Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mpenzi wangu hajui kuhesabu siku zake za kwenda mwezini na ana umri wa miaka 24 hajui siku zake za hatari yani kushika ujauzito kila siku nampa somo lakini aelewi nifanjaje ndugu zangu
Uwe unatumia condom kuepuka mimba zisizo talajiwa