tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv na Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo Ndugu Haji Sunday Manara amewajibu wanaomsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na Vijana wanaoshinikiza kufanya maandamano kufuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
Soma pia:29 Oktoba tunashirikije uchaguzi ikiwa haya hayajafanyiwa kazi?
Akizungumza Leo Septemba 18,2025 na waandishi wa habari Manara amesema amewaasa vijana kuacha kushinikizwa na kufanya maandamano wakati wa uchaguzi nkuongeza kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa dola
Soma pia:29 Oktoba tunashirikije uchaguzi ikiwa haya hayajafanyiwa kazi?
Akizungumza Leo Septemba 18,2025 na waandishi wa habari Manara amesema amewaasa vijana kuacha kushinikizwa na kufanya maandamano wakati wa uchaguzi nkuongeza kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa dola