Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,961
- 42,166
Ukweli upi ambao wewe unao alafu mimi SinaHuwezi kuelewa wewe mtu mwenyewe unaishi vijijini huko hata south afrika hujawahi kuishi ukaona maisha ya watu weupe
sanasana unalinganisha maisha kwa kuona wale mapdri wa kizungu walioletwa huku afrika unadhani wanaona mko nao sawa, wakati mara nyingi wanaletwa huku wakifanya skendo huko wanakuja kuwaficha huku
hizi imani zimewapofu kuuona ukweli mchungu
Kwahiyo hapo unamtetea huyo mzungu au unampinga huyo mzungu?