yangoma
Member
- Sep 1, 2011
- 72
- 2
Wana jf jana nikiwa pande za TANGA maeneo ya muheza nikashuhudia hili tukio la busi la hajees likiwaka moto bila kufahamu chanzo cha moto huo. Kwa bahati hapakuwa majeruhi wala aliye poteza maisha hapo,Hivi mbona usalama wa maisha na mali zetu ni mdogo katika vyombo vyetu vya usafiri? Nawasilisha
hivi ndivyo ilivyo kuwa
jamaa wpo bize katafuta masalia
tukawa mashuhuda
hivi ndivyo ilivyo kuwa
jamaa wpo bize katafuta masalia
tukawa mashuhuda