3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,249
- 6,979
Habari za jumapili ndugu zangu na wikiendi kwa ujumla
Nije kwenye mada,
Nasumbuliwa na mafua wiki sasa mchana naweza nikashinda vizuri na nikaendelea na kazi zangu vizuri tu ila ikifika usiku wakati wa kulala Hali inabdalika Sana inatokea Hali mpaka pua moja inaziba napumua kwa shida Sana
Sasa kuna kipindi nilikuwa ikifika wakati wa kulala natafuna tangawizi basi Hali inakuwa shwari
Baadae nikanunua citrozen nikawa nakunywa ila hizi dawa sasa nikinywa asubuhi basi kutwa nzima mwili unakuwa hauna nguvu, mdomo unakuwa mchungu na njaa kali Sana nikaacha kuzitumia hizi dawa
Nimerudi kwenye matuminzi ya tangawizi na mazoezi kidogo basi usiku usingiz unakuwa mzuri
Nije kwenye mada,
Nasumbuliwa na mafua wiki sasa mchana naweza nikashinda vizuri na nikaendelea na kazi zangu vizuri tu ila ikifika usiku wakati wa kulala Hali inabdalika Sana inatokea Hali mpaka pua moja inaziba napumua kwa shida Sana
Sasa kuna kipindi nilikuwa ikifika wakati wa kulala natafuna tangawizi basi Hali inakuwa shwari
Baadae nikanunua citrozen nikawa nakunywa ila hizi dawa sasa nikinywa asubuhi basi kutwa nzima mwili unakuwa hauna nguvu, mdomo unakuwa mchungu na njaa kali Sana nikaacha kuzitumia hizi dawa
Nimerudi kwenye matuminzi ya tangawizi na mazoezi kidogo basi usiku usingiz unakuwa mzuri