Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Sasa alitaka awe anaropoka ropoka kama yeye? Sidhani kama shabiki wa Simba mwenye akili timamu atakuwa anafurahia uropokaji wa HajiKamchana sana,kwamba alitegemea kiatu chake kitambana,ajabu kimepwaya sana,amepoza,hatoi hamasa,hata mashabiki hawajui msemaji wao nani