Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Anajua kuishi vzr na matajiri.
 
Familia yake na baba ake wanakaa hapo pamoja na yeye mwemyewe.

Maisha ya mtandao kwamba anampa zawadi ya gari huku baba yake anaendesha vaspa ya zamani nyekundu. Sio kweli.


So mtoa mada aache wivu
Mwanzoni nilikua nafahamu anaishi temeke, ila baada ya kupata deal Yanga, si ndo GSM kampangia Appartment hapo Masaki?

Au ilikua kiki? Wee em fanya utafiti vizuri kwan
 
Utakatishaji wa fedha za madawa ya kulevya akijifanya ni fedha za michango ya harusi, kumbe ndio anaziingiza katika system ya fedha halali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…