Kuna rafiki yangu mpk leo hajaona jina lake ilhali kila chuo alichoomba majina yametoka FIRST n SECOND selection sasa inakuwaje hapo jamaaaaaniiii naomba mwongozoo maaana amekata tamaa
Pass zake za A level zikoje na aliomba kozi gani na vyuo vipi?
Je jina lake halikutoka kwenye second round application?
Kuna watu walipoapply hawakufuatilia na walipotakiwa kuomba upya kwenye second round application hawakuona hilo tangazo hivyo hawakuomba! Isije akawa mmoja wao!
usiwe na hofu kama aliambiwa afanye 2nd round manake deadline ilikuwa juz tu trh 30 sasa hv ndo wanaziprocess selections za 2nd round, mpaka wiki ijayo ndo atafahamu kama amepata au kama atafanya 3rd round
Unataka kusema kuwa education ndiyo jalala la waliokosa au?
Kwa taarifa yako applicants PGDE wengi ni graduates wa engineering, law, BA(general), BSc(general) nk baada ya kusota mitaani bila ajira!!
wana jukwaa, mimi nina diploma, nimeomba kupitia nacte, mpaka sasa sijapata, na vyuo nilivyoomba wametoa? nimesoma East Africa Training Institute kipo arusha, wenye kufahamu msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.