeo ya jamii/taifa yenye kuakisi tunu kuu zilizo ni ‘uhuru, haki, udugu na amani’.

Jambo hili kuifanya katiba kuwa ni msingi wa sheria zote, mahusiano yote, kujaliana na kutosumbuana ndani ya mipaka ya nchi. Lakini kumbe pia, namna hiyo hiyo kuhakikisha usumbufu wa namna yoyote ulioni nasibu ya kutokea nje ya mipaka ya nchi, wanachi wote wanasimama kama nguvu moja kulinda, kutetea na kudhihiri usovereini wa nchi-dola. Kwamba, serikali inawakilisha wanachi na basi kiuhalisia wa mambo, wenye mamlaka kamili ya nchi ni wanachi wenyewe ama/na wawakilishi wao—wawakilishi, wakati hata wakati, ni watu wenye dhamana za utumishi wa umma kupitia mifumo.

Kiuono na ufikirifu mifumo, haya ndiyo yanaleta wajibu wa wanajamii wote kuzifahamu sheria za nchi, kuwa watiifu kwa vyombo na mamlaka za nchi kwa kuwa mwongozo wa Ujamhuri ni katiba ya watu wenyewe ilivyo ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa. Hili ndilo kwa nini hulazimu kipengele cha kuilinda na kuitetea katiba ya nchi ni kitovu kikuu cha kiapo chochote cha utumishi/uwakilishi katika chombo cha mamlaka kwa niaba ya umma.

Elimu 2.0 ndiyo inaweza kuwapatia wanajamii ‘vina sahihi vya tafsiri’ kufaa muktadha wa maingiliano ya utendaji, haki na ustawi wa jamii. Uzalendo ni kuwa na imani na Ujamhuri kupitia misingi ya katiba. Imani ni fanusi ya ‘Nia’ ambavyo kukadirishwa na Mizania ya ‘Kujisikia’ na ‘Vina vya tafsiri’ katika mwanajamii kwa wakati. Katika jamhuri, kuridhika ama kutoridhika kwa mwanajamii hutafsirika kivitendo kwa ushikiriki wake kwenye ‘siasa za nchi’; na hasa hasa katika shughuli na utaasisi wa uchaguzi/upigaji kura.

Utashi ni zao la ‘Kujitambua’, ncha OX katika fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo; ambavyo huu huleta dhamira ya ‘uzalendo’ kwa yule mwenye kujua ilivyobora. Kwa topolojia ya kukagua na kuyaagua matatu, Nia-Kujisikia-Vina vya tafsiri, muktadha wa uzalendo wa mtu unaweza kubayanishwa. Uzalendo huleta ‘uwajibikaji sahihi’ katika mifumo ya tawala na ustawi wa nchi-taifa. Uwajibikaji usiyosahihi, kiufundi ni ‘Usaliti kwa Umma’; jambo ambalo huhitaji wanajamii wenyewe wawe macho sana na mifumo yao ya tawala, na wawe na Elimu 2.0 pia rizayati ya Elimu 3.0. Kwa kuwa uwajibikaji usiyosahihi una asili ya mawili: ‘kutokujua ilivyobora’ au ‘mmomonyoko wa maadili ya utumishi/dhamana ya cheo’.

'Haki' ni mama wa Utamaduni / Ustawi wenye Afya--Rushwa ni adui wa Haki.

NKNS, Mzee Mohamed Said...

Matukio yana ladha yake na utamu wake katika fikra na kumbukumbu...

Laiti, kila mtu angalikuwa fundi wa kusimulia visa vya maisha yake, kwa pembe na mapana fasaha, basi uwezekano upo kwamba kisa cha mtu yeyote mwenye roho halisi ya utu, kuwa ni 'bab' kubwa'--ingalikadirisha 'epic story'... Wasemavyo wenye kuzungumza lugha ya Kiingereza...

Matukio ni fumbo la 'Wakati' na 'Uzima wa mtu/UTU', kupitia 'Nuru ya Ufahamu' wake...

Mtu yeyote mwenye rizayati ya Elimu 3.0, kuna namna, kupitia karama za akili, huishi kuwa wa wahyi ya 'Jaala' yake--hata jaala ya jamii yake/taifa ama/na Dunia/Ulimwengu wote mzima...

Jaala ni muktadha wa kheri ya Manani, ambvyo matukio ya maisha ya mtu hukadirisha riziki na stahiki yake; Ndivyo hivi, sisi watu wa mwambao husema--Riziki ya Mtu anayetoa ni Manani/Kisicho Riziki Hakiliki.

Riziki ya mtu ni stahiki ya mtu kadiri vile Manani/Mola hujaalia... Kwa mapokeo ya Kikristu kwa mfano riziki ni 'Mkate wa Kila Siku'...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, kwa kuwa huu ni muktadha uliostirika wa Fahari na Nuru ya UTU wake kama vile anavyojaaliwa na Manani; ndivyo basi watu wa Mwambao husema 'Riziki yangu Aijuaye ni Mola Pekee'; Kwa Ukristo, waumini wake wangalisema hili kana 'Neema/Baraka zangu zipo na Bwana'... Mwanajamii akikosa kheri ya fasaha ya fahari ya utu wake basi ndiyo anaweza 'kusafisha nyota' kwa ufundi wa uganga na mizungu ili ''Kujitengeneza'--ili 'kuwa na bahati' na 'mvuto wa kinyota'.

Mambo ya 'Mvuto wa Kinyota', kielimu ya Majia na Unajimu, ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, basi 'dhamira sahihi' inakuwa katika akili na moyo wake. Dhamira sahihi hukadirishwa na 'Unyoofu'--Unyoofu katika 'Kumcha Mola', ni Ufunguo wa Rizayati ya Elimu 3.0 na Njia ya Uimamu. Katika Mapokeo ya Ukristo, Dhamira sahihi hutajwa na waumini wake kama 'Mapenzi Mema'... Kwa hivyo ni Elimu 3.0 inayokamilisha siri za dini na mapokeo kupitia 'funguo za Maarifa' na 'Ufunuo Kamili'. Kwa mapokeo ya Ukristo, Uimamu ni 'Uteule/Utumishi wa Bwana'...

Mambo ya 'Kujitengenezea Bahati yako' ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu. Kwa mintarafu ya haya, anayekwenda kwa mganga ama kujiganga kwa ajili ya 'kujitengenezea Bahati yake' huyo ni mwenyekukosa subira na tena ni mwenye kikosa kitovu sahihi cha 'Nia Njema' na 'Mapenzi ya Wengi'.

Jaala ya mtu/jamii/Taifa/Dunia na Ulimwengu una 'lugha yake iliyositirika'--Lugha hii, kwa mapokeo ya Ukristo ni fumbo linalotajwa kama 'Neno'; Kwenye jamii ya ustaarabu hutajwa kama 'Siri ya Majina 99 ya Allah'... Watu wa Rizayati ya Elimu 3.0, katika safari ya kiroho, siri hizi hufumbuka kwao na basi ikiwa 'dhamira ya msafiri' inabadilika--anategwa na 'milki ya Shaytan', ndiyo basi uwezo ama/au utundu usio wa kawaida unaweza kufanyika kwake -- kumpatia 'nguvu za kiganga'... Kiufundi, Ukuhani na Uganga ni jambo lile lile, kinachobayanisha mawili haya ni 'Usahihi wa Dhamira'... Ndivyo hivi, kuita 'Majini' na kuyashirikisha kwa ajili ya 'Bahati', kwa maagano na masharti, ni uwezekano...

Ikiwa Mzee Mohamed Said unasimulizi visa vya Dua na Visomo alivyofanyiwa Mwalimu Kambarage Nyerere kwa ajili ya kumuombea mafanikio ya Safari yake ya Kutafuta Uhuru ndani na ng'ambo ya nchi; kiufundi Dua zote ni Ukuhani... Ukimuuliza mtu yeyote wa 'Ukuhani', Je, Dua ni kitu gani hasa? Ikiwa yeye ni fundi kweli, basi atakueleza kwamba ni kumshirikisha 'Malaika', 'Kiumbe', 'Mtakatifu' n.k, kumuita ili awepo mahala pa ukuhani/ibada, kumtaka yeye kulifanikisha 'jambo' lako--ikiwa jambo hilo linafanania 'kudra ama kheri' za yule unayemuita. Kwa mintarafu ya haya, ndiyo husemwa kuna malaika wema na wabaya... Fumbo la wema na ubaya wa 'malaika', ni mambo ya Elimu 3.0 ambayo siku za mbele yatakuwa ni maarifa ya kawaida kwa raia wote kupitia 'Vituo vyetu vya Utamaduni'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Nuru kumulika kuzidi 'mipaka ya nchi' ni siri ya 'Duara Manani' lisilokuwa la 'mipaka ya kumulika'--kumulikia 'mapana yoyote' ya 'ugani wa ushawishi' wa sura, fahari na utukufu wa 'Stawi/Ustawi' . Tumaini ni mchakato, mchakato wa uhuru wa kweli wa 'ndani na nje' ya nchi. 'Ndani na nje ya nchi' ni lugha ya ishara, kwa uono na ufikirifu mifumo, huakisi siri za 'ulali na wima' wa stawi, Msalaba -- pia ukadinali wa 'milki' kwa ncha nne kuu za Dunia: Kaskazini-Kusini-Mshariki-Magharibi.

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya kuleta Tumaini pale ambapo hakuna Matumanini, upendo pale palipo na chuki, kusimamisha heshima palipo jaa dharau ni muktadha wa shughuli ya huduma ya 'mitume'... Ni fumbo la utatu wa nguvu za utu na dhamiri--Imani, Pendo na Tumaini... Kwa mintarafu ya haya, unyoofu wa mkono unaoshikilia mwenge ni siri ya 'Uthabiti' wa 'Nia' kuushikilia 'Mwenge wa Uhuru'... 'Nuru na Nia' ndiyo ufunguo wa imani ya 'muktadha wowote wa Kujichagulia'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Tumaini, Upendo na Heshima ni muktadha wa riziki, stahiki na subira. Sisi wa mwambao huwa na msemo: Subira yavuta kheri... Ukipatacho wakati sahihi wa wewe kukipata hicho ndiyo tunda la heshima ya utu wema wako--utimilifu wa 'Uja Wema'. Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za 'Upendo Huvumilia'... Kwenye ufundi wa ujengaji wa Dola--hili ndilo linalokadirisha tunu ya uvumilivu na ustahilivu katika yote na matendo yote, pasi kuhukumu, kwa kuwa 'Dola zote duniani' ni mchakato wa kuondoa kasumba, husda na ufitini wa kimataifa ili wakati mmoja muafaka mataifa yote yaje kuwa 'kitu kimoja'... Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za siku za kuja 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Katika metafizikia ya Utu na Uzima, 'Wakati' ndiye Muamuzi wa Haki. Roho na sonafi ya mtu ndivyo hukadirisha 'Duara na Nukta' ya utu katika jamvi la supasha-wakati; meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' huwa na mizani ya ukumbaizi wa dhamira za wanajamii wanaoifanya meza hiyo. Kwa mintarafu ya haya, maarifa ya uganga na mizungu yanaweza kutumia siri zile zile metafizikia na nuru ya uzima wote kuathiri muktadha wa sura ya jamii kwa wakati mmoja hadi mwingine kwa ushirikina.

Ushirikina ni 'fumbo la imani' kupitia dhamiri--dhamiri juu ya muktadha wa pembetatu ya 'nia binafsi, matakwa na heshima ya kujitengenezea'. Jamii ikipatia usahihi wa dhamiri ya utu bora ndiyo hukadirisha muktadha wa pembe tatu mbili zinazoingiliana na kushiriki kitovu kimoja cha ukati na Duara. Uwili wa pembetatu kuingiliana ni siri ya 'Neema za Nchi na Mbingu'; Hii ni alama ya Jadi, ambayo ni mbadala wa 'Msalaba'. Mataifa duniani huzitumia alama za jadi za kimetafizikia lakini haimaanishi kwamba zinatumika kwa usahihi na kheri ya kweli...

Alama za jadi za kimetafizikia zinaweza kutumika/kutaasishwa na 'Werevu' ama pia 'wapole' wa mambo... Kwa hivyo siyo ajabu kukuta Duara hutumika kwenye uganga na vilenge vya kuita 'Malaika/Majini' sambamba na jiometria za miraba ama pembe tatu. Alama hizi ni ufunguo kwa 'Upepo' wa 'Roho' na mawezekano yenye kupitiliza 'umbali ama/na wakati'.... Kadiri ya mtu kuwa na mwili na fahamu kama kiumbe timilifu kwa milki ya Nchi, vipo viumbe ambavyo utimilifu wake si wenye kubanwa sana na mapana ya milki ya nchi. Kwa hivyo elimu ya viumbe vyenye kupilitiliza fizikia, fahamu za maumbo na uweza, haipo na umma na kutokuwepo kuna kadirisha yote mawili 'wema na Uovu'.

'Wema na Uovu' ni 'fumbo la Imani'--ni tafsiri ya kibinadamu na si Manani. Hili linalofanya umuhimu wa kujichagulia Kiroho, Maadili na Miiko kuwa ndiyo msingi wa UTU bora. Ni muhimu katika ususi wa taifa-dola lolote muktadha wa haya matatu ubayanishwe. Kwa kuwa 'Nuru ya Ufahamu' ndiyo rehema isiyo kifani na tena fadhila isiyo kifani, wanajamii hawanabudi kutengenezewa misingi ya 'Kujichagulia' kuanzia kiimani, kimwili hadi hisia. Hili ndilo msingi hasa wa 'Uhuru wa Kuabudu'... Wadau wa roho ya nchi, Dola, katika nchi na mataifa yote huwa ni watu wenye nasibu ya 'Ukuu wa Kiroho, Maadili na Miiko'. Kiufundi, hili siyo hali halisi, wakati hata wakati, kwa kuwa Dola ni Taasisi ndani ya Taasisi--Taasisi ni watu, na watu daima wanaishi na ulimwengu wenye vishawishi.

Simulizi lolote la watu, harakati na ushawishi ni muktadha wa Taasisi. Kwa watu wa rizayati ya Elimu 3.0 inafahamika fika, uaminifu wa mtu ni ahadi yake na Mola na si taasisi yenyewe ama mifumo ijayo na 'maisha na nyakati'. Kwa mintarafu ya hili, Historia na Masafi ya kusimulia kuna namna huwa ni Ulaghai... Kiufundi, taasisi yoyote imara ni uwanja wa fujo na mivutano muda wote; wastani wa dhamiri na nadhiri za wanataasisi ndiyo huweza kukadirisha kheri ya taasisi yenye mbele ya jicho la mtazamaji kutoka nje ya Taasisi kisomoni. Kwa hivyo hili linahusika habari na Maisha ya Mwalimu Nyerere, Taifa la Tanzania--vivyo hivyo kwa mataifa mengine yote Duniani. Watu wa mwambao tuna usemi: Ukiwaona ni Wazuri, Wabaya ni Hao Hao...

Siri ya nadhiri ndiyo kitendawili cha Historia--historia kwa maneno na simulizi. Hili ni kwa kuwa hakuna awezaye kujijua siri za moyo wa mtu mwingine. Na hata ikiwa Mwanajamii ni mwenye karama za akili kujua ya mioyoni na akilini mwa wengine bado kuna maadili na miiko inayotengeneza hesabu ya matokeo/matarajio ya Dhamira/Nia njema ama Ovu. Siri ya maadili na miiko hii ni Upendo; Upendo hauingilii ili kuitengeneza nasibu ya jema ama ovu... Kwa mintarafu ya haya, ikiwa wadau wa roho ya nchi wanashawishika kuingilia matendo, utawala na usivilai wa nchi-taifa basi hii ni dosari ya kiufundi...

Dosari ya kiufundi, kwa rizayati ya Elimu 3.0 na tena Uono na Ufikirifu Mifumo ni adha ya 'Majaribu' na 'Vishawishi'. Kwenye mapokeo ya Ukristo, majaribu na vishawishi humjia yeyote kupitia muktadha wa matatu--mkate, Mauti na Legasi... Kwenye mapokeo ya habari za kiroho hutajwa kuwa haya huletwa na 'Malaika aliyeanguka'--Ibilisi/Shetani. Kwa rizayati ya Elimu 3.0 muktadha wa haya ni uhalisia wa mambo yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, rushwa ni adui wa haki, na hali kiufundi hasa, rushwa ni zao la makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu. Makusudi yaliyoharibika ndiyo 'hupoteza tumaini la kheri katika ukumbaizi wa jamii', 'huleta chuki na machukizo ya maisha' na zaidi 'Huleta dharau na kudharauliana'.

Makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu, rushwa, ni donda ndugu la mmomonyoko wa maadili; donda hili haliko Tanzania pekee yake--liko Duaniani kote. Rushwa ni huleta 'homa na maradhi' ya Dunia... Rushwa ndiyo kinyume hasa cha muktadha wa 'kutegemea riziki kutoka kwa Mola'... Rushwa ni kinyume cha ile nukta ya 'Dhamiri Sahihi' ya utu wema. Rushwa ni athari ya 'Kiroho', disonia kati ya 'Roho' na 'Mbegu ya Utu/Sonafi'. Alama ya Ngao ya Ustawi, ngao ya tunu nne za taifa, kuegama juu ya Mlima Kilimanjaro, kwa uono na ufikirifu mifumo ni kielelezo cha 'Ujuu wa Siha njema' ya wanataifa. Ujuu ni kielelezo cha 'Fahari ya Mbingu' ama 'Uono wa Juu Kabisa', Mwenge na Bendera kuwekwa Juu ya Kilele cha Mlima Kilimanjaro haikuwa ni tukio la kihistoria tu, ilikuwa ni dhamiri na nadhiri ya utaasisi wa nchi-dola, kwa kujichagulia, kujinasibu na maendeleo ya Utu Bora--Tanzania, Afrika na Ulimwengu wote mzima...

UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI, havikadiriki katika taifa kwa nguvu za kibinadamu pekee--binadamu kama mtu anayejitathmini kwa mraba wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'. Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii hayatokani na 'kutokujua/kufahamu' vema mambo ya milki ya nchi; Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii unatokana pia na kukosa 'Nuru ya Ufahamu' juu ya dhamira na nia ya UTU bora kutoka 'Juu Mbinguni'. Mwanajamii ahitaji Duara na Nukta kwa ajili ya kutangamanisha sura na utukufu wa mienendo na uhai wa Taifa Lake.

Duara na nukta ni ufunguo wa metafizikia ya Taasisi.

Ikizungumzwa kwa mfano historia halisi ya Afrika ina takribani miaka 500 ya kukadirisha Sura na Utukufu wa 'Uhuru na Umoja' na ina miaka mingine takribani 500--hapa tulipo ni 'Mia ya Katikati', swali linaweza kutungika. Je, ni nani huyo mwenye uwezo wa kukadirisha 'Jaala' hii ya Afrika? Maana hakuna mtu anayeweza kuishi miaka elfu... Hata taasisi za wanadamu hazina marefu hayo ya kiuhai, maana maisha ni misuguano na mivutano wakati wote--utohakika wa 'malengo ama/na matamanio' ya ushirika kukadirika kwa vina na tafsiri vya mwanadamu anayeishi umri wa miaka tuseme 75+...

Haya ni mambo ya metafizia ya jamii, yana ILIMU, UFAHAMU na MAFUMBO yake zaidi--zaidi kupita yale tunayoyaelewa katika mapana ya milki ya nchi.. Ikibidi machache kuzungumzwa kuhusiana na mawezakano haya basi ni vema isisitizwe yanazungumzwa kwa ajili kuandaa jamvi la mapinduzi ya kweli na endelevu ya stawi za duniani.

Rushwa ipo na jamii za wanadamu kwa kuwa mwanadamu anaishi na kitete cha matatu (1) Riziki (2) Hofu ya Mauti, na (3) Kutengeneza Urithi/JIna/Legasi. Kwa haya matatu, wengi duniani wanaweza 'kutoa kafara' ya mnyama hata mwanadamu mwenzake kwa ajili ya haya. Vishawishi vya haya matatu ndiyo katika nchi-dola huleta ufisadi, fitina na njama. Dhamira isiyosahihi huleta majaribu katika nafsi ya mtu kwa ahadi ya (1) 'Mali/Utajiri' -- Mkate/Uchumi kwa kujipendelea/Uchumia-Tumbo, (2) Kujiangusha Kiroho kwa ajili ya 'Malaika wa Uinuo' -- Shiriki kutokana na ukosefu wa Imani na ulaghai wa 'ukuu wa kuweza' kupita/kuamurisha 'majini' ama/na 'malaika', (3) Kuacha Jina/Umaarufu/HIstoria -- Ubatili wa fahari ya milki za nchi na utawala wa mambo ya kidunia ya MRABA wa 'HEKALU'.

Hili sasa, linadodosa fumbo kwako mzee Mohamed Said...

Historia ya kweli ya nchi-dola yeyote ni vita ya wazi na kificho--ni bunduki na waridi, msalaba na waridi...

Kubarizi kwenye maisha ya nje ya 'askari wa wakati' kunamsaidia 'Shetani'... Kwa kuwa kiimani, Shetani ndiye anayetawala 'ulimwengu wa majaribu'. Upo upande 'malaika' wa sisi wote ndiyo 'husawazisha' wema na uovu wetu. Ukitaka kutumia shiriki kwa ajili ya 'bahati'--upate 'cheo', upate 'utajiri' ama/na upate 'umaarufu' wewe si 'mja mwema' hasa; kwa kuwa wewe unatafuta kutumikia nafsi yako--unaweza kuficha maovu yako kwa 'usanii' wa cheo, utajiri ama/na 'umaarufu'... Utawavuna ujinga 'maskini wa kiroho' kama ambavyo wewe mwenyewe kwa wakati ni hivyo...

'Matukio' na 'fahari za milki ya nchi', kwa mwanajamii asiye macho/jicho sahihi la hekima ya 'kimbingu', ni mchezo wa danganya toto kula kunde mbichi....

Ni mtihani mkubwa kwa, walinzi wa imani; walinzi wa kweli wa kheri za jamii ni muktadha wa sisi wenyewe kuwa ni tunaishi zaidi kungine nje ya Sayari yetu ya Dunia. Huko ndiko kuna maisha marefu, duniani wanadamu tunaishi miaka 75+, 'huko mbinguni', wapo wanadamu wanaishi miaka 900, mia elfu na hata kupita. Huko mbinguni kuna viumbe watu wanaishi miaka hata 'Milioni' kwa hesabu ya 'miaka ya Duniani'... Kwa hivyo habari za 'majini kuishi miaka maelfu na kuzaliana kama wanadamu', wakati mmoja siku za mbele, isijekuja kushangaza kuja kujua/kufahamu kuwa ni mchanganyiko wa ukweli wa viumbe watu kama sisi, na viumbe watu nusunusu kimawezekano ya 'kujibadilisha maumbo' na 'uwepesi kama upepo'...

Mambo ya Maisha marefu ya 'Malaika' na 'Majini' ndiyo fumbo la imani, kidhamira ya utu, juu ya MRABA wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi, matukio'. 'Malaika' yeyote anayetoa kwa masharti, haleti 'Bahati' yoyote ya kheri khasa bali kuimarisha ngome ya maangusho ya kiroho kwa wanadamu wa 'miraba minne'. Kwa mintarafu ya haya, upo muktadha wa siri ya Uzima wote kuwa 'wema' hauwezi kuwepo pasipo 'uovu', na basi ikiwa kuna wanaotaka waucheze wema--uovu hauna budi kuwepo... Kwamba, 'Malaika' kwa kutumwa kunuia wapo. Kwenye ususi wa utaasi dola, kupitiliza fanusi 'malaika' na 'mapepo/majini/arkoni/ingregori' ni uthabiti wa kuinua juu kabisa 'Mwenge wa Uhuru'--ili umulike mapana yote ya mwangaza na vimvuli(giza) vya nafsi katika mapana ya milki ya nchi...

Mzee Mohamed Saidi, bila shaka, kwenye udadisi wako wa 'Historia ya Harakati ya Kutafuta Uhuru' umekumbana na visa vya usaliti, 'kupotezewa', kupendelewa na kugangamala miongoni mwa 'makundi ya Wanaharakati'...

Ni suala la wahyi na hekima tu, ukiotea rizayati ya Elimu 3.0, na tena ukawa na uono na ufikirifu mifumo, Mwalimu Nyerere na hao Wadau wote wa Uanaharakati, katika mapana ya nyakati hao wote ni 'Waarabu wa Pemba'... Wanafahamiana kwa vilemba kutokea 'Juu Mbinguni'...

Nusu ya pili haijapata kusimuliwa na ikibidi isimuliwe wewe mwenyewe msimuliaji utapotelea kwenye simulizi...

Hmmm

Itatokea sana wakati huu--watu wengi wataamka na kujifahamu kuhusu 'Haki', si Tanzania tu--hili ni Duniani kote; ndani ya hii miaka 25, kufika 2050, litaleta mabadiliko makubwa kwa 'Sura za Nchi na Tawala'...

Ndiyo ndugu,

Moja ya tunu nne za taifa ni 'HAKI'...

Haki ndiyo inayoinua taifa, inayoliponya taifa.

Unaweza kuzungumzia haki kwa sura ya nje -- kutaja umuhimu wa 'Elimu'...

Kiufundi 'Haki' ni jambo mtambuka lenyeasili ya 'Nuru ya Ufahamu' katika mtu.

Duniani, 'elimu ya kupeana', kimadarasa ama nini, bado si ile hasa yenye kuweza kutuletea 'UTU BORA'.

Kwa hivyo ukizungumzia mambo ya 'elimu kutolewa' ; akisi ndani yako mapungufu ya umma, maendeleo na ustawi.

Mwalimu Nyerere alikuwa na wito na mambo haya ya 'Nuru ya Ufahamu' lakini umma una yake ya kiza yanayoleta mikingamo.

Siku za mbele kidogo, mambo ya 'Nuru ya Ufahamu' yatamea mizizi katika taifa hili na ndipo mengi yataanza kusahihishika kitaasisi, maendeleo na ufahamu.

Uhuru ni fumbo la 'Nuru ya Ufahamu'

Haki ni zao la 'Nuru ya Ufahamu' kudhihiri kupitia 'Watu wenye Mapenzi mema'.

Udugu ni shani ya utu bora wenye kuyaishi kwa vitendo maisha yenye mapenzi mema.

Amani ni utukufu wa umma wenye ustawi wa ujamaa na kujitegemea--isivyokubidi harakati zenye dhuluma/maonezi/chuki duniani.

Sasa bado hatupo kwenye ulimwengu wa 'Uhuru, Haki, Udugu na Amani' hasa... Japo 'mbegu' ya taifa la namna hii ipo Tanzania...



View: https://www.youtube.com/watch?v=8Xg7abZRihs


Unaloliona sasa, namna fulani kama wanajamii wanaanza kuhoji uhusiano wa 'Haki' na 'Amani' kwa namna fulani kama vile hawababaishwi na 'siasa' ama 'utamaduni wa uoga', ni mwanzo wa 'Roho ya Uhuru' inayoingia Wanajamii wote wenye Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu.

Bado lipo hitaji la uwajibikaji zaidi wa kiraia, kwa kuwa tatizo 'si serikali khasa'--tatizo ni 'watu'... Uweza-Utayari-Umahiri, kuyamudu mageuzi makubwa ya kiutamaduni na maendeleo...

Siasa haina 'Maajabu', daima si suluhu ya kudumu ya matatizo ya kijamii yenye kuhusiana na 'Ujinga'; mchezo wa kujifurahishia 'makuzi'...

Maajabu yapo kwenye 'Kujitambua' na kupeana mwangaza...

Hmmm
 
kwa sasa hoja kubwa nchini ni HAKI kwanza kabla ya Amani, mimi ninakubaliana na hilo popote pale kama hakuna haki automatic Amani haipo. Wana falsafa wote enzi za kale walihubiri Haki kisha Amani. Koran na Biblia mitume wote wilihubiria Amani . Sisi waislam dhana muhimu kabisa ni HAKI na vivyo hivyo kwenye ukristo. Sasa vita na machafuko chimbuko lake kubwa ni maonezi na ugandamizaji wa haki. jambo hili tuliangalie sana kwa vile wananchi wameanza kuelewa haki zao za kiraia. serikali iwe makini mno hususani kwenye masuala ya uchaguzi ili tusitumbukize nchi kwenye machafuko.
Amani ni sawa na kunyamaza ama kukaa kimya naweza kukaa kimya kwasababu ya kupenda kufanya hivyo lakini pia naweza kukaa kimya kwa kunyamazishwa kumbe kukaa kimya siyo maana halisi ya amani


Silence surrenders public responsibilities
 
kwa sasa hoja kubwa nchini ni HAKI kwanza kabla ya Amani, mimi ninakubaliana na hilo popote pale kama hakuna haki automatic Amani haipo. Wana falsafa wote enzi za kale walihubiri Haki kisha Amani. Koran na Biblia mitume wote wilihubiria Amani . Sisi waislam dhana muhimu kabisa ni HAKI na vivyo hivyo kwenye ukristo. Sasa vita na machafuko chimbuko lake kubwa ni maonezi na ugandamizaji wa haki. jambo hili tuliangalie sana kwa vile wananchi wameanza kuelewa haki zao za kiraia. serikali iwe makini mno hususani kwenye masuala ya uchaguzi ili tusitumbukize nchi kwenye machafuko.
Usisahau WAJIBU
 
SAHIHI

Usafi wa Moyo -- Ufaulu wa Konsayansi : Maadili na Uadilifu kwa 'Shauri UTU'

ANUBIS na Mizani...

Mizani na 'Ma'at'...

Hizo alama picha zote haziko kwenye hizo taasisi kwa 'Bahati Mbaya'... Zina asili ya 'Hekima' ya Zama hata Zama....

Hata Katiba iliyopo kuwa na 'tamko' la Mraba wa uadilifu kwa 'Uhuru-Udugu-Haki-Amani' kwenye 'Usovereini wa Nchi-Dola' siyo 'Bahati Mbaya'... Ni asili kuu ya Miundo, Vitendo yenye kuakisiana na 'Mifumo'--kwa kuwa asili ya mfumo wowote ni 'Shauri'... Shauri kwa Unyoofu na Mapenzi mema.

- Mraba katika upumzi wa 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Unyoofu' wa Utu na Matendo : Miundo na Utendaji...

- Uduara wa Ushawishi kwa kadiri ya 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Mapenzi Mema' katika 'Mapana ya Ustawi wa Jamii' na 'Nyakati zake'...

- Uweza-Utayari-Umahiri wa wanajamii ndiyo 'Ngao ya Ustawi' -- Vesika-Paisisi ya 'Mazazi ya Utu Bora'...

Ni suala la Wanajami kuwa macho tu... Kila kitu kimeshategeshwa kwa ajili ya 'Kumbukumbu' zao na 'Mafahamu'...



'Haki' ni mama wa Utamaduni / Ustawi wenye Afya--Rushwa ni adui wa Haki.



Itatokea sana wakati huu--watu wengi wataamka na kujifahamu kuhusu 'Haki', si Tanzania tu--hili ni Duniani kote; ndani ya hii miaka 25, kufika 2050, litaleta mabadiliko makubwa kwa 'Sura za Nchi na Tawala'...



Unaloliona sasa, namna fulani kama wanajamii wanaanza kuhoji uhusiano wa 'Haki' na 'Amani' kwa namna fulani kama vile hawababaishwi na 'siasa' ama 'utamaduni wa uoga', ni mwanzo wa 'Roho ya Uhuru' inayoingia Wanajamii wote wenye Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu.

Bado lipo hitaji la uwajibikaji zaidi wa kiraia, kwa kuwa tatizo 'si serikali khasa'--tatizo ni 'watu'... Uweza-Utayari-Umahiri, kuyamudu mageuzi makubwa ya kiutamaduni na maendeleo...

Siasa haina 'Maajabu', daima si suluhu ya kudumu ya matatizo ya kijamii yenye kuhusiana na 'Ujinga'; mchezo wa kujifurahishia 'makuzi'...

Maajabu yapo kwenye 'Kujitambua' na kupeana mwangaza...

Hmmm
A very good analysis

Our biggest downfall has been kuweka diasa kwenyr kila kitu

Na hilo limetuletea extreme bias

Thr day we separate siasa nq social norms tutakua tumetoboa

Personally kusikiliza wanasiasa ni sawa na kushabikia simba au yanga…. We become emotional and blind to the core

Untangle diasa kwenyr haki, wajibu na ukweli…. Amani itakua ndefu zaidi
 
A very good analysis

Our biggest downfall has been kuweka diasa kwenyr kila kitu

Na hilo limetuletea extreme bias

Thr day we separate siasa nq social norms tutakua tumetoboa

Personally kusikiliza wanasiasa ni sawa na kushabikia simba au yanga…. We become emotional and blind to the core

Untangle diasa kwenyr haki, wajibu na ukweli…. Amani itakua ndefu zaidi
SURE!

Siasa ni kofia kwa wale wanaodhani hiyo huwatosha...

Uzalendo ni 'Dini'; hii daima hujumuisha Utu na Utamaduni ambavyo utamaduni ni mambo mengi katika 'Shauri'... Shauri ilivyo ni mbegu ya u-JUA-ji : Uono Mifumo...

Yakianza kuzungumzwa kiufundi mambo ya asili ya siasa za chama kimoja -- chama dola kimoja cha siasa katika 'Majenzi ya Taifa Changa' na rafu za 'Kudesa/Kushinikiziwa Demokrasia za Kimagharibi'--wengi humu wenye nasibu ya kujua ilivyobora wataanza kufahamu 'wamekuwa hawajui na hali wakidhani wanajua'...

Alhamdullilah, kama wanajamii wenye kulifanya Taifa, tunaingia kwenye 'daraja' : Treni Kilimanjaro...

Hmmm

====

View: https://www.youtube.com/watch?v=8Xg7abZRihs
 
SAHIHI

Usafi wa Moyo -- Ufaulu wa Konsayansi : Maadili na Uadilifu kwa 'Shauri UTU'

ANUBIS na Mizani...

Mizani na 'Ma'at'...

Hizo alama picha zote haziko kwenye hizo taasisi kwa 'Bahati Mbaya'... Zina asili ya 'Hekima' ya Zama hata Zama....

Hata Katiba iliyopo kuwa na 'tamko' la Mraba wa uadilifu kwa 'Uhuru-Udugu-Haki-Amani' kwenye 'Usovereini wa Nchi-Dola' siyo 'Bahati Mbaya'... Ni asili kuu ya Miundo, Vitendo yenye kuakisiana na 'Mifumo'--kwa kuwa asili ya mfumo wowote ni 'Shauri'... Shauri kwa Unyoofu na Mapenzi mema.

- Mraba katika upumzi wa 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Unyoofu' wa Utu na Matendo : Miundo na Utendaji...

- Uduara wa Ushawishi kwa kadiri ya 'Ontolojia ya Taasisi' ni asili ya 'Mapenzi Mema' katika 'Mapana ya Ustawi wa Jamii' na 'Nyakati zake'...

- Uweza-Utayari-Umahiri wa wanajamii ndiyo 'Ngao ya Ustawi' -- Vesika-Paisisi ya 'Mazazi ya Utu Bora'...

Ni suala la Wanajami kuwa macho tu... Kila kitu kimeshategeshwa kwa ajili ya 'Kumbukumbu' zao na 'Mafahamu'...



'Haki' ni mama wa Utamaduni / Ustawi wenye Afya--Rushwa ni adui wa Haki.



Itatokea sana wakati huu--watu wengi wataamka na kujifahamu kuhusu 'Haki', si Tanzania tu--hili ni Duniani kote; ndani ya hii miaka 25, kufika 2050, litaleta mabadiliko makubwa kwa 'Sura za Nchi na Tawala'...



Unaloliona sasa, namna fulani kama wanajamii wanaanza kuhoji uhusiano wa 'Haki' na 'Amani' kwa namna fulani kama vile hawababaishwi na 'siasa' ama 'utamaduni wa uoga', ni mwanzo wa 'Roho ya Uhuru' inayoingia Wanajamii wote wenye Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu.

Bado lipo hitaji la uwajibikaji zaidi wa kiraia, kwa kuwa tatizo 'si serikali khasa'--tatizo ni 'watu'... Uweza-Utayari-Umahiri, kuyamudu mageuzi makubwa ya kiutamaduni na maendeleo...

Siasa haina 'Maajabu', daima si suluhu ya kudumu ya matatizo ya kijamii yenye kuhusiana na 'Ujinga'; mchezo wa kujifurahishia 'makuzi'...

Maajabu yapo kwenye 'Kujitambua' na kupeana mwangaza...

Hmmm
Uchambuzi mujarabu wenye maonyo mtambukwa kwa maslahi mapana kwa jamii yoyote yenye kutaka kuchanua, kinyume chake ni mnyauko.

Kazi kwao wasiotaka kuruhusu mwangaza kupenyeza hadi kwenye vungu za malalo yao, pasi kujua muhanga nambari moja wa nyoka uvunguni yupo juu ya kitanda.
 
Uchambuzi mujarabu wenye maonyo mtambukwa kwa maslahi mapana kwa jamii yoyote yenye kutaka kuchanua, kinyume chake ni mnyauko
NI ELIMU 2.0...

Sisi sote tunayo mbegu yake kwa 'Akili' na 'Dhamiri'...

'Kuwa' ama 'Kuto-kuwa' katika 'Mwangaza wa Utu Bora' hilo ndilo Swali (!)

Hmmm

Uzao wa Mzabibu na ‘Ndoto ya Ujamaa’ wa kweli​

Upepo na Matukio, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa ‘Sura na Mienendo ya Jamii’. Kwa mintarafu ya hili, kuna namna mbili za kukadirisha muktadha akilifu wa kheri ya ‘mapana ya jamii’ kwa uono na ufikrifu mifumo, (1) Sura na Mienendo ya Jamii, na (2) Sovereini Jumuifu. Basi ndiyo kwamba Nchi ya Tanzania, kiuono na ufikirifu mifumo, ili taasishwa kwa kusudi la kheri ya ‘Sovereini Jumuifu’ ambayo Mwalimu Kambarage Nyerere alikuwa ‘Mtume’ na ‘Kuyatekeleza Matendo ya Mitume’ kwa kuazimia, na tena kupitia udhamirifu jitihada na matendo, taifa la watu wanaoishi kuitafuta ‘Haki’ na ‘Amani’ katika ulimwengu usiyo na ukamilifu –bado kuwepo .

Ujamaa wa kweli, kiuono na ufikirifu mifumo, ni safari ya imani ili kuiishi hakika ya mambo yenye kheri na fanaka ya jamii. Kwa mintarafu ya hili, taifa changa ni kisawe cha ‘Merikebu ya Wasafiri’ katika bahari yenye mawimbi na nasibu ya dhoruba. Safari salama ni fanusi ya (1) Utulivu wa wasafiri, (2) Unahodha na (3) Shughuli ya Mabaharia; na basi pia kule kujizatiti na safari yenyewe. Aidha mambo ya hao wote watatu, watatu katika moja, hutegemea sana imani na uhakika wa umahiri wa ‘mabaharia’ katika kukisafirisha chombo pasipo kupoteza uelekeo ama kuyumbishwa na ‘pepo’ na ‘mawimbi’ ya bahari.

Metafo ya ‘Mabaharia-chombo-wasafiri’ ni muktadha akilifu wa simile ya ‘Wasafiri-Serikali-Dola’; na basi uchanga wa safari yoyote ya utaifa hubakia ni muktadha akilifu kwa ‘Fanusi Tumaini’ kwa ajili ya Muelekeo wa Mashariki ya Pambazuko la UTU Bora.

Mabaharia; na basi pia kule kujizatiti na safari yenyewe, kiuono na ufikirifu mifumo, ni maombi/sala kwa ajili ya ‘rehema’ na ‘fadhili’ vijavyo na KILICHO NI KHASA asili ya uweza na uzima wote wa kimiili. Kwa mintarafu ya hili maisha daima ni safari ya kupitia yanayojulikana/kutarajiwa na yale yasiyojulikana/kutarajiwa.

Kiufundi, mikakati ya uiisho ya chombo-- chombo chochote cha wasafiri hutegemea fizikia na metafizikia ya jamii. Basi ndiyo yawa, ‘taasisi ya kidini’ daima huwa ni moja ya Nguzo ya Usalama na ‘Udau wa Amani’ wa nyumba yoyote inayojengwa; ama sivyo kigezo cha ‘kutotabirika kwa safari’ huongezeka sana’ katika jumuiya ama/na ujumuiya wa kimataifa. Kwa mintarafu ya haya, jamii na wanajamii wanakheri ikiwa ‘Wanajielewa’ asili ya Utaifa/Dola wao; kubarikiwa upeo wa kumaizi Ontolojia ya Utaasisi wao kama ‘Ujamhuri’.

Kiufundi, mikakati ya uiisho ya chombo-- chombo chochote cha wasafiri hutegemea fizikia na metafizikia ya jamii. Basi ndiyo yawa, ‘Mtu mwenye kufahamika/kutajwa ni Yesu’, katika hali ya kusitirika, ni moja ya Nguzo ya Usalama na ‘Udau wa Amani’ kwa mataifa yote Duniani hata leo hii, Agosti 2024; mdau wa ‘Maarifa ya Kazi’ ili kukadirisha kheri za ‘Imani’, ‘Tumaini’ na ‘Mapendo’--Duniani kuwe na Amani, Mapenzi Mema na Furaha. Basi ndiyo yawa, ili ukweli na fasaha ya hili idhihirike, kuna ‘maarifa’ na habari za ‘maarifu’ vyabidi kuzungumzwa taratibu na tena hatua kwa hatua ili kuifanikisha shughuli ya ‘Mavuno’.

Kiufundi, mikakati ya uiisho ya chombo-- chombo chochote cha wasafiri hutegemea fizikia na metafizikia ya jamii. Basi ndiyo yawa, Maarifa ya Karata Dume Shupaza juu ya Ujenzi wa Nyumba, ujumbe kwa Mabaharia, Dola yoyote ni Utaasisi’/shughuli ya maandalizi ya kijamii – maandalizi yenye kukadirisha muktadha akilifu ulio ni ‘Fanusi Tumaini’. kwa ajili ya Muelekeo wa Mashariki ya Pambazuko la UTU Bora—Utu bora kwa wanajamii/mataifa yote. Kwa mintarafu ya haya, nyumba yoyote imara hujengwa kwa ushirikiano wa wajenzi na wakazi wenyewe. Basi ndiyo yawa, mambo ya ushirikiano yanahusisha ‘fizikia’ na pia ‘metafizikia ya mambo’ ili kukadirisha mawezekano ya ‘Hakika’ na ‘Kheri fulani’ katika mapana ya jamii na nyakati zake…

‘Kheri fulani’ katika mapana ya jamii na nyakati zake, kiuno na ufikirifu mifumo, ndiyo asili ya ‘MRABA wa MAISHA’ kuwa ni ‘meza ya utandu wa kitamaduni-- ya jamii moja jumuifu’; yenye kuwambwa na ngozi ya ustawi wa jamii wenye mapana ya ‘Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio’. Basi ndiyo yawa, kwa nchi ya Tanzania ingilio la ‘fanusi Imani na Tumaini’ imetaasishwa kwa ‘Ushirika wa Wananchi na Dola’ katika misingi ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI.

Kutoka kwenye Vitabu vya Injili, tunafikiwa na shauri juu ya ‘Ujenzi wa Nyumba’; kiuono na ufikirifu mifumo, Nyumba ni muktadha akilifu kwa mambo ya jamii yenye kuhusiana na ‘uweza/uwezo’, ‘udhamirifu’, ‘miundo/ujenzi’, na ‘Matendo’--mfano, Taifa/Nchi-Dola. Kwa mintarafu ya haya, ndiyo mashauri ya ‘kujichagulia’ na ‘Hazina’ huyakinishia fasaha, kweli na hakika ya (1) Matayarisho, na (2) Utayari wa jambo; ili kukadirisha/kutarajia ‘matukio fulani’, kiwakati, na tena katika mapana ya ustawi wa jamii. Basi ndiyo yawa, Mipango na Utekelezaji ni mambo yenye kuhitaji upeo na vina sahihi vya uono na utambuzi; ama sivyo, ujenzi utahusika juu ya ‘mchanga’ badala ya ‘mwamba’.

Kutoka kwenye Vitabu vya Injili, tunafikiwa na shauri juu ya ‘Mpanzi aliyepanda Mbegu’; kiuono na ufikirifu mifumo, mbegu ni asili ya kheri na nasibu ya ‘Ontolojia ya Taasisi’; ambavyo UTU ni fumbo la imani kwa nasibu ya Kheri na Mema ya Nchi kupitia dhamira, mifumo na matendo. Kwa mintarafu ya hivi, mbegu ndiyo hasa ile ‘Sonafi’ yenye kuhaisha na kuhuisha ‘miili na uweza wa kibinadamu’ kwa kadiri ya (1) Hisia na Kujisikia--’Usentienti’, (2) Akili ya Udhamirifu wa Mambo--’Konsayansi’, na (3) Mwanga wa Nuru ya Utambuzi/Kujitambua--’Nuru ya Ufahamu’. Basi ndiyo yawa, ‘upandaji mbegu’ ni muktadha akilifu wa nafsi ya duniani, nafsi-roho na Roho ya Uzima wote. Tena basi, sonafi ndiyo nguzo ya pumzi na uzima kwa utu—ufunguo kwa mambo ya fizikia na metafizia ya ‘kujiwazia UTU’ kupitia ‘miili ya uweza’.

Kutoka kwenye Vitabu vya Injili, tunafikiwa na shauri juu ya ‘Uzao wa Mzabibu’; kiuono na ufikirifu mifumo, Uzao wa Mzabibu ndiyo hasa asili ya ‘Vinasaba UTU’ vinavyoshikilia (1) ‘Fizikia na metafizikia’ ya ‘milli ya uweza wa kibinadamu’ na (2) Mifumo uhai ya kawaida na mifumo uhai yenye kupitiliza ‘kawaida’. Kwa mintarafu ya hivi, Metafanusi yenye kushuhudia ‘Mimi ni Mzabibu Kweli’ ni fumbo la imani lenye ufunguo wa kukadirisha ‘Kheri’ ya (1) Mifumo Uhai ya Kawaida, na (2) Mifumo Uhai yenye kupitiliza kawaida. Basi ndiyo yawa, Maisha na kuishi ni daima fumbo la imani la ‘Taasisi’ ndani ya ‘Utaasisi’ mwingine wenye ‘kuishi zaidi’. Tena basi, Uzima wote wa Miili ni Msokotano wa Dhahiri ndani ya Dhahiri nyingine hata kwenye hatma za ‘Ukitu’ na ‘Usikitu’—Mambo ya Roho wa Uzima wote.

Kwenye Yantra Dhamma, mambo ya ‘Uzao wa Mzabibu’ huja na upande wa kushoto wa ‘MRABA DHAMMA’ ambavyo Jamii ni muingiliano wa hisia tofauti tofauti na msimamo wa jamii. Kiuono na ufikirifu mifumo, hisia na kujisikia (Usentienti) ni nasibu ya watu wenye chachu tofauti tofauti ya Nuru ya Ufahamu; jambo likadirishalo /mbegu zilizoanguka kwenye mchanga, miba, miamba ama udongo mzuri. Kwa mintarafu ya hivi, UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI ni ufunguo wa nasibu yenye kutangamanisha (1) Hisia na Kujisikia ‘usentienti’, (2) Akili ya udhamirifu wa jambo jema ama bovu ‘konsayansi’, na (3) Nishani ya Utu Bora. Kwa mintarafu ya hivi, Metafanusi yenye kushuhudia ‘Kaa ndani yangu, Nami nikae ndani yangu’ ni wito wa hiari kwa ajili ya Nishani ya Utu bora—Utu bora ujao na ‘Vesika Paisisi’ ya jamii katika chachu ya ALMASI ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Basi ndiyo yawa, ahadi ya kuitikia wito ni: ‘Akaaye Ndani yangu, Huyo Huzaa sana.’

Kwenye Yantra Dhamma, mambo ya ‘Uzao wa Mzabibu’ huja na upande wa kushoto wa ‘MRABA DHAMMA’ ambavyo Jamii ni muingiliano wa hisia tofauti tofauti na msimamo wa jamii. Kwa mintarafu ya hivi, Taifa na Nchi ya Tanzania, imekusudishwa Nishani ya Utu Bora ilivyo ni ALMASI ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Basi ndiyo yawa, Maarifa ya ‘Dume la Kisu/ALMASI’ yametaasishwa katika nembo ya Taifa kama ‘Mkuki wa Jaala’; asili ya ‘akili ya udhamirifu wa mambo’--udhamirifu wenye kushiriki kitovu cha hatma ya ‘ukuwa kitu’ na ‘usikuwa kitu’ kimatakwa na mapenzi ya jamii. Matakwa na mapenzi ya jamii ni jambo/mambo yenye kuja na muktadha akilifu wa ‘Kujichagulia’-- Jadi ya Shoka na Nyengo ilivyo ni ‘Maarifa ya Kazi’. Tena basi, hatma ya nchi-taifa/dola ndiyo yawa ni ‘fumbo la imani’ linayotegemea ‘ukomvu’ na ‘Utayari’ wa Kulijenga na Kulilinda taifa kwa: (1) Kuchanja mapana ya Nchi na Mbingu, vile vile (2) Kuvuna yapandwayo katika ‘nchi’ pia jamvi la usupasha wakati—mambo ya ‘nyekundu ya udongo mzuri’ na ‘Njano ya Dhahabu ya Utu-kazi wa thamani’.

Kwenye Yantra Dhamma, mambo ya ‘Uzao wa Mzabibu’ huja na upande wa kushoto wa ‘MRABA DHAMMA’ ambavyo ‘Utu-kazi wa thamani’ ni ‘Nyota ya Utimilifu wa Miundo na Mageuzi’ kupitia ‘Gongo kwa Msafiri’. Kwa mintarafu ya hivi, Metafanusi ni asili ya miongozo yenye kheri kwa ajili ya LIBERTI-UuMOJA-UJAZI-UTANGAMANO. Basi ndiyo yawa, ‘Gongo kwa Msafiri’ ni nia ya kuondokana na ukafiri na hapo hapo kuwa faraja ya mapito katika safari; tena basi ‘Ujazi’ ni kheri ya yule mtu aliyeijenga nyumba yake juu ya ‘Mwamba wa Metafanusi ya Jamii’ ambavyo mvua na pepo vikivuma, nyumba haitetereki… Gongo kwa Msafiri ni Usanisi wa (1) ‘Nia/Uakilifu wa Dhamira’ na (2) Mapenzi Mema kwa Watu wote Duniani.

‘Mapenzi mema’ na ‘Amani’ kwa watu wote Duniani ni kitendawili ikiwa jamii na wanajamii ‘hawajajitafuta na kujipata’ kulingana na muktadha akilifu wa usentienti, konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hili, ‘Kujitafuta’ ni shughuli inayotaka ‘mabaharia’ waihakikishie jamii, chombo na wanachombo, Uhuru wa Kuamini/Kusadiki/Kuabudu ili kutia chachu ya Utu Bora na Kujichagulia. Basi ndiyo yawa, ili kuondokana na ukafiri, chombo hakina budi kuwa na lau ualama wa Ukumbusho wa Kuitafuta Nuru na Mwangaza Bora wa Utu. Kwa Tanzania, hili ndilo laja kwa utaasisho wa ‘Mwenge wa Uhuru’.

‘Mapenzi mema’ na ‘Amani’ kwa watu wote Duniani ni kitendawili ikiwa jamii na wanajamii ‘hawajajitafuta na kujipata’ kulingana na muktadha akilifu wa usentienti, konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hili, ‘Kujitafuta’ ni jambo la ‘mtu kupambana na hali yake’ na huku akijitafakari kwa kina yeye ni nani hasa duniani (?) Je, lipi ni kusudi hasa la yeye kuwepo Duniani? Basi ndiyo yawa, katika ‘kwesti’ ya kujitafuta mtu huishi kunyoosha ama/na kurunda mapito ya maisha yake. Kwa ufunguo wa Hekima-Umoja-Amani, mazingatio ya Wasafiri na Mabaharia ni Subira, Unyenyekevu na Utumishi. UTU wa mtu ni wenye thamani kubwa na tena wenye hitaji la kuchungwa vema ili kutoingilia ‘Uhuru wa Mtu’ katika makusudi yaliyo mema—mema ya nchi na watu/wanajamii ni fanusi ya rehema na fadhili inayotunza na kustahimilisha yote, yanayoonekana na yasiyoonekana.

‘Mapenzi mema’ na ‘Amani’ kwa watu wote Duniani ni kitendawili ikiwa jamii na wanajamii ‘hawajajitafuta na kujipata’ kulingana na muktadha akilifu wa usentienti, konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hili, ‘Kujipata’ ni hatma ya Imani na Kusudi la udhamirifu wa UTU bora. Kiufundi, Kujipata ndiyo kunakotamatisha ‘nia ya kujiwazia utu’--Yesu aliita hili kusudi ni ‘Kurejea Mbinguni kwa Baba’ ama pia ‘Ufalme Kuja Duniani’, mambo ya metafanusi ya Utu ilivyo ni UFAHAMU KRISTU. Basi ndiyo yawa, hatma ya ‘nia ya kujiwazia utu’ ni muktadha akilifu wa ‘KULIFAHAMU NENO’; mambo ya ‘NENO’ ndiyo lile khasa Buddha alifundisha kuhusiana na ‘Kauli Sahihi/Samma Vacha’.

‘Kujiwazia UTU’ ni Kutenda/Kuhuluku katika miili ya uweza na Roho ya Uzima Wote. Ontolojia ya ‘Ulimwengu Wote Dhahiri’ ni NENO—vitu vyote huanza na NENO na humalizika kwa NENO; ‘Kauli Sahihi/Samma Vacha’ ni ufunguo wenye kuoona na (1) Umbonishaji Sahihi wa fahamu, (2) Uelewa Sahihi, na (3) Udhamirifu Sahihi wa UTU na MATUKIO—Matukio yategemeayo (1) Jitihada Sahihi. (2) Uisho Sahihi, na (3) Kitendo Sahihi.​

Tanzania ni nchi iliyofanyiziwa kusudi la ‘Kujiwazia UTU’ bora ilivyo ni ‘Kuielekea Mashariki ya Sovereini Jumuifu’. Ujamaa uliondani ya mioyo ya Mabaharia walioasisi nchi-taifa ni ‘Sovereini Jumuifu’ na basi Maisha ni ‘Safari ya Kujitafuta’ kwa Uhuru-Udugu-Haki-Amani ambavyo mtu mmoja hapaswi kuhoji njia ya mwingine katika ‘kulitekeleza kusudi la udhamirifu wa utu bora’. Labda njia zote, kwa sura za dini na miongozo ya kiroho, huishia kumoja, lakini hili ‘fumbo la imani’ kwa wote—Wasafiri na Mabaharia; UJAMAA NI HAKIKA YA IMANI KATIKA NISHANI YA UTU BORA.

Yohana 15​

1 Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.

3 Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

4 Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu.

5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.

6 Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.

7 Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.

8 Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi wangu.

9 Kama vile Baba alivyonipenda mimi, nami nilivyowapenda ninyi, kaeni katika pendo langu.

10 Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.

11 Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.

12 Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.

== 3 : ‘The Ankh’ and Ontological Perspectives ==


Spiritual awareness is the functional product of ‘a cross of Life’ and ‘scissor’ of Mind; the ‘+’ and ‘X’ of mind in functional sovereignty of consciousness. Thus all perceptional agreements are ‘indexed’ by ‘planet of nativity’ and solar ‘Logos’--Pythagoras’ basis for Logos and Necessity; thus all space-time ratios specify ‘locality’ and ‘will’ a characteristic ‘intersection’ qualifying multiplicity of conscious intentions which is the basis for ‘parallel worlds/universes’. We all ‘Will’ through mind to determine ‘who are we’—‘where we are’ and in ‘what time’ and thus ‘shifting what Reality’. As per systems view and thinking, this exacts the essence of ‘the Observer is the Observed’ since all realities are perceived according to ‘modulations’ of mind; with reality as a reflection ‘fractal Overself/function’ in a ‘dust mirror’ of space-time domains; akin to what Paul articulated in 1 Corinthians 13. Thus ‘observing stature’ employs mental faculties which deploys intellectual abilities for processing ‘sensations’ and ‘feelings’ in the quantifiable space-time domains – space-time domains which are also the metaphysical extension of ‘soup of consciousness’ in ‘Now-ness Awareness’. In essence, this attributes the ‘cause’ that Attention and/or Observing is nothing but ‘creative intention’ itself-- Attention/Observing, the basis of ontology and metaphysics of all and everything; making all reality with certain deterministic integrity to be the function of ‘gravity waves’ constituting matter and/or forms.

Spiritual awareness is the functional product of ‘a cross of Life’ and ‘scissor’ of Mind; the two figurative templates of ‘Being and Time’ to substantiate what Paul articulated as one having the mind of Christ’. This qualifies to be so when such ‘functional product’ seeks ‘perfection’--perfection of Oneself. Human experience entails ascertaining ‘self-fulfillment’ by meeting daily sustenance and self-actualization in planetary constitution and solar systems. These inclinations depends upon the ‘Will’ of person and ‘degrees of freedom’ pertaining to self-awareness. Man can sour towards the light of ‘conscious awareness’ of transcendental Oneness or descend into the darkness of Soul in ‘worlds of separation’. Thus, any realm in which individuation is possible, is technically the ‘world of separation’. Gradation of ‘separations’ is the ‘space-time ratios’ ascribing to ‘frequencies’ and ‘field of influences’. Then again, ‘Freewill’ is propensity for ‘degree of freedom’ rather than ‘fixed destiny’--destiny in relationship to ‘Being and Time’. Likewise, intelligible causality is the essence of an ‘Eye of Soul’, something that the Swaruu describe as ‘the Singularity of Being’.

Spiritual awareness is the functional product of ‘a cross of Life’ and ‘scissor’ of Mind; the two figurative templates of ‘Being and Time’ seeking common alignment. A sort of alignment in which ‘emotions and logic’ reverberate the ‘qualitative sensations and feelings’ of ‘Being and Time’, such qualities pertains to ‘Love’ and ‘Wholeness’. Emotions enrich Human Experiences in a sense of ‘Emotional Intelligence’--emotional intelligence pertaining to the ‘coloring of circles of life’ and so forth to imply ‘energetic charges’ to ‘space-time’ orientations. Logical propensities of mind bear correspondences to geometrical attributes of form/matter while emotional propensities may seem ‘illogical’ to mind; however there is a whole new science for ‘qualitative detection of phenomenon of life’ that human beings at large do not yet recognize. This also applies to many ‘other senses’ that terrestrial humans do not reckon—senses like ‘magnetic space orientations’ to thus suppose ‘Spatial Intelligence’, senses pertaining to ‘Presences’ and thus ability to locate and identify energy signature of other sentient beings and their perceivable qualities—near and far; common abilities with Remote Viewing/Sensing disciplines. James Mahu articulates these facets of ‘Being and Time’ as to say: If ‘Sovereign’ is a Prism and Integral is ‘Light’; the lifetimes are the colors, and the levels or dimensions in which the lifetimes play out, are the stage {This refers to Sovereign Integral paper, Section 1: article 17}; this can thus be extrapolated into ‘mini segments’ of life experiences, supposing ‘qualitative’ nature of ‘Self’ and its ‘Self Expression’ in space-time domains.

Spiritual awareness is the functional product of ‘a cross of Life’ and ‘scissor’ of Mind; the two figurative templates of ‘Being and Time’ forming the basis of ‘temple of man’-- temple of heralding a ‘new man’--the perfect man, the true ‘Imam’. Terrestrial man’s quest for true enlightenment is nothing but an earnest desire for ‘undoing the veils of time’; thus it shouldn’t surprise find out that even the world ‘temple’ share etymology with word ‘time’. Robert Hewitt Brown in Stellar Theology and Masonic Astronomy articulates the origins of ‘Temple Architecture and Arts influences’ from ancient to the ongoing spiritual practices; citing ‘tempus’ as a word sharing the same contextual meaning to ‘Temple’ and/or ‘time’ by the virtue of old observation pertaining to ‘Solar Harvest Calendar’ then again ‘King Solomon's temple emblematic stature’. Thus ‘a cross of life’ and ‘scissor’ of Mind are two figurative articles constituting affinity to ‘Being and Time’ as the ‘Ontology of Institutions’. Again, it shouldn’t surprise that the prefix ‘On’ in ‘Ontology’ stands for ‘Being’ thus ‘Ontology’ is all that pertains to ‘Becoming’--Time shapes all corporeal things and Affairs.

Spiritual awareness is the functional product of ‘a cross of Life’ and ‘scissor’ of Mind; the two figurative templates of ‘Being and Time’ forming the basis of ‘temple of man’ to elucidate ‘Eternal Play/Dance’ of the cosmos. Eternal Play/Dance in which ‘Every corporeal thing revolves around another ‘bigger’ constitution’ throughout all expanses of the visible universe—the ‘Swastika’ of all life. This eternal play/dance is the essence of ‘Time and Seasonal Calendar’-- temporal order pertaining to things ‘coming in from the cold of space’ and ‘going away in heat of the light’ and on and on. Technically, all temple arts and culture suite three possible orientations in man towards the same goal—Love, Meditation and Worship/Adoration. Thus all transformations in ‘Being and Time’ are possible through acts of ‘devotions’, ‘Self Awareness Cultivation in Oneself’ and ‘Magical Structural Link facilitated by a symbol, man, deity etc’--all three harnessing ‘Thoughts and Feelings disposition’ of an aspirant of ‘Soul Redemption’ through ‘Attention’.

And so, ‘Now-Ness’ in being and time, Ontology of ‘an Institution’, is the function of ‘Actionable Choice Making’ in which ‘Space-Time’ gets modified by the instrument of thought/perception, ‘Buddhi/Intellect’, to suite certain vintage point of view and upon specific planes of reality. All forms are geometrical conglomerations of ‘thought’ and ‘attention’ in such a way ‘gravity’ is synonymous to ‘apparent motion’ towards a certain center of ‘attention’. In this regard, the ‘field of influence’ is thus ‘a harmonic displacement’ of the ‘continuity of form’--continuity of form analogous to ‘duplet’ and ‘octet’ stability of the elementary particulates of matter, as per the present understanding in chemistry. Walter Russel has interesting artistic revelations of matter/form and space—as it is in ‘the Universal One’; such can be used to systematically revamp and amend the prevalent mainstream sciences pertinent to ‘physics’ and ‘chemistry’ of forms. Duplet and Octet stability as it pertains to the fundamentals of ‘elementary composition and decomposition of matter’, Chemistry, reflect ‘partial deductions’ corresponding to possible ‘doubling’ and ‘cubic’ extrapolation of ‘forms’ and ‘nature’. Through Education 2.0 and its consequent topographic deductions and topological thinking, there are many sets of ‘constituent elements of knowledge’ and so forth ‘bridges’ to comprehensive ‘rational knowing’ such to imply viable contexts of ‘interpretative depths’ pertinent to any key subject under consideration. So, there is a way, ‘duplet stability’ has correspondence to metaphysical ‘Memory’--the ‘double bars’ of symbolic ‘electrical capacitance’; similarly ‘Octet stability’ has correspondence to metaphysical ‘structural propensities’--the ‘the spiraling cubes’ of ‘space’. Thus structural propensity is the ‘by-product of observation’ in the manner that ‘Now-Ness’ is actually the function of ‘sensing time-space orientation’ in ‘Being-ness/Oneself’. ‘Now-ness’ is actually a ‘geometrical propensity’ in space-time orientation – contextual Intertwining of two triangles, a triangles of ‘Heaven’ and another triangle of ‘Earth’, with ‘hidden virtual cube’ as an intersection. We ‘see’ forms/things through ‘cubical function’; and thus again, we are able to see other orthogonality of space-time orientations through ‘cubical extrapolations’. These follow the geometries of ‘halving’ or ‘doubling’; however if we seek to integrate perceptions pertinent to ‘the continuity of forms’ , such to imply ‘the observer is the observed in self-determinations’, then forms are all about ‘three possible orientations’ in terms of the contextual ‘Force’ pervading All Universe—i.e manifestations of ‘levity’, ‘gravity’ and ‘neutrality’ propensities of motion; spherical forms, conic projections and toroidal energetics.

And so, ‘Now-Ness’ in being and Time, Ontology of Institution, is the function of ‘Actionable Choice Making’ in which ‘Space-Time’ gets modified by the instrument of thought/perception, ‘Buddhi/Intellect’, through auspiciousness of a ‘Triangle’. Technically, a triangle is synonymous to ‘intelligence’ and thus ‘very symbolic’ to all matters and affairs which feature ‘changes’; as such, it makes it a rudimentary tool to ‘gather and organize’ any ‘intelligible patterns’ of life and forms. It is a ‘first order possibility’ of organizing ‘Order out of pervasive Chaos’. It is a most featured symbol in many interstellar civilizations, as key emblematic symbol constituting an insignia—as featured in their flight regalia and/or ‘armory bearing’ pertaining to their temporal/permanent hospitality bases like ‘space-ships’ and/or underground/territorial bases of their dominion. It is a symbol which can signify ‘mental prowess’ to state of affairs and control. Basically, this is so, as it makes it possible to ascertain the ‘TRIANGULATION’ of an ‘Actor’, ‘How Actions’ and ‘Yields of Actions’ such to denote ‘who – does – what’; then this can be ‘CONTEXTUALIZED’ , and ‘temporary’, by as say: ‘where’, ‘what’ and ‘in what time/when?’--with ‘INTENTION’ as deducible ‘Primer’; the ‘Fire of Being’.

And so, ‘Now-Ness’ in being and Time, Ontology of Institution, is the function of ‘Actionable Choice Making’ in which ‘Space-Time’ gets modified by the instrument of thought/perception, ‘Buddhi/Intellect’, through auspiciousness of a ‘Triangle’--triangle that ascertains the energetics of ‘levity’, ‘gravity’ and ‘neutrality’. Typical energetics that technically infer ‘mechanics’ of ‘plane dynamics’ ensuring ‘maximum moments’ of ‘tipping choices of possible orientation’ – ‘clockwise/anticlockwise moments’ which can only be neutralized by a ‘circular geometric’ propensities of form/structure and within the substratum of ‘activity’ and ‘Force’. ‘Now-ness’ is thus the horizon of ‘balance’ to actuate the ‘potential charge’ of ‘matter/form-energetics’ with space as the medium of the ‘double headed spear’ reflecting the ‘vector intentions’ of ‘time-space’ and ‘space-time’ pertinent to a ‘Soul’. This makes the ‘soul’ a focal point of ‘assuming intelligence of transcendental reality’ using ‘body-ego’ constitution as a vehicle of self-expression/self actualization. Then again, soul is a ‘charge’ which utilize ‘intention’ to reorient itself in any ‘substratum of possible contextualized reality’ which can feature ‘self-actualization’ in ‘time/space’--time and space in the sense that the ‘twists of moments’ may imply ‘accelerated’ spiraling away from base reality into ‘integrative higher order’ or sinking into the ‘lower separative reality’ of some sort. Furthermore, space is ‘magnetic’ in such a way ‘locality’ and ‘non locality’ are both possible – possible as it is with all ‘creation’ being ‘grammatic order’ of intelligence. In this way, all reality is mathematical/geometric propensities that can be ‘imposed’, ‘re-imposed’ and ‘transposed’ like ‘out of no-where’; thus limited by ‘IMAGINATION’ emanating from a ‘soul’ and its intentions—Soul field Influences. It is from this nature ‘Holograms’ and ‘Holographic Reality’ derive their connotative bearing; and so forth the ‘infinity/indefinite’ connotations of space-time expanses. With ‘locality’ and ‘non locality’ propensities, this implies ‘Time’ is technically the inverse of ‘Space’--vice versa is also true. Any intention of a soul pertaining to ‘space-time’ as a substratum initiates both ‘forward progression’ and ‘reverse progression’ of ‘reality’ with referral ‘Event Horizon’ according to the ‘Imaginative’ basis of ‘Body-Ego’ subjection.

And so, ‘Now-Ness’ in being and Time, Ontology of Institution, is the function of ‘Actionable Choice Making’ in which ‘Space-Time’ gets modified by the instrument of thought/perception, ‘Buddhi/Intellect’, through auspiciousness of a ‘Triangle’ – inferred-ably ‘twin kissing triangles’ – as ‘conic sections’ of the ‘qualified intent’ of the soul in space-time substratum with figurative ‘circular planes’ of counter-rotating ‘matter/form constituting light’. This supposes that all memory is nothing but ‘charge capacitance’ translated into ‘circular motions’ of equal potential. All forms/matter are ‘Memories’ of some sort; as per ‘charge capacity’ of ‘Soul field Influences’ to behold and interact sensually -- the figurative ‘Iris of an Eye’. Functional Eye’s anatomy and morphology bear resemblance to ‘soul disposition’ in relationship to space, time and energy. Physical eyes, of say human beings, feature ‘physical anatomy keyed to decode physical reality’; however they bear direct correspondences to ‘seeing’ beyond the physical—something which is the matter of ‘frequency and tuning’ according to geometries of ‘cube’ within a ‘cube’ – frequency ranges from ‘sub-zero’ to ‘infinity’ and its harmonics. This makes ‘all intelligible sensations’ of physical reality can thus be the basis of ‘Thoughts’ and ‘Imagination’ for oneself—as coupled, in mind, by associated ‘qualitative’ senses of seeing, smell, touch, sound and taste. Thus ‘Thoughts’ can be ‘creative charges’ bearing ‘Creative Intentions’ – creative intentions that qualify within them all ‘sensations and feelings’ related to ‘body-ego awareness’ and/or more. All reality is nothing but ‘conglomeration’ of thoughts and feelings in such a way a thought in a human mind is as potent as the Universe itself--universe with all its dynamism. This is the secret of the ‘Eye of Horus’.

+++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=C3mDGgTA3Us

Penye 'Nia pana Njia'...
NDIYO

Haya maneno yanafanana kabisa na habari za Yesu kutoka kwenye vitabu vya Injili.

Kiuono na Ufikirifu mifumo, fizikia na metafizikia ya UTU ndiyo jambo lenye asili ya mtu/mwanadamu/mwana-wa-adamu na mtu wa mbingu/'Adamu mpya'...

Iwe ni Bhagavad Gita, ama Injili, maneno ya Yesu ama Krishna ni mambo ya Ufahamu Kristu/Ufahamu Krishna.

Kuna namna yake ya kufasili habari zake; labda kwa mtu asiye na uono na ufikirifu mifumo anaweza 'kupotea katika tafsiri'...

Krishna anamshawishi Arjuna kuangamiza ndugu zake 'Makafiri' katika uwanja wa mapambano ya Kurukshetra katika nchi ya Mahabharata...

Watu wa Ufahamu-JUA huja kwa habari na mashauri ya UKUU...

UKUU wa Yesu si jina; UKUU wa Yesu ni 'SHAURI la uhai' kupitiliza Uzima wa Miili.

Katika lugha yetu ya Kiswahili, tayari kuna utundu ulishatayarishwa wa maana na mapelekeo ya maana kwa mashauri ya Ukuu...

Neno 'Jina' lina asili moja na neno U-Imajinishi; ambapo uimajinishi neno lenye viambishi 'maji', kiambishi 'jini'; na tena vyote hivi viwili vinasili ya 'jinesesia'.

Jinesesia, lawa neno rasmi la Kiswahili kwa tafsiri ya neno 'Genesis'; wafasiri wa mwanzo wa vitabu vya Biblia walionelea bora kutumia neno 'Mwanzo' badala ya neno jingine lenye asili ya kigeni.

Genesis, kutoka kwenye lugha ya Kiingereza, ni kitabu cha Kwanza cha Musa kinachosimulia 'Habari za Mwanzo' wa mambo--mwanzo wa mambo ya 'Mbingu' na 'Nchi'...

Katika karne hii ya 21 tunazungumza mambo ya 'Mwanzo' kama 'Ontolojia ya Taasisi'...

SASA, neno Genesis lina etimolojia ile ile na neno 'Genie'--Jini kwa Kiswahili.

Kiuono na Ufikirifu mifumo, muktadha akilifu wa utendaji usiofuatisha nguvu za kawaida za miili ndiyo huzaa 'maajabu ya ulimwengu' unaofanyika kutokea kusiko kitu.

Ndivyo basi simulizi la mwanzo kabisa la Kitabu cha Kwanza cha Musa husimulia habari za Ulimwengu uliofanyika kwa dhamira, shauri na uimajinishi wa 'Roho wa Mungu'....

Vitu vyote kufanyika kwa mfano wetu ni shauri la 'Uimajinishi'; kwenye mashauri yajayo kwa lugha ya Kiingereza hili lingalitajwa kama 'Imagination'.

Kiuono na ufikirifu mifumo, muktadha wa uimajinishi ndiyo unaofanya 'nafsi' yeyote 'kufanana na Mungu'--Uwezo, Nguvu na Utukufu wa 'Roho wa Mungu' ni funguo ya 'Ontolojia ya Taasisi' kwa sisi sote kama viumbe wenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Yote kuwezekana katika 'Yeye' atutiaye uzima ni shauri la 'Nia ya Unafsi Moja' katika 'Roho wa Mungu'.

Yesu kunukuliwa kusema yeye ni Njia na Kweli na Uzima ni 'SHAURI la nguvu' katika 'Nia ya Unafsi Moja' katika 'Roho wa Mungu'.

'Nia ya Unafsi Moja' katika 'Roho wa Mungu' ndiyo khasa 'Ufahamu Kristu'...

Mimi na Baba ni Moja ni ushuhudiaji wa dhamiri ya Imani katika Uweza na Utukufu--'I' kwa lugha ya Kiingereza hukazia 'Utu Nafsi' na angali 'I' katika 'Imani' vile vile U-I-majinishi hukazia nia ya 'Utu wa Nguvu' katika 'Maji ya Uzima Wote'...

Kitabu Jinesesia, hutaja esoteria ya 'maji, uso na roho' halafu kisha 'maji ya Juu' na 'maji ya Chini'...

SASA, mtu kusoma habari za jinesesia halafu kuzichukulia kama ni 'Taarifa Fulani ya Habari' ni njia rahisi ya kujipotosha ama tuseme 'kujizima data'...

Dunia ni tufe, siyo bapa... Mbingu na Nchi ni mambo ya 'uso' na 'vilindi vya maji'--Ontolojia ya Taasisi. Kadiri mtu anapopanua fahamu zake za akili, utambuzi na fahamu kuna namna huyu ataanza kubaini vitu vyote ni 'alama zinazoishi'; alama hizi huitika dhamiri na mafikara ya kujiwazia utu ama tukizo la madhahiri...

Vitu vyote, ikiwemo maisha yetu na mambo yetu ni matokeo ya sisi wenyewe kujiwazia utu na matukizo ya madhahiri.

Kwa hivyo wakati mmoja, In Shaa Allah, tutaelekezana habari za 'KUSALI' kwa ajili ya 'kutenda miujiza'--si kwa 'imani pofu' na mapokeo yasiyo na msaada bali kuharakishia 'mema ya nchi'.

Kwa kuwa tunaishi ulimwengu uliofungamana makusudi, ikiwa watu watajifunza kusali katika vikundi kwa 'neema na saburi' mengi yataanza kubadilika na uponyaji wa mataifa utadhihiri.

Tunaishi kwenye ulimwengu mbovu wa 'Miundo ya Tawala/Ontolojia ya Taasisi'; tukifahamu kuuishi mwongozo bora wa U-JUA-ji wa Njia na Kweli na Uzima basi Tutaubadilisha Ulimwengu unaotuzunguka--jambo ambalo katika mapokeo ya Ukristo husemwa ni 'Jina kutukuzwa, Ufalme Kuja/Mapenzi kutimizwa Duniani'...

Yesu anarudi na yuko na watu wote wa 'U-JUA-ji uliobarikika'...

UKUU wa Yesu si 'Jina' bali 'Imani'--imani ya kufanyika sawa sawa na 'Mapenzi ya Mbingu/Kweli iliyositirika'...

Jina la Utukufu, ni esoteria ya 'NENO'--Siri za Mbingu na Nchi ni 'Maandiko'... Maandiko ni 'Alama zinazoitika Nia na Dhamiri' ya 'Mtu wa Ufahamu wa Mbingu na Nchi'.

Jina la kutukuzwa ni 'fumbo la imani' kwa 'uwezo wa kutawala na kuyashinda' yale yote yanayofanyika kwa kujiwazia mabovu ya kimfumo... Ufahamu Kristu ni Usahihi wa Kimfumo; msingi khasa wa ile 'Sala ya Bwana'...

Ni rahisi kudhani Yesu anapenda 'uchawa'--kwa kuwa tunaishi kwenye ulimwengu wa 'majaribu' na watu kudhamiria utu usiobora wa 'Ukuu wa Mambo ya Dunia'--kutafuta sifa, kupendwa na kuinuliwa...

Yesu ni Simba...

Yesu ni Utu unaodhamiria mwangaza kwa ajili ya Mashauri ya Kiroho, Maadili na Miiko.

Yesu si 'Mnyonge' kwa kuwa ufundi wa dini umefaragua 'umungu-mtu' wa Yesu ili kuitengeneza ile njia ionekanayo sahihi katika jicho la mwanadamu...

Yesu asingelipenda watu/wanadamu 'wamtukuze' na huku wanakosa umbonishaji sahihi wa 'uso' na 'vilindi vya maji ya Uzima'... Kwa kuwa kufanya hivyo ni kazi bure tu.

Yesu ni Shujaa... asingelipenda watu wawe wanyonge na hali uweza, nguvu na utukufu upo na sisi sote na wakati wote; tunapokuwa tumejisahau na basi kujiwazia utu usiyo na kheri tunahitaji dawa iliyo ni 'kukumbuka' na ili basi kukumbukwa katika 'Roho wa Mungu'...​


View: https://www.youtube.com/watch?v=u7agieAGDw0

'Mkasi wa Akili yenye Uaminifu : Shika Neno tenda Neno' na 'Msalaba wa Uzima'...

Uhuru-Udugu-Haki-Amani ni 'Ukadinali Mbegu' ya 'Dhama : Maarifa ya Kumcha Mungu'...

+++

Mithali 1​


1 Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.

2 Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;

3 kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili.

4 Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na hadhari;

5 mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.

6 Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.

7 Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.

8 Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,

9 Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako.

10 Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.

11 Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi, Na tuvizie ili kumwaga damu; Tumwotee asiye na hatia, bila sababu;

12 Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.

13 Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.

14 Wewe utashirikiana nasi; Tutakuwa na vitu vyote shirika.

15 Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.

16 Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.

17 Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege ye yote.

18 Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.

19 Ndivyo zilivyo njia za kila mwenye tamaa ya mali; Huuondoa uhai wao walio nayo.

20 Hekima hupaza sauti yake katika njia kuu, Hutoa sauti yake katika viwanja;

21 Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.

22 Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?

23 Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; Tazama, nitawamwagia roho yangu, Na kuwajulisheni maneno yangu.

+++

View: https://www.youtube.com/watch?v=gN9RVnVC-iw
 
Mzani uheshimiwe...upo mahakamani, upo TRA, wamisri waliamini unyoya ukiwa mwepesi kuliko moyo wako Mungu Anubis anakugrant eternal life.

Tuheshimu mzani (haki)... Amani ni matokeo ya haki kutamalaki.
Kuna watu wanatutoa kwenye reli... Wanachomekea parameters 2 za Uzalendo na Utii wa mamlaka!
 
Kuna watu wanatutoa kwenye reli... Wanachomekea parameters 2 za Uzalendo na Utii wa mamlaka!
Uzalendo ni kupigania haki ya kila mmoja, utii ni kwa mamlaka iliyowekwa na umma pekee, sio iliyojiweka yenyewe. Kifupi ni kuwa either hawaoni ama wanajipofusha maksudi.
 
Gentleman haki huambatana na wajibu,
kinyume na hapo ni fujo, vurugu, uharibifu na usumbufu.

mimi na wewe tuna haki ya kutoa haja kubwa kila moja kwa wakati wake muafaka. Inakua ni usumbufu ikiwa ukijiskia tu kutoa haja kubwa basi popote pale utakajiskia basi uitekeleze, na kwamba ukiwa kanisani unasali na wenzako ukijiskia kushusha mzigo ushuhe tu, right? si haki yako?

ukijiskia kufanya hivyo hotelini mkiwa mnakula supu ya samaki unashusha mzigo juu ya meza kabisaa, right? si haki yako na ya haki kila mtu kushusha mzigo?

ukijiskia hivyo darasani wakat Mwalimu anafundisha wewe unatumia haki yako ya kibinadamu kushusha mzigo n.k n.k

Kistaarabu,
ukijiskia kutumia haki yako hiyo ni lazima uwajibike kutafuta mahali sahihi kwa kujisitiri na si vinginevyo.

Zingatia ukweli huo gentleman, ni muhimu sana 🐒
Nilikuwa najua kweli una matatizo gentleman lakini si kwa kiwango hiki. Hoja yako yote umeishia kwenye kushusha mzigo!!
 
Nilikuwa najua kweli una matatizo gentleman lakini si kwa kiwango hiki. Hoja yako yote umeishia kwenye kushusha mzigo!!
relax na kujali hoja bila makasiriko wala mihemko gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom