Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Kuna neno gumu sana kutamkwa na wagombea wa vyama wakiwa wanafanya kampeni, Kama wewe unaamini neno hili ni rahisi kutamkwa comment hapo chini kwa kuandika HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU ukimalizia na jina la chama chako mfano " HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU- Nccr Mageuzi.
Tuone wenye mapenzi mema na nchi yao na watakuwa mabalozi wa amani hapa nchini
Twende kazi.
Tuone wenye mapenzi mema na nchi yao na watakuwa mabalozi wa amani hapa nchini
Twende kazi.