Haitakaa itokee Afrika ipate Papa Mweusi

Haitakaa itokee Afrika ipate Papa Mweusi

Huwezi kuelewa wewe mtu mwenyewe unaishi vijijini huko hata south afrika hujawahi kuishi ukaona maisha ya watu weupe
sanasana unalinganisha maisha kwa kuona wale mapdri wa kizungu walioletwa huku afrika unadhani wanaona mko nao sawa, wakati mara nyingi wanaletwa huku wakifanya skendo huko wanakuja kuwaficha huku
hizi imani zimewapofu kuuona ukweli mchungu
Ukweli upi ambao wewe unao alafu mimi Sina

Kwahiyo hapo unamtetea huyo mzungu au unampinga huyo mzungu?
 
Back
Top Bottom