MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,493
- 8,728
Sio uongo vilabu vya Simba au hata Yanga vina Waswahili wengi sana ambao % kubwa shule ni zero na wanacho penda ni kusikia wakikandiana, na kutambiana wachezaji, kutambiana makocha, ndo maana vijiwe vya mashabiki wa Simba na Yanga ambavyo almost asilimia 100 huwa ni waswahili swahili pale huwa ni kukandiana tu hakuna kingine wanacho jua na huwezi wakuta wanajadili hata Uwekezsji kwenye virabu vyao make hizo ni maada ambazo kamwe hawawezi hata ziongea kwa sekunde 7.
Mo ndo maana anawa buruza kwa sababu anajua mashabiki asilimia kubwa ni waswahili ambao shule ni hakuna.
Huyu sasa msemaji wa Simba ni Mtu mjanja mjanja mswahili anacheza na akili za waswahili wenzake, haiwezekani msemaji wa Clabu yeye kila siku ni mipasho kwa timu pinzani yaani huwezi kuta post zake zinazungumzia maendeleo ya Mpira wa Simba hapana yeye ni mipasho kwa Yanga, post zake kwenye page yake zimejaa mipasho tu. Huyu ndo MO anawataka wa aina hii waswahili, klabu za wenzetu huwezu kuta msemaji wa Clabu A anahangaika na mambo ya Clabu B make hayamuhusu ila huku Bonho kwa sababu ya aina ya mashabiki tulio nao uswahili ndo unaonekana dili.
Maendeleo ya soko hapa Tanzania yanarudiswa nyuma na aina za Mashabiki wa hizi virabu vikongwe, mashabiki waswahili ambao wanacho jua ni kufungana basi hawajui kingine. Ndo maana unakuta Mechi ya Simba lets say na JKT Oljoro utajuta Jezi zinazo uzwa pale ni za Yanga na Simba unajiuliza kulikoni?
Mashabiki wa Simba na Yanga ndo wanao rudisha nyuma soka la Tanzania, mashabiki waswahili vichwani zero kabisa.
Mo ndo maana anawa buruza kwa sababu anajua mashabiki asilimia kubwa ni waswahili ambao shule ni hakuna.
Huyu sasa msemaji wa Simba ni Mtu mjanja mjanja mswahili anacheza na akili za waswahili wenzake, haiwezekani msemaji wa Clabu yeye kila siku ni mipasho kwa timu pinzani yaani huwezi kuta post zake zinazungumzia maendeleo ya Mpira wa Simba hapana yeye ni mipasho kwa Yanga, post zake kwenye page yake zimejaa mipasho tu. Huyu ndo MO anawataka wa aina hii waswahili, klabu za wenzetu huwezu kuta msemaji wa Clabu A anahangaika na mambo ya Clabu B make hayamuhusu ila huku Bonho kwa sababu ya aina ya mashabiki tulio nao uswahili ndo unaonekana dili.
Maendeleo ya soko hapa Tanzania yanarudiswa nyuma na aina za Mashabiki wa hizi virabu vikongwe, mashabiki waswahili ambao wanacho jua ni kufungana basi hawajui kingine. Ndo maana unakuta Mechi ya Simba lets say na JKT Oljoro utajuta Jezi zinazo uzwa pale ni za Yanga na Simba unajiuliza kulikoni?
Mashabiki wa Simba na Yanga ndo wanao rudisha nyuma soka la Tanzania, mashabiki waswahili vichwani zero kabisa.