Haitians originally ni watumwa hivyo ni watu ambao hawapo civilised kwa kiwango kikubwa sana na juu ya hilo their present settlements ni maeneo ambayo whites walijua before kuwa ni maeneo yenye natural calamities za kutosha kama Matetemeko, Floods na mengineyo hivyo siyo salama kwa ajili ya human settlements.
Ndio maana Nchi ya Haiti ipo katikati ya Nchi za watu weupe lakini Haiti ni weusi tu, waliachiwa Ardhi yote hiyo baada ya biashara ya utumwa kukoma wakijua ni unproductive na ina matatizo mengi.
Namlizia kwa kusema matatizo yote yanayotokea Haiti ni ya Kihistoria.